Rwanda katuzidi wapi kwenye kutangaza utalii?

Rwanda katuzidi wapi kwenye kutangaza utalii?

acheni unafki. nyinyi ndio mlikuwa mnamponda kagame hapa wakati amewapa offer arsenal. kwani visit rwanda mumeijua tu wakati messi ametua psg? mbona mlikuwa hamsemi kabla ya messi kuja psg. ndio maana mnaongezewa matozo kwenye simu maana hamjitambui
 
Alipotuzidi ni malengo tu.

Wakati wenzetu wanalenga kupata soko la ulaya kwa kutangaza chapa yao kupitia soka kwenye vilabu vikubwa

Sisi Tz tukawa busy kusaka soko la ulaya kwa kutangaza utalii kwa kuwatumia mastaa wa Bongo movie mfano...sitivu na ile chapa yetu ya unforgetable Tanzania ....
Tuna waza kupata watalii mil 2+ bila kutangaza utalii wetu ktk njia stahiki
Na Zari pia ni balozi wetu wa utalii, nadhani waganda watajaa huku kutalii.
 
acheni unafki. nyinyi ndio mlikuwa mnamponda kagame hapa wakati amewapa offer arsenal. kwani visit rwanda mumeijua tu wakati messi ametua psg? mbona mlikuwa hamsemi kabla ya messi kuja psg. ndio maana mnaongezewa matozo kwenye simu maana hamjitambui
Aiseee
 
Kuweka matangazo ya visitings pasipo cha kwenda kuona ni utapeli.
kwa watalii.

Akienda, na atakachokikuta ni vitu viwili contrary kabisa na hatarudi.

Ukitangaza mlima k'njaro upo kenya huku ukijua sikweli, na mtalii kaja na asiukute ni kutafuta kuharibikiwa.

sasa subr tuone kwanza outcome ya mess kuvaa kit yenye maneno ''visit Rwanda''

Nachojua hata serikali ingegharimika kuwaleta macelebrity wa nje bado gharama zingelalamikiwa tu na baadh yetu.

Wangesema serikali imewaleta beyonce, jayz na bekham (mfano) wakati watoto hawana vyumba vya madarasa.

Mkataba wa Rwanda na Arsenal juu ya kuitangaza Rwanda kiutalii, uliigharimu Rwanda paundi milion 60
na hapo ni matangazo ya kwenye soksi na kwny pindo tu.

mnakumbuka jinsi vyombo vya habari vya uingereza vilivyopga kelele kushangaa uamuzi wa serikali ya rwanda kutumia mabilion kuipa arsenal wakt nchi yao ingali maskn
 
Tanzania maneno mengi...uswahili blh blh nyingi
Hakuna mipango yoyote inayofanyika!

Ova
 
Kwa nini tusubir wengine wafanye ndio tuige?
Siwalaumu viongozi wangu maana sisi watu wa tz tumezoea kulalamika kwenye kila kitu,,,, taifa hili lina watu wachache sana wenye maadili ya kijamii na kazi. So hiz shida ili ziishe zinaitaji watu wa kubadilisha ila mpaka leo hajapatikana maana hata ukipita vijiwen unaweza ua mtu kwa hasira,,, unakuta mtu anatumia nguvu kumlaumu jk kufukuza wazungu eti alifukuza maendeleo mpaka unaanza kujiuliza hivi hii elimu bongo ndio inayotolewa kwenye nchi za wenzetu au nn kipo chini ya kapet?
Tuendelee tu kulaumu maana sisi ni mabingwa wa kulaumu, hatumsaidii mtu aweze bali tunasubir akosee tupate stori
 
Huyu ni Lionel Messi wakati akiwa anawasili kwenye viunga vya Paris Saint Germain (PSG).

Hii video imepostiwa kwenye official page ya PSG yenye mamillion ya followers, video hii hii imetazamwa na wapenzi wa kandanda wengi sana duniani na media kubwa duniani za football kama skysport,bt, supersport n.k wame repost hii video.

Kilichonivutia ni hilo neno hapo nyuma kwenye jezi ya MESSI.

Hakuna jina lake wala maandishi mengine zaidi ya VISIT RWANDA.

Nimewaza sana hivi RWANDA kuna kivutio gani kikubwa cha kushawishi hadi waende kuitangaza kwenye jezi ya club kubwa namna hii kwenye mgongo wa mtu maarufu hivi ulimwenguni.Wanavitu gani ambavyo Tanzania hatuna hadi waende kufanya promo kubwa kama hii?

Hapo nikakumbuka ile kauli ya Yericko Nyerere kuwa wenzetu wamewekeza kwenye ujajusi wa KIUCHUMI sisi tumewekeza kwenye ujajusi wa kumkamata mbowe na wafuasi wa Chadema.

Peter Msigwa aliwahi kusema kuliko kuwachukua kundi kuuubwaa la kina pierre liquid,babalevo,manara,steve nyerere nk watu ambao ni maarufu ndani ya Tanzania tu eti unaenda kufanya nao promo ya kuutangaza mlima Kilimanjaro kwa kupanda ule mlima,ni bora kuleta watu maarufu wachache duniani waje kuupanda bure au kwa bei nafuu zaidi, wetu wenye ushawishi kubwa kwenye soka,music au tasnia nyingine pendwa sana duniani.

Watu kama kina Messi, CR7, Tiger Woods, Maria Sharapova, Drake n.k watu ambao wakija Tanzania dunia itaangalia wamekuja kufanya nini na ulimwenguni utakuwa na attention kwa kiasi fulani.

Wanyarwanda wametuzidi wapi aisee? Ile nchi na mkoa wa kagea ni kama sawa tu, ila wapo intelligent sana kuliko sisi.Wapi tunafeli au intelligence yetu ndio ina shauri kuweka Tozo ili kupata hela na sio kutangaza utalii kama Rwanda?

#Nawaza Tu.

Didas TumainiView attachment 1888379
Rwanda ni Taifa linalojitambua Kimaendeleo, Kimipango na Kimkakati na ndiyo maana kila Siku tu linaziacha nchi zingine katika Ukanda wake.
 
acheni unafki. nyinyi ndio mlikuwa mnamponda kagame hapa wakati amewapa offer arsenal. kwani visit rwanda mumeijua tu wakati messi ametua psg? mbona mlikuwa hamsemi kabla ya messi kuja psg. ndio maana mnaongezewa matozo kwenye simu maana hamjitambui
Toto la msimbe baada ya kubugia uji usio na sukari ya kutosha lakurupuka
 
Rwanda wametuzidi kwenye mauaji! Ni picha halisi ya unyama na roho mbaya ya mwanadamu. Sasa Messi kuvaa flana ndio nini? PK mpaka leo anaendelea kuua, makaburi ya binadamu wenzie ndio vivutio vya utalii?!!
 
Kiwastani, Tanzania hatuna viongozi wajuao wanachokifanya, wengi wapo tu madarakani kwa ajili ya kuridhisha matumbo yao na ndiyo maana Tanzania na nchi nyingi za kiafrika hatuendelei kutokana na kurundika viongozi wasio na weledi kwenye kazi yao. Unakuta mtu kasoma ila anawaza atakavyoiba siku akichaguliwa madarakani serikalini na ndiyo maana mawaziri wengi walimchukia Magufuli walipotumbuliwa maana walizoea wizi na kuhisi Magu ni kama walivyozoea.
 
Nakumbuka miaka 2011-2014 hivi matangazo ya visit ngorongoro yalikuwa yanaonekana kwenye ligi kuu ya uingereza kwenye baadhi ya timu. Ila baadhi ya watu walikuwa wanalalamika kuhusu pesa zilizotumika tena humu humu JF.

Pitia hii linki.
 
Kizuri chajiuza kibaya chajitembezaView attachment 1888896

Kizuri chajiuza kibaya chajitembezaView attachment 1888896

IMG_6349.jpg
 
Back
Top Bottom