Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,451
waislam wa huko hata wao wanataka kula vitu vya maana. Msiwajaze ujinga..Kwani hizo shule zina Wakristu tu? Basi kuwe na majiko mawili, Wakristu na Waislamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waislam wa huko hata wao wanataka kula vitu vya maana. Msiwajaze ujinga..Kwani hizo shule zina Wakristu tu? Basi kuwe na majiko mawili, Wakristu na Waislamu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 bas mkuu usimalize ukali wa manenoMkuu huyo bibi ana matatizo ya kiakili alisema tulete sharia wakamjibu aweke kwenye familia yake mtoto akiiba awe ana chinja sijui alishatekeleza hilo. Leo tena anasema kafiri. Kafiri ni yeye na baba yake huoni hilo?
🤣🤣🤣😂😂😂waislam wa huko hata wao wanataka kula vitu vya maana. Msiwajaze ujinga..
Dini zao ni zipi. Rwanda waislam hawafikii hata 0.5% ya population. Watapewa sukuma wikiUkiona mtawala anaanza kuwalazimisha watu kwenda kinyume na dini zao elewa kuwa siku zake zinahesabika.
WatajijuaHivi hio nchi Haina dini ileeeeee?
Upo sahii mkuuAmeathirika anahitaji msaada wa haraka sana. Yeye anafikiri waarabu ndo watu wako makini na smart kwenye kila kitu kumbe hawana chchte ni weupe pee.
Mwanzo 1: 30 soma hiyo aya uone, huo Ndio mpango asili wa Mungu hata kabla ya walawi. Hata hivyo baadae ktk agano jipya bado inatiliwabmkazo kuwa kila chakula ni halari ili mradi kwa kiasi.Hata wakristo wenye kuifata biblia hawali nguruwe.
Ukiiona mijitu inakula nguruwre ujuwe hiyo ni mikafiri tu.
The majority of Rwanda's population is Christian. About 45% belong to the Catholic faith, 35% to the Protestant faith. Only about 5% profess Islam. This is primarily due to the first German, later Belgian colonization, in the course of which the country was Christian missionized.Dini zao ni zipi. Rwanda waislam hawafikii hata 0.5% ya population. Watapewa sukuma wiki
Watajijua
😂😂😂 Yaani akili imejaa kamasi mpaka anaboA🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 bas mkuu usimalize ukali wa maneno
Ukiandika kingereza ndo inathibitisha kwamba ulichoongea ni kweli? Alaf acha kutumia lugha ta wazungu tumia lugha ya majiniThe majority of Rwanda's population is Christian. About 45% belong to the Catholic faith, 35% to the Protestant faith. Only about 5% profess Islam. This is primarily due to the first German, later Belgian colonization, in the course of which the country was Christian missionized.
Sasa nambie kwa ushahidi wa maandiko, katika dini hizo iipi imeruhusu kula nguruwe?
Uongo siyo kweli. Yesu anasema katika biblia hakuja kutenguwa torati. Tenabhajawahi kula nguruwe na aliwaua jwa kuwaangamiza nguruwe kwa makundi,Mwanzo 1: 29 soma hiyo aya uone, huo Ndio mpango asili wa Mungu hata kabla ya walawi. Hata hivyo baadae ktk agano jipya bado inatiliwabmkazo kuwa kila chakula ni halari ili mradi kwa kiasi.
Daaah.... Nimeshindwa kukuelewa kabisa. Ungemwomba mtu anayejua kuandika akuandikie. But trust me. Hakuna mtu atakula nyama ya nguruwe kama huwa hali. Mimi nimesoma shule za kikristo walikuwa wanapika hiyo nyama kwa utaratibu wake na wanakula watu wanaotaka tu.Hata mimi sijaona wakilazimushwa, lakini kumbuka, watoto wadogo ambao makwao hawali nguruwe, shuke wakipewa chochote watafakamia tu, hawana haja ya kulazimishwa.
Kwa wakubwa kila mmoja ana hiyari yake, kula najisi au kuwacha.
saikolojia ya nguruwe naipenda sana!!!,anasemwa,anatukanwa sana.anapingwa san lakini bado ananenepa!!!View attachment 2639065
Mipango inaendelea kuwezesha shule kujumuisha nyama ya nguruwe katika ratiba ya chakula nchini Rwanda kama njia ya kutokomeza utapiamlo, Olivier Kamana, Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo na Rasilimali Wanyama amenukuliwa na gazeti la New Time nchini humo akisema.
"Tunaziomba shule kuanzisha miradi ya ufugaji wa nguruwe ili kuweza kumudu nyama ya nguruwe," alisema.
Mnamo mwaka wa 2019, mpango wa lishe shuleni ulitekelezwa katika shule za sekondari (zinazosaidiwa na serikali na za serikali) huku wanafunzi 680,000 wakipokea ruzuku ya Serikali ya chakula cha shule.
Takwimu za hivi karibuni zinaonesha kuwa shule za msingi na sekondari ziliongezeka kutoka 2,877 mwaka 2017 hadi 2,963.
Mnamo 2021, Rwanda ilizalisha tani 185,989 za nyama. Idadi ya nguruwe imeongezeka kutoka 989,000 mnamo 2012 hadi takriban milioni 1.5 mnamo 2021.
Nchi hiyo iilizalisha wastani wa tani 23,000 za nyama ya nguruwe kwa katika mwaka 2019 na inalenga kuongeza uzalishaji wa nyama hiyo hadi kufikia tani 68,000 ifikapo 2024.
“Tunashughulikia mpango wa kutumia vyanzo mbadala vya protini kulisha mifugo badala ya mahindi. Hii itasaidia kuongeza idadi ya wafugaji wa nguruwe na uzalishaji wa nguruwe,” Kamana alisema.
---
NB. Afya haina dini
Umeisoma hiyo aya niliyokupa au unaaongea uliyokaririshwa.Uongo siyo kweli. Yesu anasema katika biblia hakuja kutenguwa torati. Tenabhajawahi kula nguruwe na aliwaua jwa kuwaangamiza nguruwe kwa makundi,
Wewe umeingizwa mkenge kufakamia najisi
.
Msamehee tu😂😂😂 Yaani akili imejaa kamasi mpaka anaboA
Mwanzo 1: 30Uongo siyo kweli. Yesu anasema katika biblia hakuja kutenguwa torati. Tenabhajawahi kula nguruwe na aliwaua jwa kuwaangamiza nguruwe kwa makundi,
Wewe umeingizwa mkenge kufakamia najisi
.
faiza unasema kweli,ila MUNGU hakukataza pekee, alikataza pia samaki wasio na magamba kama kambale,sungura n.k.......lakini wa2 wanakomaa nguruwe peke yake!!!Uongo siyo kweli. Yesu anasema katika biblia hakuja kutenguwa torati. Tenabhajawahi kula nguruwe na aliwaua jwa kuwaangamiza nguruwe kwa makundi,
Wewe umeingizwa mkenge kufakamia najisi
.
Naamini huyo siku akija kuila ndo siku atajilaumu maisha yake yote alikua wapi...unayafahamu hayo maradhi kwa majina bibi
Soma hadithi :Idadi 16,245 ya Muwa'ya Ibn Abu Sufyan.........Acha kuzungukaUongo siyo kweli. Yesu anasema katika biblia hakuja kutenguwa torati. Tenabhajawahi kula nguruwe na aliwaua jwa kuwaangamiza nguruwe kwa makundi,
Wewe umeingizwa mkenge kufakamia najisi
.