Rwanda na DRC mbabe anajulikana, busara zitumike

Rwanda na DRC mbabe anajulikana, busara zitumike

Hoja mfu
Israel wapo mil 9, Nigeria wapo mil 200. Unataka kusema Nigeria inaweza kushinda Vita dhidi ya Israel?
Nimeandika juu kuwa Israel wameendelea kwa teknolojia - vifaru wanatengeneza wenyewe, ndege zisizo na rubani wanatengeneza, nk
Nitofauti na nchi zetu za EA ambazo kwa kiasi kikubwa zinategemea jeshi la ardhini ktk vita. Sasa kwa muktadha huo mwenye idadi kubwa ya jeshi ana faida mara dufu.
 
Hoja uduvi hii. Ubabe wa nchi haupimwi kwa idadi ya watu, bali unapimwa kwa weledi wa jeshi. Rwanda Ina jeshi lenye weledi kuliko nchi zote za Afrika Mashariki.

Ndiyo maana Israeli ni taifa dogo Sana lkn linapokuja suala la we lwdi wa jeshi wanaongoza
Kweli kabisa !!
 
Jeshi la DRC ni maarufu kwa kunywa pombe na kubaka Wanawake wa Kikongo.

Watapigana saa ngapi, ni Jeshi lisilo na nidhamu kuliko yote Barani Afrika.

Utamsaidia mtu ambae akiwaona tu M23 anatupa silaha na kuvaa nguo za Kiraia na kukimbia, jioni unamkuta Bar anawapiga kwala apewe Bia za bure.
Wanaume wenyeww hko 90% wakata mauno na kujichubua,wataiweza vita kweli

Ova
 
Kushinda vita sio wingi wa watu ila ni "ujuzi" katika vita. Angalia Israeli, kanchi kadogo lakini vita ndio wenyewe.
 
Back
Top Bottom