Rwanda kuanza kutumia nguruwe kama mlo mashuleni

Rwanda kuanza kutumia nguruwe kama mlo mashuleni

Mkuu huyo bibi ana matatizo ya kiakili alisema tulete sharia wakamjibu aweke kwenye familia yake mtoto akiiba awe ana chinja sijui alishatekeleza hilo. Leo tena anasema kafiri. Kafiri ni yeye na baba yake huoni hilo?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 bas mkuu usimalize ukali wa maneno
 
Hata wakristo wenye kuifata biblia hawali nguruwe.

Ukiiona mijitu inakula nguruwre ujuwe hiyo ni mikafiri tu.
Mwanzo 1: 30 soma hiyo aya uone, huo Ndio mpango asili wa Mungu hata kabla ya walawi. Hata hivyo baadae ktk agano jipya bado inatiliwabmkazo kuwa kila chakula ni halari ili mradi kwa kiasi.
 
Dini zao ni zipi. Rwanda waislam hawafikii hata 0.5% ya population. Watapewa sukuma wiki

Watajijua
The majority of Rwanda's population is Christian. About 45% belong to the Catholic faith, 35% to the Protestant faith. Only about 5% profess Islam. This is primarily due to the first German, later Belgian colonization, in the course of which the country was Christian missionized.

Sasa nambie kwa ushahidi wa maandiko, katika dini hizo iipi imeruhusu kula nguruwe?
 
The majority of Rwanda's population is Christian. About 45% belong to the Catholic faith, 35% to the Protestant faith. Only about 5% profess Islam. This is primarily due to the first German, later Belgian colonization, in the course of which the country was Christian missionized.

Sasa nambie kwa ushahidi wa maandiko, katika dini hizo iipi imeruhusu kula nguruwe?
Ukiandika kingereza ndo inathibitisha kwamba ulichoongea ni kweli? Alaf acha kutumia lugha ta wazungu tumia lugha ya majini
 
Mwanzo 1: 29 soma hiyo aya uone, huo Ndio mpango asili wa Mungu hata kabla ya walawi. Hata hivyo baadae ktk agano jipya bado inatiliwabmkazo kuwa kila chakula ni halari ili mradi kwa kiasi.
Uongo siyo kweli. Yesu anasema katika biblia hakuja kutenguwa torati. Tenabhajawahi kula nguruwe na aliwaua jwa kuwaangamiza nguruwe kwa makundi,

Wewe umeingizwa mkenge kufakamia najisi
.
 
Hata mimi sijaona wakilazimushwa, lakini kumbuka, watoto wadogo ambao makwao hawali nguruwe, shuke wakipewa chochote watafakamia tu, hawana haja ya kulazimishwa.

Kwa wakubwa kila mmoja ana hiyari yake, kula najisi au kuwacha.
Daaah.... Nimeshindwa kukuelewa kabisa. Ungemwomba mtu anayejua kuandika akuandikie. But trust me. Hakuna mtu atakula nyama ya nguruwe kama huwa hali. Mimi nimesoma shule za kikristo walikuwa wanapika hiyo nyama kwa utaratibu wake na wanakula watu wanaotaka tu.

Wasiotaka hawali na wengine walikuwa imani zao zinawakataza ila wanakula kwa siri ni kama dhambi za uzinzi, ulevi, ushirikina, ubashiri, kamari n.k. watu wafundishwe kujiamini na kuamini wanachoamini. Mtoto wangu mdogo ana miaka 7 anasoma shule ambayo amezungukwa na watu wa Dini nyingine. Ila amebaki na msimamo wake na wanamheshimu.
 
View attachment 2639065

Mipango inaendelea kuwezesha shule kujumuisha nyama ya nguruwe katika ratiba ya chakula nchini Rwanda kama njia ya kutokomeza utapiamlo, Olivier Kamana, Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo na Rasilimali Wanyama amenukuliwa na gazeti la New Time nchini humo akisema.

"Tunaziomba shule kuanzisha miradi ya ufugaji wa nguruwe ili kuweza kumudu nyama ya nguruwe," alisema.

Mnamo mwaka wa 2019, mpango wa lishe shuleni ulitekelezwa katika shule za sekondari (zinazosaidiwa na serikali na za serikali) huku wanafunzi 680,000 wakipokea ruzuku ya Serikali ya chakula cha shule.

Takwimu za hivi karibuni zinaonesha kuwa shule za msingi na sekondari ziliongezeka kutoka 2,877 mwaka 2017 hadi 2,963.

Mnamo 2021, Rwanda ilizalisha tani 185,989 za nyama. Idadi ya nguruwe imeongezeka kutoka 989,000 mnamo 2012 hadi takriban milioni 1.5 mnamo 2021.

Nchi hiyo iilizalisha wastani wa tani 23,000 za nyama ya nguruwe kwa katika mwaka 2019 na inalenga kuongeza uzalishaji wa nyama hiyo hadi kufikia tani 68,000 ifikapo 2024.

“Tunashughulikia mpango wa kutumia vyanzo mbadala vya protini kulisha mifugo badala ya mahindi. Hii itasaidia kuongeza idadi ya wafugaji wa nguruwe na uzalishaji wa nguruwe,” Kamana alisema.

---

NB. Afya haina dini
saikolojia ya nguruwe naipenda sana!!!,anasemwa,anatukanwa sana.anapingwa san lakini bado ananenepa!!!
 
Huyu jamaa atawaua watoto wa watu kwa minyoo aina ya tegu.nguruwe hafai kuliwa hata kidogo hata kwa chakula cha mbwa hafai
 
Uongo siyo kweli. Yesu anasema katika biblia hakuja kutenguwa torati. Tenabhajawahi kula nguruwe na aliwaua jwa kuwaangamiza nguruwe kwa makundi,

Wewe umeingizwa mkenge kufakamia najisi
.
Umeisoma hiyo aya niliyokupa au unaaongea uliyokaririshwa.
 
Nilisoma seminary fulani nyanda za juu kusini aiseeh nazikumbuka siku za kula hiyo kitu ilikua inapikwa kila Jumanne na Alhamis mchana na jioni na wanatosha shule nzima.

Basi maandalizi yake ilikua nyama zinakaangwa kwanza alafu kuja kupikwa kwa ustadi sasa ile harufu yake nzuri watu walikua hawakai madarasani wanasubiri kengele igonge watu wanakimbizana tu kupata minofu na ugali..daaah

Kitimoto it is best choice! Hivi kuna nyama au mnyama yoyote anazidi Kitimoto kwa Utamu.???.😋😋😋😋😋 Jibu ni Hapana na haitakuja kutokea🤣🤣🤣
 
Uongo siyo kweli. Yesu anasema katika biblia hakuja kutenguwa torati. Tenabhajawahi kula nguruwe na aliwaua jwa kuwaangamiza nguruwe kwa makundi,

Wewe umeingizwa mkenge kufakamia najisi
.
Mwanzo 1: 30
 
Uongo siyo kweli. Yesu anasema katika biblia hakuja kutenguwa torati. Tenabhajawahi kula nguruwe na aliwaua jwa kuwaangamiza nguruwe kwa makundi,

Wewe umeingizwa mkenge kufakamia najisi
.
faiza unasema kweli,ila MUNGU hakukataza pekee, alikataza pia samaki wasio na magamba kama kambale,sungura n.k.......lakini wa2 wanakomaa nguruwe peke yake!!!
 
Uongo siyo kweli. Yesu anasema katika biblia hakuja kutenguwa torati. Tenabhajawahi kula nguruwe na aliwaua jwa kuwaangamiza nguruwe kwa makundi,

Wewe umeingizwa mkenge kufakamia najisi
.
Soma hadithi :Idadi 16,245 ya Muwa'ya Ibn Abu Sufyan.........Acha kuzunguka
 
Back
Top Bottom