Rwanda kumleta Gen Patrick Nyamvumba kama balozi Tanzania

Rwanda kumleta Gen Patrick Nyamvumba kama balozi Tanzania

Nyamvumba, born June 11, 1967, served as Minister of Internal Security from November 2019 to April 2020. He also previously served as and Rwanda Defence Force (RDF) Chief of Defence Staff...
Kwa majeshi yenye traditions zilizosimama na yanayosimamia weredi na uzoefu badala ya who knows who huwezi kuta mtu aliyesimamia logistics huyohuyo anasimamia mafunzo, mipango na operesheni alafu baadae anaenda kusimamia mahakama kuu ya jeshi. Hizo ni kada tatu tofauti na zenye umuhimu mkubwa jeshini kiasi kwamba zinahitaji mtu anayezijua kwa usahihi na hawezi kuwa mmoja.

Kisiasa hapa Afrika inaweza tumika kwa kulazimisha, mtu asimamie sheria za nchi na baadae asimamie usafirishaji nchini. Ila nje uko huwezi kuta mtu amebobea kwenye sheria alafu ni waziri wa usafirishaji. Ufanisi unazingatiwa.

Ukisoma historia ya majenerali waliowahi fanya vizuri duniani kwenye vita mbalimbali unakuta wengi wali-stick kwenye field moja na kui-master. Sio leo uko logistics, kesho kwenye operations, keshokutwa kwenye mahakama.
 
Always do something for benefits, to serve your interests. This serves as an investment for a long term strategy. Beware the future is dark 🌑 aggression and expansionism foreign policies of some countries. Arrogance and militarism across borders and beyond borders. Time has come for that one remaining man under target as you forget they don't and keep their promises alive and firn
 
Ki usalama hiyo imekaaje mkuu?
Haibadili maana. Balozi yeyote anaweza simamia ujasusi na wala hakuna Balozi anayefanya ujasusi yeye mwenyewe hivyo hata umlete mkuu wa CIA impact yake ni ileile sawa na University lecturer mwenye mafunzo ya nini afanye.

Watu wa kuchunguza ni spies posing as wanadiplomasia ubalozini, wenye diplomatic immunity. Wao ndio wanatoka kufanya recruitment ya moles, handlers na double agents. Balozi hawezi kwenda Serena hotel kujichanganya na Waziri fulani kumpeleleza au kuiba taarifa. Kwanza uwepo wake popote unajulikana na attention kwake ni kubwa kwa move anayofanya.

Mifano ipo kwa Soviet KGB vs American CIA, majasusi wakubwa walioshindikana pande zote hawakuwa mabalozi. Ila mabalozi ndio walikuwa wanafukuzwa kama kuna tukio la kijasusi limejulikana sababu ni "act of protest" kwa nchi ya Balozi. Na Balozi anakuwa anajua au ana hints, hata kama ni jasusi ama sio. Yani leo Tanzania ikisaidia waasi wa Sudan, serikali ya Sudan itamfukuza Balozi wa Tanzania nchini humo ila haimaanishi yeye ndio kahusika direct.
 
Rwanda imemteua mkuu wa Majeshi wa zamani RDF Jenerali Patrick Nyamvumba kuwa Balozi wake mpya nchini Tanzania

Credit: Mwanzo TV Plus
 
bado natafakari kwa nini Rais Kagame amemuondoa Balozi Fatou Harerimana (yule mwenye muonekano kama wa Rais Samia) na kumteua huyu Jenerali Patrick Nyamvumba kuwa Balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania

Uteuzi huu unasubiri approval ya Tanzania

Jenerali Nyamvumba amepata kuhudumu kama mkuu wa majeshi ya ulinzi nchini Rwanda Kamanda wa kikosi cha umoja baina ya AU na UN huko Darfur kwenye mission ya ulinzi wa amani chini ya mwamvuli wa UNAMID…

Mhitimu huyu wa chuo cha kijeshi cha Nigeria ameshawahi pia kuwa kamanda wa vikosi vya ardhini, mkuu wa chuo cha kijeshi na rais wa mahakama ya kijeshi nchini kwake…

Pia amewahi kwa nyakati tofauti kuwa mkuu wa operesheni, mipango, mafunzo na logistics ndani ye jeshi la Rwanda

Baadae akateuliwa kuwa waziri wa usalama wa ndani nchini Rwanda

Nafasi aliyohudumu kwa muda mfupi kabla ya kutumbuliwa na Rais Kagame…

Baada ya hapo akaambiwa aripoti makao makuu ya jeshi kwa uchunguzi zaidi…

Alipewa tuhuma ambazo hazikuelezwa kwa undani za «uongo na utovu wa nidhamu»…

Je, ni sahihi Tanzania kumpokea pamoja na tuhuma hizo nchini kwake?

Pia, kwa nini Balozi huyu analetwa muda mfupi tu baada ya majeshi ya Tanzania 🇹🇿 kwenda huko Congo 🇨🇩 kupambana na M23 (ambao inasemekana wanasaidiwa na Rwanda 🇷🇼
 

Attachments

  • 1709125349349.jpg
    1709125349349.jpg
    154.1 KB · Views: 12
Jamaa amekuja kuongoza kikosi chake hukuu
Yaani ni hatari na nusu, tuombe Mungu...Naona wamejipanga bahima empire na yule wakwa K ndiye amekuwa recruited rasmi...Michezo ya wenzetu mabepari ni kugombanisha unganisha, vuruga changanya...Hakuna kuoatana Kwa muda mrefu mkawaza mambo ya maendeleo ya bara lenu...Africa work up, acheni kuwa chawa wa Hawa ma nduli weupe
 
Back
Top Bottom