Rwanda isimamishwe uwanachama wa EAC kwa kuivamia DRC

Rwanda isimamishwe uwanachama wa EAC kwa kuivamia DRC

Tuanze na vikwazo then tuwatumie silaha wakongoman
Kenya, Uganda na Tanzania lazima ziwe na kura ya turufu (veto) kwenye umoja huu, na nchi hizi tatu lazima ziwe kinara kwa siasa safi na uongozi Bora ndani ya jumuiya ili wengine waige. Ni aibu kubwa kusikia kwenye nchi hizi watu wanaiba kura, wananunua watu au kuzuia demokrasia isifanyike na uhuru wa sheria unaingiliwa.
 
Nikmekuja nduki nikidhani umetiririka vua kutosha, any way, nitarudi baadae
Habari ya Rwanda na DRC haihitaji narrative stories, kila mtu ndani na nje ya Africa mashariki anafahamu kuwa utajiri wa Rwanda unatoka DRC, inafahamika kuwa kagame ni sehemu ya shida za eastern Congo ambako maelfu wanakufa kama Kuku. Tusubiri wafe wangapi ndio tufanye nini kwa kagame?
 
Sio kweli, baada ya Rwanda kujifungia ndani kuogopa COVID-19 na kutafuta sifa kutoka kwa wazungu uchumi wake umeanguka sana, Sasa wanatafuta nani wa kumuibia. DRC ndio shamba la bibi lake. Inashangaza sana nchi kubwa kama DRC kusumbulliwa na ka inchi kadogo kama Rwanda. Kwanini EAC haichukui hatua kuiadabisha Rwanda kwa tabia yake hii? Kwanini DRC inashindwa kuikaribisha Russia kwenye uchumi wake ili ipate protection?
Kusema ukweli uhusiano kati ya Nchi za Magharibi na Africa ni wa kati ya mwerevu na mjinga, mtwana na mtumwa, lakini uhusiano kati ya Urusi/China na Africa ni wa kati ya tajiri na maskini TU baaasi.
Nchi ikiwa na mafisadi jeshini unafikiri inaweza chochote
 
Jeshi la DRC vichekesho
 

Attachments

  • twitter_20220531_213736.mp4
    2.9 MB
Hawa wacongoman nao wamekaa laini laini sana,eti kila mtu mwanamuziki,vita mpaka siye tukawasaidie.
Peleka wote jeshini wakapiganie nchi yao kazi kukoboa sura tu.
Yanayoendelea kwenye jeshi la Congo hata Che Guevara mwenyewe yalimshinda akaondoka zake na kudai kua banajeshi ba Congo habako tayari kupigania ukombozi ba taifa lao.
 
Kenya, Uganda na Tanzania lazima ziwe na kura ya turufu (veto) kwenye umoja huu, na nchi hizi tatu lazima ziwe kinara kwa siasa safi na uongozi Bora ndani ya jumuiya ili wengine waige. Ni aibu kubwa kusikia kwenye nchi hizi watu wanaiba kura, wananunua watu au kuzuia demokrasia isifanyike na uhuru wa sheria unaingiliwa.
Tanzania hii hii ambayo kuna wabunge 19 Bungeni wasiokuwa na Chama[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Poleni sana wana wa Congo
Nalog off Z
Kanda yetu isikae kimya kusubiri wazungu waje watufanyie. Wakimbizi wa congo na Burundi hawaishi milele kwanini? As if we do not know the source of the problem. Tunahitaji kutajirika sote kwa kutumia rasilimali zetu tulizonazo EAC, sio nchi moja tu inayotaka utajiri wa harakaharaka kwa kisingizio bandia cha genocide ambacho yeye ndie aliyetaga mayai ya vita ile. Ni mpumbavy gani hapa EAC hajui kuwa chanzo cha genocide ile ni jamaa huyuhuyu anaejifanya anasaka milele waasi huko DRC?
 
Mkongoman kazidi ujinga kwa nini asiwalete hata mercenaries wasaidie kuilinda dhidi ya wanajeshi wenye pua ndefu toka Rwanda
Ni hatari sana kuwatumia hao mercenaries sio waaminifu na huwa hawamalizi tatizo.

Ukisoma " Art of War" ya Tsu zu utaelewa vzr.
 
Kwani GENTAMYCINE anasemaje?

Mimi nasema nia aibu kwa DRC kulialia kuvumiwa na Rwanda, ni kama wamejiunga EAC ili kupata huruma na msaada!
 
Wafaransa wanaiiba kila leo na hakuna kuwashtaki , bamutu zabaki pumbu na ngai
 
Hawa wacongoman nao wamekaa laini laini sana,eti kila mtu mwanamuziki,vita mpaka siye tukawasaidie.
Peleka wote jeshini wakapiganie nchi yao kazi kukoboa sura tu.
Kanali mzima anakunywa pombe analewa anachukua bunduki anamiminia wasio na hatia(raia) na yeye anajiua DRC kweli kiboko mwanamapinduzi cheq alipashindwa starehe Sana ndomana kagame anawaweza
 
Ni hatari sana kuwatumia hao mercenaries sio waaminifu na huwa hawamalizi tatizo.

Ukisoma " Art of War" ya Tsu zu utaelewa vzr.
Yaani ufumbuzi wa mgogoro ni
1. EAC kutuma kikosi imara sana kufurusha wavamizi
2. DRC kulivunja jeshi na kusaidiwa na EAC kuunda jeshi lingine lenye nidhamu, weledi na zana za kisasa kabisa.
3. Wakati hayo yakiendelea dialogue ya upatanisho iendelee kutatua shida za kihistoria za mgogo na mataifa hayo.
4. EAC constitution itamke waziwazi kuwa taifa moja likivamiwa imevamiwa EAC yote.
 
Tanzania hii hii ambayo kuna wabunge 19 Bungeni wasiokuwa na Chama[emoji1][emoji1][emoji1]
Zikumbukwe pia Mzee mu7 anamiliki ma ADF- NARU. Haiwezekani uasi serekali ya Uganda alafu Vita vyako uvipiganie Congo. Kwa yanayotokea Kongo ni kielelezo cha incompetence ya African's leadership.
 
Zikumbukwe pia Mzee mu7 anamiliki ma ADF- NARU. Haiwezekani uasi serekali ya Uganda alafu Vita vyako uvipiganie Congo. Kwa yanayotokea Kongo ni kielelezo cha incompetence ya African's leadership.
kwahiyo Rwanda na Uganda wametengeneza waasi bandia ambao wote wanakimbilia DRC maeneo yenye mbao na madini,
 
kwahiyo Rwanda na Uganda wametengeneza waasi bandia ambao wote wanakimbilia DRC maeneo yenye mbao na madini,
Naam, uzembe/udhaifu wa Congo umesababisha majirani zake wahuni( kagame na mseveni) wapageuze zaidi ya shamba lao.
 
Sio kweli, baada ya Rwanda kujifungia ndani kuogopa COVID-19 na kutafuta sifa kutoka kwa wazungu uchumi wake umeanguka sana, Sasa wanatafuta nani wa kumuibia. DRC ndio shamba la bibi lake. Inashangaza sana nchi kubwa kama DRC kusumbulliwa na ka inchi kadogo kama Rwanda. Kwanini EAC haichukui hatua kuiadabisha Rwanda kwa tabia yake hii? Kwanini DRC inashindwa kuikaribisha Russia kwenye uchumi wake ili ipate protection?
Kusema ukweli uhusiano kati ya Nchi za Magharibi na Africa ni wa kati ya mwerevu na mjinga, mtwana na mtumwa, lakini uhusiano kati ya Urusi/China na Africa ni wa kati ya tajiri na maskini TU baaasi.
Huo ni uongo,rwanda uchumi uko vizuri tu,vita ya M23 na DRC ni ya wakongomani wenyewe,M23 kuongea kinyarwanda haimaanishi ni wanyarwanda au rwanda.
 
Back
Top Bottom