acheni unafki. nyinyi ndio mlikuwa mnamponda kagame hapa wakati amewapa offer arsenal. kwani visit rwanda mumeijua tu wakati messi ametua psg? mbona mlikuwa hamsemi kabla ya messi kuja psg. ndio maana mnaongezewa matozo kwenye simu maana hamjitambui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Zari pia ni balozi wetu wa utalii, nadhani waganda watajaa huku kutalii.Alipotuzidi ni malengo tu.
Wakati wenzetu wanalenga kupata soko la ulaya kwa kutangaza chapa yao kupitia soka kwenye vilabu vikubwa
Sisi Tz tukawa busy kusaka soko la ulaya kwa kutangaza utalii kwa kuwatumia mastaa wa Bongo movie mfano...sitivu na ile chapa yetu ya unforgetable Tanzania ....
Tuna waza kupata watalii mil 2+ bila kutangaza utalii wetu ktk njia stahiki
Aiseeeacheni unafki. nyinyi ndio mlikuwa mnamponda kagame hapa wakati amewapa offer arsenal. kwani visit rwanda mumeijua tu wakati messi ametua psg? mbona mlikuwa hamsemi kabla ya messi kuja psg. ndio maana mnaongezewa matozo kwenye simu maana hamjitambui
Yani ndo akili za viongozi ziko km zakoRwanda haijulikani ila ni Nani asiyeijua Kilimanjaro au Serengeti
Rwanda haijulikani ila ni Nani asiyeijua Kilimanjaro au Serengeti
Mchango wa hizi Hifadhi za Taifa kwenye Bajeti ni % ngapi? Sifa lazima zikulipe, umaweza kuta kwenye kila dola moja inayopatikana kwenye hifadhi zetu sisi tunaambulia 20%.Kizuri chajiuza kibaya chajitembezaView attachment 1888896
Rwanda ni Taifa linalojitambua Kimaendeleo, Kimipango na Kimkakati na ndiyo maana kila Siku tu linaziacha nchi zingine katika Ukanda wake.Huyu ni Lionel Messi wakati akiwa anawasili kwenye viunga vya Paris Saint Germain (PSG).
Hii video imepostiwa kwenye official page ya PSG yenye mamillion ya followers, video hii hii imetazamwa na wapenzi wa kandanda wengi sana duniani na media kubwa duniani za football kama skysport,bt, supersport n.k wame repost hii video.
Kilichonivutia ni hilo neno hapo nyuma kwenye jezi ya MESSI.
Hakuna jina lake wala maandishi mengine zaidi ya VISIT RWANDA.
Nimewaza sana hivi RWANDA kuna kivutio gani kikubwa cha kushawishi hadi waende kuitangaza kwenye jezi ya club kubwa namna hii kwenye mgongo wa mtu maarufu hivi ulimwenguni.Wanavitu gani ambavyo Tanzania hatuna hadi waende kufanya promo kubwa kama hii?
Hapo nikakumbuka ile kauli ya Yericko Nyerere kuwa wenzetu wamewekeza kwenye ujajusi wa KIUCHUMI sisi tumewekeza kwenye ujajusi wa kumkamata mbowe na wafuasi wa Chadema.
Peter Msigwa aliwahi kusema kuliko kuwachukua kundi kuuubwaa la kina pierre liquid,babalevo,manara,steve nyerere nk watu ambao ni maarufu ndani ya Tanzania tu eti unaenda kufanya nao promo ya kuutangaza mlima Kilimanjaro kwa kupanda ule mlima,ni bora kuleta watu maarufu wachache duniani waje kuupanda bure au kwa bei nafuu zaidi, wetu wenye ushawishi kubwa kwenye soka,music au tasnia nyingine pendwa sana duniani.
Watu kama kina Messi, CR7, Tiger Woods, Maria Sharapova, Drake n.k watu ambao wakija Tanzania dunia itaangalia wamekuja kufanya nini na ulimwenguni utakuwa na attention kwa kiasi fulani.
Wanyarwanda wametuzidi wapi aisee? Ile nchi na mkoa wa kagea ni kama sawa tu, ila wapo intelligent sana kuliko sisi.Wapi tunafeli au intelligence yetu ndio ina shauri kuweka Tozo ili kupata hela na sio kutangaza utalii kama Rwanda?
#Nawaza Tu.
Didas TumainiView attachment 1888379
Jiwe typeRwanda haijulikani ila ni Nani asiyeijua Kilimanjaro au Serengeti
Toto la msimbe baada ya kubugia uji usio na sukari ya kutosha lakurupukaacheni unafki. nyinyi ndio mlikuwa mnamponda kagame hapa wakati amewapa offer arsenal. kwani visit rwanda mumeijua tu wakati messi ametua psg? mbona mlikuwa hamsemi kabla ya messi kuja psg. ndio maana mnaongezewa matozo kwenye simu maana hamjitambui
Kizuri chajiuza kibaya chajitembezaView attachment 1888896
Kizuri chajiuza kibaya chajitembezaView attachment 1888896