Rwanda kumleta Gen Patrick Nyamvumba kama balozi Tanzania

Rwanda kumleta Gen Patrick Nyamvumba kama balozi Tanzania

Comment zenye hofu ni juu ya umahili wa PK kwenye kufanya yake nchi za watu,na vile mama yangu Tanzania jinsi alivyo na matobo ya wazi PK kupenya.
 
wala hamna shida kwasababu wakati wanataja jina hilo watu walimjua mwezi kabla, Warwanda wako nyuma mnoo Rwandese are far behind us inaitwa kwa kimakonde tayari mfereji umechimbwa wala usihofu na funza wameoteana weee acha aje wamuingie miguuni arudi migulu baja kwao
 
Ki usalama hiyo imekaaje mkuu?
Usalama wa, nini? We, unafikiri majizi, ya, Mali ya, umma, yanatoka nje! Tunaishi nayo hapa hapa, majizi, ya tegeta escrow, yote ni wanachama wa, ccm, mkapa aliiba mgodi ye ye na mkewe! Mke wa, mwinyi ndie alikuwa anaongoza genge LA wizi wa, dhahabu miaka ya, 90,tuna "internal threats" Kibao ndani ya, nchi, na wengi ni, ccm, hata hao majasusi, wa, Rwanda wakija,nchi hii IPO uchi kabisa, tatizo, sio, kwamba hatuna watu wabobezi, kisa ni, kuanzia Raisi ni mwizi!
 
Mbn sie tulimpeleka Mzee Siwa kipindi kile ? Acha aje ...
Wengi wameshapelekwa sio tui Afrika mpaka America huko; JK alimpeleka Canada, aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Idara ya Usalama wa Taifa ndugu Jack Zoka.

Watu wenyewe kwenye serikali za Kiafrika ni walewale tu; kikundi kidogo ndio kinatawala; hivyo wanabadilishana nyadhifa na sehemu tu.
 
Wengi wameshapelekwa sio tui Afrika mpaka America huko; JK alimpeleka Canada, aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Idara ya Usalama wa Taifa ndugu Jack Zoka.

Watu wenyewe kwenye serikali za Kiafrika ni walewale tu; kikundi kidogo ndio kinatawala; hivyo wanabadilishana nyadhifa na sehemu tu.
Sawa sawa Mkuu
 
hana lolote huyo!!!!,,,atawekwa chizi fresh mbele ya geti la nyumba yake!! atawekewa mchoma mahindi kando ya ofisi yake,akiwa anatoka atakuwa akifuatiliwa na bodaboda wa mchongo,,na jitihada zinafanyika kuweka mende wa mchongo chooni mwake!!,,alaf atasukumiwa demmu kutoka singida anayejua kinyarwanda!!
Basi inatoshaaaaa uchichemeeeee yote
 
Watanganyika na Great Thinkers; haya ni mambo ya kawaida kabisa kwenye Diplomasia ya nchi za Kiafrika.

Tanzania tuna mabalozi wengi na tulishakuwa na mabalozi wengi waliowahi kuwa na nyadhifa za juu katika vyombo vya Ulinzi na Usalama ( JWTZ, Usalama wa Taifa, Magereza, JKT, Migration, Wizara Ya Mambo ya Ndani, Jeshi la Polisi)
Ila kwa kuwa hatusomi na hatutafuti habari tunaishia kwenye kuhisi na kutunga mambo yasiyo na ukweli.
Hawa ni baadhi ya mabalozi wa Tanzania nchi za nje wa sasa na miaka ya nyuma ambao waliwahi kushika nafasi za juu katika vyombo vya Usalama.

Watanzania msiwe na hofu na Rwanda, haya mambo ni ya kawaida sana; inategemea na wewe unavyotafsiri.

Tembea na hii orodha

Ambassador Maj. Gen. (Ret) Gaudence Milanzi

2020 To Date - High Commissioner Pretoria, South Africa

Ambassador Maj. Gen. (Ret) Anselm Shigongo Bahati

2019 - 2022 - Ambassador Cairo, Egypt

Ambassador Lt. Gen. (Ret) Charles Lawrence Makakala

2015 - 2018 - Ambassador Harare, Zimbabwe

Ambassador Brig. Gen. (Ret) Fransic Mndolwa

2003 - 2010 - Ambassador Bujumbura, Burundi

Ambassador Maj. Gen. (Ret) Simon Marco Mumwi

2018 - 2021 - Ambassador Moscow, Russian Federation

Ambassador Ret. IGP. Ernest Jumbe Mangu

2018 - 2021 - High Commissioner Kigali, Rwanda

Ambassador Major Gen. (Ret) Issa S. Nassor

2017 - 2019 - Ambassador Cairo, Egypt

Ambassador Lt. Gen. (Ret) Paul Ignace Mella

2016 - 2021 - Ambassador Kinshasa, Congo (DR)

Ambassador Lt. Gen. Silas P. Mayunga

2000 - 2004 - Ambassador Kinshasa, Congo (DR)

1988 - 2000 - High Commissioner Abuja, Nigeria

Ambassador Lt. Gen. Martin Mwakalindile

2003 - 2006 - Ambassador Kigali, Rwanda

1988 - 2003 - High Commissioner Maputo, Mozambique

Ambassador Lt. Gen. (Ret) Abdulrahman Shimbo

2013 - 2017 - Ambassador Beijing, China

Ambassador Brig. Gen. Hashim Mbita

2003 - 2006 - High Commissioner Harare, Zimbabwe

Ambassador Lt. Gen. (Ret) Wynjones Mathew Kisamba

2014 - 2018 - Ambassador Moscow, Russian Federation

Ambassador Maj. Gen. Makame M. Rashid

2004 - 2009 - High Commissioner Lilongwe, Malawi

Balozi Meja Jenerali Ramson G Mwaisake - Rwanda

Balozi IGP (rt) Simon N Sirro - Malawi

Balozi Lt. Gen Mathew Edward Mkingula

Balozi - Lt. Gen Yacub Mohamed - UAE

Balozi - Dr. Modestus F Kipilimba - Namibia
 
Hiyo ni demotion, kapelekwa ubalozi unawekwa mbali na jikoni.
Si hivyo huo ni uteuzi wa kistratejia zaidi.

Balozi Fatou hakutosha sana kuna mambo mazito ambayo yahitaji mtu mwenye uzoefu mkubwa wa kuandaa mikakati.
 
Back
Top Bottom