Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli, baada ya Rwanda kujifungia ndani kuogopa COVID-19 na kutafuta sifa kutoka kwa wazungu uchumi wake umeanguka sana, Sasa wanatafuta nani wa kumuibia. DRC ndio shamba la bibi lake. Inashangaza sana nchi kubwa kama DRC kusumbulliwa na ka inchi kadogo kama Rwanda. Kwanini EAC haichukui hatua kuiadabisha Rwanda kwa tabia yake hii? Kwanini DRC inashindwa kuikaribisha Russia kwenye uchumi wake ili ipate protection?Rwanda wanadai DRC wanawarushia makombora na huo ni uchokozi wa wazi.
Na itwangwe kabisaHakuna ubishi kuwa Rwanda imaisumbua DRC na kuiba Mali zake
Hahah vipaji vyao hao Ni kukata mauno na kusuka dada zetu saluni,mambo magumu magumu ya kivita sio fani Yao hio.Hawa wacongoman nao wamekaa laini laini sana,eti kila mtu mwanamuziki,vita mpaka siye tukawasidie.
Peleka wote jeshini wakapiganie nchi yao kazi kukoboa sura tu.
Hakuna ubishi kuwa Rwanda imaisumbua DRC na kuiba Mali zake
Hamna huo ubavuRwanda wafukuzwe tu EAC
Kagame alimkasirikia JK kinoma kwa kuwasambaratisha M23. Hicho ndio chanzo Cha JK kuonyesha silaha za kivita za Tanzania na makomandoo wetu kwenye sherehe zetu za Uhuru na muungano.Tanzania wakati wa Jakaya Kikwete haikukubali uonevu na uchokozi wa Rwanda kupitia kwa M23… Majeshi yetu yalifanya kazi ya ukombozi iliyowahi kufanya Msumbiji tuliingia Kongo tukawasafisha M23 japo kwa Bahati Mbaya sana Wanasiasa wakubwa wa Upinzani wa wakati huo pamoja na wafuasi wao walikuwa upande wa Paul Kagame dhidi ya Nchi yao pendwa Tanzania
JK Nyerere aliingiza Majeshi Msumbiji kuwatetea watu wa Msumbiji
JK wa Msoga akaingiza Majeshi Congo kusaidia ndugu zetu wa Congo
sasa hivi 'JK' wa Makunduchi atasaidia au atawapotezea ? limebaki swali gumu
Wewe unaleta ushabiki sasaKagame alimkasirikia JK kinoma kwa kuwasambaratisha M23. Hicho ndio chanzo Cha JK kuonyesha silaha za kivita za Tanzania na makomandoo wetu kwenye sherehe zetu za Uhuru na muungano.
Russia imeonyesha kuwa Ina silaha Kali na zakisasa kabisa duniani. Kila taifa makini halitaki tena silaha za Marekani. Inafahamika kuwa kagame ana silaha za kimarekani, DRC ifanye urafiki na Russia kama kweli wanakerwa na vitendo vya Rwanda. Hata Marekani Sasa hivi hajui namna atakavyozipata silaha za Russia. Maana silaha zake zimeshindwa kabisa na za Urusi vkule Afghanistan, Syria, Yemen, na Sasa Ukraine.
Kupata kichekesho hiki bonyeza *146*67#Kagame alimkasirikia JK kinoma kwa kuwasambaratisha M23. Hicho ndio chanzo Cha JK kuonyesha silaha za kivita za Tanzania na makomandoo wetu kwenye sherehe zetu za Uhuru na muungano.
Russia imeonyesha kuwa Ina silaha Kali na zakisasa kabisa duniani. Kila taifa makini halitaki tena silaha za Marekani. Inafahamika kuwa kagame ana silaha za kimarekani, DRC ifanye urafiki na Russia kama kweli wanakerwa na vitendo vya Rwanda. Hata Marekani Sasa hivi hajui namna atakavyozipata silaha za Russia. Maana silaha zake zimeshindwa kabisa na za Urusi vkule Afghanistan, Syria, Yemen, na Sasa Ukraine.
Jeshi la Kongo lazima livunjwe na kuanza upya. Wanajeshi wengi wanasaidiana na waasi katika mapigano au kwa kuwauzia silaha.Mkongoman kazidi ujinga kwa nini asiwalete hata mercenaries wasaidie kuilinda dhidi ya wanajeshi wenye pua ndefu toka Rwanda
Mafundi wa ndombolo ya solo,ukiwapa bunduki wanakimbia...Hawa wacongoman nao wamekaa laini laini sana,eti kila mtu mwanamuziki,vita mpaka siye tukawasidie.
Peleka wote jeshini wakapiganie nchi yao kazi kukoboa sura tu.