Mkuu, nadhani swala la nyama ya nguruwe kuwa ya bei ya chini(kutokuwa na thamani) linazingatia zaidi gharama za uzalishaji wa nyama ya nguruwe na hizo nyingine.Hata hapo Tanzania wewe uko wapi? Ulaya Nguruwe hana thamani, ni nyama yenye bei ya chini kuliko zote upo Malawi nini??? Umaskini tu ndio unamfanya mbongo afiklie kuwa nguluwe ni mtamu.
Hata wakristo wenye kuifata biblia hawali nguruwe.
Ukiiona mijitu inakula nguruwre ujuwe hiyo ni mikafiri tu.
. Sikushangai, wewe hata nyama ya mtu utakula tu.
Afya Haina dini.. au nasema uongo ndugu zanguUkiona mtawala anaanza kuwalazimisha watu kwenda kinyume na dini zao elewa kuwa siku zake zinahesabika.
Afya Haina dini.. au nasema uongo ndugu zangu
Kweli kabisa, wala husemi uongo. Dini njema inahimiza afya njema.Afya Haina dini.. au nasema uongo ndugu zangu
Serikali haina dini.Hata wakristo wenye kuifata biblia hawali nguruwe.
Ukiiona mijitu inakula nguruwre ujuwe hiyo ni mikafiri tu.
Huo ni uongo tuliodanganywa, serujali ya Tanzania inasema haina dini wakati tunafata common law ambayo kwa asilimia kubwa sana imechangiwa na cannon law.Serikali haina dini.
Labda unaongelea ulaya ya mpala kyala uko,ukitoa samaki nguruwe ndio nyama ya pili kwa bei.Hata hapo Tanzania wewe uko wapi? Ulaya Nguruwe hana thamani, ni nyama yenye bei ya chini kuliko zote upo Malawi nini??? Umaskini tu ndio unamfanya mbongo afiklie kuwa nguluwe ni mtamu.
Katiba ya nchi gani?..maana kwa Tanzania haiwezekani.Naomba katiba mpya itamke wazi kuwa kitimoto ni chakula rasmi cha serikali/shule kama ilivyo kwa maharage.
Safi sana, hiki ni chakula sahihi kwa afya ya wanadamu.View attachment 2639065
Mipango inaendelea kuwezesha shule kujumuisha nyama ya nguruwe katika ratiba ya chakula nchini Rwanda kama njia ya kutokomeza utapiamlo, Olivier Kamana, Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo na Rasilimali Wanyama amenukuliwa na gazeti la New Time nchini humo akisema.
"Tunaziomba shule kuanzisha miradi ya ufugaji wa nguruwe ili kuweza kumudu nyama ya nguruwe," alisema.
Mnamo mwaka wa 2019, mpango wa lishe shuleni ulitekelezwa katika shule za sekondari (zinazosaidiwa na serikali na za serikali) huku wanafunzi 680,000 wakipokea ruzuku ya Serikali ya chakula cha shule.
Takwimu za hivi karibuni zinaonesha kuwa shule za msingi na sekondari ziliongezeka kutoka 2,877 mwaka 2017 hadi 2,963.
Mnamo 2021, Rwanda ilizalisha tani 185,989 za nyama. Idadi ya nguruwe imeongezeka kutoka 989,000 mnamo 2012 hadi takriban milioni 1.5 mnamo 2021.
Nchi hiyo iilizalisha wastani wa tani 23,000 za nyama ya nguruwe kwa katika mwaka 2019 na inalenga kuongeza uzalishaji wa nyama hiyo hadi kufikia tani 68,000 ifikapo 2024.
“Tunashughulikia mpango wa kutumia vyanzo mbadala vya protini kulisha mifugo badala ya mahindi. Hii itasaidia kuongeza idadi ya wafugaji wa nguruwe na uzalishaji wa nguruwe,” Kamana alisema.
---
NB. Afya haina dini
Mungu aliumba nguruwe ila hakuumba dini.Ukijua kutofautisha vilivyoumbwa na Mungu na vilivyoumbwa na binadamu kamwe huwezi kupata shida.Hata wakristo wenye kuifata biblia hawali nguruwe.
Ukiiona mijitu inakula nguruwre ujuwe hiyo ni mikafiri tu.
Mungu kaumba vya kuliwa na visivyoliwa, au wewe vyenye uhai vyote unakula?Mungu aliumba nguruwe ila hakuumba dini.Ukijua kutofautisha vilivyoumbwa na Mungu na vilivyoumbwa na binadamu kamwe huwezi kupata shida.
Nakuuliza wewe mwenye kumbukumbu za Bata,maana hukumbuki Kama wayahudi hawali nguruweKwa dunia ya sasa isrel huwezi iweka hapo,halafu unaongelea wayahudi hawahawa unaowanaga kila uchwao ama??
Haa Ajitafakari Ila Rwanda Wamekubali Lishe Iwe Nzuri Kwa WoteUkiona mtawala anaanza kuwalazimisha watu kwenda kinyume na dini zao elewa kuwa siku zake zinahesabika.
Bila shaka haipo iyo ndude.Hivi hio nchi Haina dini ileeeeee?
Mhhhh makubwa!!!Labda unaongelea ulaya ya mpala kyala uko,ukitoa samaki nguruwe ndio nyama ya pili kwa bei.
Kuku broiler ndio nyama ya mwisho isiyo na bei
Na unajiita msweden... huoni aibu?? ulienda na group la kwaya na ukarudi nini?? Tuwekee hizo bei Kondoo au Ng'ombe alipozidiwa bei na Nguruwe??Labda unaongelea ulaya ya mpala kyala uko,ukitoa samaki nguruwe ndio nyama ya pili kwa bei.
Kuku broiler ndio nyama ya mwisho isiyo na bei