Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata waislam wenyekuifuata msaafu hawali ngamia kamweee
Maana zote sawa
Mijamaa itakuwa na akili sana.
Sidhan
Mbebanwa Nini?Waisilamu kila kona ya nchi tumebanwa hatari
Ukiona mtawala anaanza kuwalazimisha watu kwenda kinyume na dini zao elewa kuwa siku zake zinahesabika.
Hakuna shida, tusibishane kijinga.kwani wamelazimisha madam? Mbona kwenye shule zetu hapa tanzania siku ya nyama shuleni kuna vegetarian huwa hawatumii mboga hiyo na hakuna wakuwagusa. Shida iko wapi?
magonjwa mengi yamedhibitiwa kwa sasa hasa hayo Zoonotic.mimi si mlaji wa nguruwe ila nimemsoma na kwa tafiti zilizofanyika nyama yake ni nzuri na ina virutubisho vya kutosha bila kusahau anafaida chungu mzima kuanzia bandandani hadi mezani.ulaji wa nguruwe na tende waweza kuwa mwarobaini wa utapia mlo tukitazama kwa umakiniLa haraka haraka kichwani ni "swine flu" Elewa kuwa siku hizi dunia kiganjani, unaweza kumtumia chatgpt:
Swine can carry a variety of diseases that can be transmitted to humans. Some of the diseases associated with swine include ringworm, erysipelas, leptospirosis, streptococcosis, campylobacterosis, salmonellosis, cryptosporidiosis, giardiasis, balantidiasis, infection with pathogenic E. coli, and brucellosis¹.
ukitizama mtu kama kafiri yakubidi utafute sayari yako ukaishi humo bibiHata wakristo wenye kuifata biblia hawali nguruwe.
Ukiiona mijitu inakula nguruwre ujuwe hiyo ni mikafiri tu.
Yaani huyu ni wale wanazi wa kidini. Yaani yeye anatumia nguvu zake kutetea dini badala ya kukubali kuwa wanadamu tunatofautiana.ukitizama mtu kama kafiri yakubidi utafute sayari yako ukaishi humo bibi
Safi sana bonge la plan , Tanzania tunafeli sababu ya Iman za watu wengine kwa Kagame anakuambia ukileta mambo ya Iman za kidini kwenye Mipango ya serikali , haraka katafute nchi yakoView attachment 2639065
Mipango inaendelea kuwezesha shule kujumuisha nyama ya nguruwe katika ratiba ya chakula nchini Rwanda kama njia ya kutokomeza utapiamlo, Olivier Kamana, Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo na Rasilimali Wanyama amenukuliwa na gazeti la New Time nchini humo akisema.
"Tunaziomba shule kuanzisha miradi ya ufugaji wa nguruwe ili kuweza kumudu nyama ya nguruwe," alisema.
Mnamo mwaka wa 2019, mpango wa lishe shuleni ulitekelezwa katika shule za sekondari (zinazosaidiwa na serikali na za serikali) huku wanafunzi 680,000 wakipokea ruzuku ya Serikali ya chakula cha shule.
Takwimu za hivi karibuni zinaonesha kuwa shule za msingi na sekondari ziliongezeka kutoka 2,877 mwaka 2017 hadi 2,963.
Mnamo 2021, Rwanda ilizalisha tani 185,989 za nyama. Idadi ya nguruwe imeongezeka kutoka 989,000 mnamo 2012 hadi takriban milioni 1.5 mnamo 2021.
Nchi hiyo iilizalisha wastani wa tani 23,000 za nyama ya nguruwe kwa katika mwaka 2019 na inalenga kuongeza uzalishaji wa nyama hiyo hadi kufikia tani 68,000 ifikapo 2024.
“Tunashughulikia mpango wa kutumia vyanzo mbadala vya protini kulisha mifugo badala ya mahindi. Hii itasaidia kuongeza idadi ya wafugaji wa nguruwe na uzalishaji wa nguruwe,” Kamana alisema.
---
NB. Afya haina dini
Chakula Cha hiyari na Sio lazima hatushindwi kuwafungashia mboga zingine wasiotumia hio kituNaomba katiba mpya itamke wazi kuwa kitimoto ni chakula rasmi cha serikali/shule kama ilivyo kwa maharage.
Ye ni mpitaji Hana hata miaka 15 ya kuwepo DunianiSafi sana bonge la plan , Tanzania tunafeli sababu ya Iman za watu wengine kwa Kagame anakuambia ukileta mambo ya Iman za kidini kwenye Mipango ya serikali , haraka katafute nchi yako
Passport ni lazimaKwani wa tanzania kwenda rwanda mpaka passport? Nataka kujua ili kama ni free nianze mdogomdogo🥩🥣🥢🍖🥢🍛
shule ndogo ndio shida mimi nimeshuhudia dakitari wa mifugo wasilamu wengi tuh wana kagua nyama za nguruwe wanawakata meno, kuhasi na kuwatibu bila shida yoyote wala hawamchukii nguruwe tena wanafuga na nguruwe kabisa lakini sijda ziko usoniYaani huyu ni wale wanazi wa kidini. Yaani yeye anatumia nguvu zake kutetea dini badala ya kukubali kuwa wanadamu tunatofautiana.
Ajifunze kuishi na watu wa dini tofauti na yake pia.
Hakuna haijuae kesho si yeye wala wewe , ila yeye ni mpitaji wa mipango sio kibwegebwege , juzi kafungia makanisa 78 yasio na usajili na wachungaji wasio na degree ya theolojia wote kawafuta na makanisa yao kayafungilia mbali.....Ye ni mpitaji Hana hata miaka 15 ya kuwepo Duniani
Akiondoka akija mwingine atayafungulia ili apate kura za wapigakura.Afrika mtawala ndie sheria Kila ajae huja na yakeHakuna haijuae kesho si yeye wala wewe , ila yeye ni mpitaji wa mipango sio kibwegebwege , juzi kafungia makanisa 78 yasio na usajili na wachungaji wasio na degree ya theolojia wote kawafuta na makanisa yao kayafungilia mbali.....
Uislam umekataza kumla nguruwe ba wapo wenye kukufuru wanakula.shule ndogo ndio shida mimi nimeshuhudia dakitari wa mifugo wasilamu wengi tuh wana kagua nyama za nguruwe wanawakata meno, kuhasi na kuwatibu bila shida yoyote wala hawamchukii nguruwe tena wanafuga na nguruwe kabisa lakini sijda ziko usoni
Inategemea na nature ya wananchi , tabia zinazofanana na hapa kwetu sehemu nyingine does not applyAkiondoka akija mwingine atayafungulia ili apate kura za wapigakura.Afrika mtawala ndie sheria Kila ajae huja na yake