Rwanda wanampango mpaka 2026 wawe wanafua umeme kupitia nyuklia, Uganda pia wanampango mpaka mwaka 2040 wawe wana uwezo wa kuzalisha umeme kupitia nyuklia, Kenya wao ni mpaka 2035. Sisi tumejipanga vipi?
Ukweli ni kwamba umeme wa nyuklia huwa ni bei rahisi sana kuuendesha na pia unatoa umeme mwingi ukilinganisha na vyanzo vingine vya umeme.. hii upelekea unafuu wa bei kwa mtumiaji wa mwisho ikiwemo viwanda.
Sote tunajua jinsi ilivyo ngumu kwa mwekezaji kuwekeza Tanzania kutokana na sheria zilipo bado tena uko kwenye urahisi wa kuwekeza wanajiongezea advantage nyingine ya kuwa na nishati nafuu ambayo inapelekea uendeshaji wa viwanda kuwa nafuu zaidi.
Serikali haioni kuwa tutakosa wawekezaji hasa hasa viwanda, Serikali imejipange bhasi kwa Tanzania kuwa na nishati nafuu kuliko majirani hivyo kupelekea ukuwaji na mapinduzi ya viwanda au ndo ile tumeshachagua kuwa soko la bidhaa la majirani?
Naona tupo kwenye mchakato wa kutengeneza Dira ya tanzania..Najua kuna wanao husika humu, tunaomba wafikilie pia kuhusu uzalishaji wa umeme wa nyuklia au kama tunaona hatuwezi bhasi waje na alternative ya nishati ambayo haitaathiliwa na mabadiliko ya hali ya hewa na yenye kutoa nishati ya bei rahisi.
Uzuri kila kitu tunacho, madini ya uranium tunayo, ardhi kubwa ya kutenga kwa ajili ya vinu vya nyuklia ambayo hata majanga yakitokea hayawezi kuathiri watu tunayo.
Hivyo ni sisi tu kuamua Tanzania yetu tunataka iwaje miaka kumi ijayo.
Ukweli ni kwamba umeme wa nyuklia huwa ni bei rahisi sana kuuendesha na pia unatoa umeme mwingi ukilinganisha na vyanzo vingine vya umeme.. hii upelekea unafuu wa bei kwa mtumiaji wa mwisho ikiwemo viwanda.
Sote tunajua jinsi ilivyo ngumu kwa mwekezaji kuwekeza Tanzania kutokana na sheria zilipo bado tena uko kwenye urahisi wa kuwekeza wanajiongezea advantage nyingine ya kuwa na nishati nafuu ambayo inapelekea uendeshaji wa viwanda kuwa nafuu zaidi.
Serikali haioni kuwa tutakosa wawekezaji hasa hasa viwanda, Serikali imejipange bhasi kwa Tanzania kuwa na nishati nafuu kuliko majirani hivyo kupelekea ukuwaji na mapinduzi ya viwanda au ndo ile tumeshachagua kuwa soko la bidhaa la majirani?
Naona tupo kwenye mchakato wa kutengeneza Dira ya tanzania..Najua kuna wanao husika humu, tunaomba wafikilie pia kuhusu uzalishaji wa umeme wa nyuklia au kama tunaona hatuwezi bhasi waje na alternative ya nishati ambayo haitaathiliwa na mabadiliko ya hali ya hewa na yenye kutoa nishati ya bei rahisi.
Uzuri kila kitu tunacho, madini ya uranium tunayo, ardhi kubwa ya kutenga kwa ajili ya vinu vya nyuklia ambayo hata majanga yakitokea hayawezi kuathiri watu tunayo.
Hivyo ni sisi tu kuamua Tanzania yetu tunataka iwaje miaka kumi ijayo.