Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
what if i say fvck youRwandaFlava2TheWorld
RWANDAFUL COUNTRY
Tunawapa 2years yakuteka Africa Tunauweza wakuimba nyimbo nzuri kwa lugha zote tena styles zote (French,English,Swahili,Kinyarwanda,Kirundi,Luganda,Lingala)
Meddy ,The Ben,Bruce Melody, Yvan Buravan, And Bumuntu, King James, Christopher,...... ni Next Levels
Huyo Otile mnakuza tu level za Brown Mauzo,hivi unawafahamu Sauti Sol? Sauti Sol hawaitaji biti kutengeneza hit,Accapella ya Sauti Sol ni hit tosha bila bitiSamahani ndug zangu wakenya nyie hamna vipaji vipaji vichache. Mnabebwa na otile tu.
Hao wa fukuza mapepo hawajui kitu
Namjua Meddy na Alpha.RwandaFlava2TheWorld
RWANDAFUL COUNTRY
Tunawapa 2years yakuteka Africa Tunauweza wakuimba nyimbo nzuri kwa lugha zote tena styles zote (French,English,Swahili,Kinyarwanda,Kirundi,Luganda,Lingala)
Meddy ,The Ben,Bruce Melody, Yvan Buravan, And Bumuntu, King James, Christopher,...... ni Next Levels
Singeli ni rahaNamjua Meddy na Alpha.
Hao wengine uliowataja hawajafikia hata Level ya Aslay, Mario, Country Boy n.k hapo sitaki kutaka wasanii wa WCB.
Hiyo rwanda nzima ninawapa Zuchu awatoe jasho.
Bongo Hakuna nchi hapa Africa mashariki wanatufika kwa muziki. Bongo tuna wasanii kibao na hapo sijakuwekea watu wa singeli. Ladha Kama zote.
wamekusifia kukimbia sasa ndugu umepitiliza mpaka kwenu khaRwandaFlava2TheWorld
RWANDAFUL COUNTRY
Tunawapa 2years yakuteka Africa Tunauweza wakuimba nyimbo nzuri kwa lugha zote tena styles zote (French,English,Swahili,Kinyarwanda,Kirundi,Luganda,Lingala)
Meddy ,The Ben,Bruce Melody, Yvan Buravan, And Bumuntu, King James, Christopher,...... ni Next Levels
hahhahhaaMimi nawapa best naso mjipime naye nguvu kwanza.
huo ndio ukweliMuziki mzuri hausemwi mdomoni mziki mzuri utaona tu watu wapo busy kuuimba na kuucheza.
Kama sukari ya zuchu vile.
East Africa muziki mzuri unazalishwa bongo kwa sasa.