Rwanda kuanza kutumia nguruwe kama mlo mashuleni

Hata hapo Tanzania wewe uko wapi? Ulaya Nguruwe hana thamani, ni nyama yenye bei ya chini kuliko zote upo Malawi nini??? Umaskini tu ndio unamfanya mbongo afiklie kuwa nguluwe ni mtamu.
Mkuu, nadhani swala la nyama ya nguruwe kuwa ya bei ya chini(kutokuwa na thamani) linazingatia zaidi gharama za uzalishaji wa nyama ya nguruwe na hizo nyingine.
 
Hata wakristo wenye kuifata biblia hawali nguruwe.

Ukiiona mijitu inakula nguruwre ujuwe hiyo ni mikafiri tu.
. Sikushangai, wewe hata nyama ya mtu utakula tu.

mimi ni moja ya wakristo wasiokula nguruwe toka nazaliwa, hilo la Rwanda nadhani watajitahidi wale wasiokula nguruwe hasa wanaokatazwa kiimani watapata mlo wao ulioandaliwa kwa kufuata misingi ya imani, na sidhani kama itakua sera ya kitaifa maana waislamu Rwanda ni wengi na naamini hawatoafiki
 
Afya Haina dini.. au nasema uongo ndugu zangu

Kwenye viwango vya ubora wa chakula, unafahamu kama food nutrients za kwenye dagaa ni bora zaidi kuliko nyama ya nguruwe, kwahivo hua naangalia hata bei ya nyama kwenye maduka mbalimbali Halaal meat kama kuku, ng’ombe, ngamia, mbuzi, unganisha samaki na dagaa bei yake iko juu kuliko nyama ya nguruwe ushawahi kujiuliza kwa nini? Jibu ni kua hata protini ipatikanayo kwenye nguruwe ni hafifu sana
 
Hata hapo Tanzania wewe uko wapi? Ulaya Nguruwe hana thamani, ni nyama yenye bei ya chini kuliko zote upo Malawi nini??? Umaskini tu ndio unamfanya mbongo afiklie kuwa nguluwe ni mtamu.
Labda unaongelea ulaya ya mpala kyala uko,ukitoa samaki nguruwe ndio nyama ya pili kwa bei.
Kuku broiler ndio nyama ya mwisho isiyo na bei
 
Safi sana, hiki ni chakula sahihi kwa afya ya wanadamu.
 
Hata wakristo wenye kuifata biblia hawali nguruwe.

Ukiiona mijitu inakula nguruwre ujuwe hiyo ni mikafiri tu.
Mungu aliumba nguruwe ila hakuumba dini.Ukijua kutofautisha vilivyoumbwa na Mungu na vilivyoumbwa na binadamu kamwe huwezi kupata shida.
 
Mungu aliumba nguruwe ila hakuumba dini.Ukijua kutofautisha vilivyoumbwa na Mungu na vilivyoumbwa na binadamu kamwe huwezi kupata shida.
Mungu kaumba vya kuliwa na visivyoliwa, au wewe vyenye uhai vyote unakula?

Unajuwa maana ya neno dini?
 
Labda unaongelea ulaya ya mpala kyala uko,ukitoa samaki nguruwe ndio nyama ya pili kwa bei.
Kuku broiler ndio nyama ya mwisho isiyo na bei
Na unajiita msweden... huoni aibu?? ulienda na group la kwaya na ukarudi nini?? Tuwekee hizo bei Kondoo au Ng'ombe alipozidiwa bei na Nguruwe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…