Rwanda: Rais Kagame ateua wakuu wapya wa kijeshi na kijasusi

Rwanda: Rais Kagame ateua wakuu wapya wa kijeshi na kijasusi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
1686125075773.png

Picha: Rais wa Rwanda, Paul Kagame

Rais wa Rwanda, Paul Kagame amefanya mabadiliko hayo makubwa pasipo kuweka kwa sababu ya kuchukua maamuzi hayo yaliyohusisha Mkuu wa Jeshi na Waziri wa Ulinzi kufutwa kazi kwa wakati mmoja.

Amemteua Juvénal Marizamunda kuwa Waziri wa Ulinzi akichukua nafasi ya Meja Jenerali Albert Murasira aliyekuwa katika nafasi hiyo tangu Mwaka 2018, pia Luteni jenerali Mubarakh Muganga ameteuliwa kuwa Mkuu wa Jeshi akichukua nafasi ya Generali Jean Bosco Kazura aliyeongoza idara ya RDF tangu Novemba 2019.

Mabadiliko hayo pia umehusisha uteuzi mpya wa Mkuu wa Jeshi (Vikosi vya Nchi Kavu) na Mkuu wa Ujasusi wa Kijeshi.

Pia amewabadilisha Makamanda Wakuu wa Wanajeshi wa Rwanda waliotumwa Nchini Msumbiji kusaidia kupambana na wanamgambo.
---

Rwandan president reshuffles top military officers

Rwanda's President Paul Kagame has appointed new military and intelligence chiefs in a major reshuffle.

The president appointed Juvénal Marizamunda as the new defence minister, replacing Maj Gen Albert Murasira, who was in the post since 2018.

A new army chief, Lt Gen Mubarakh Muganga, is taking over from Gen Jean Bosco Kazura who ran the Rwanda Defence Force (RDF) since November 2019.

A reshuffle in which a defence minister and army chief are fired at the same time is not common in Rwanda.

No reasons have been given for the reshuffle. In previous changes to the upper echelons of the military, Mr Kagame would at times publicly hint at the reason.

In the Monday night reshuffle, Mr Kagame also appointed a new army chief of staff (land forces) as well as head of military intelligence.

In another move, he changed the top commanders of Rwandan troops deployed in Mozambique to help fight militant Islamists.

Source: BBC
 
Itakua wamechapwa na majirani sio bure

Kuna mnyukano wanapeana chini kwa chini
 
Rais wa Rwanda, Paul Kagame amefanya mabadiliko hayo makubwa pasipo kuweka kwa sababu ya kuchukua maamuzi hayo yaliyohusisha Mkuu wa Jeshi na Waziri wa Ulinzi kufutwa kazi kwa wakati mmoja.

Amemteua Juvénal Marizamunda kuwa Waziri wa Ulinzi akichukua nafasi ya Meja Jenerali Albert Murasira aliyekuwa katika nafasi hiyo tangu Mwaka 2018, pia Luteni jenerali Mubarakh Muganga ameteuliwa kuwa Mkuu wa Jeshi akichukua nafasi ya Generali Jean Bosco Kazura aliyeongoza idara ya RDF tangu Novemba 2019.

Mabadiliko hayo pia umehusisha uteuzi mpya wa Mkuu wa Jeshi (Vikosi vya Nchi Kavu) na Mkuu wa Ujasusi wa Kijeshi.

Pia amewabadilisha Makamanda Wakuu wa Wanajeshi wa Rwanda waliotumwa Nchini Msumbiji kusaidia kupambana na wanamgambo.


#######

Rwandan president reshuffles top military officers

Rwanda's President Paul Kagame has appointed new military and intelligence chiefs in a major reshuffle.

The president appointed Juvénal Marizamunda as the new defence minister, replacing Maj Gen Albert Murasira, who was in the post since 2018.

A new army chief, Lt Gen Mubarakh Muganga, is taking over from Gen Jean Bosco Kazura who ran the Rwanda Defence Force (RDF) since November 2019.

A reshuffle in which a defence minister and army chief are fired at the same time is not common in Rwanda.

No reasons have been given for the reshuffle. In previous changes to the upper echelons of the military, Mr Kagame would at times publicly hint at the reason.

In the Monday night reshuffle, Mr Kagame also appointed a new army chief of staff (land forces) as well as head of military intelligence.

In another move, he changed the top commanders of Rwandan troops deployed in Mozambique to help fight militant Islamists.

Source: BBC
Kwa Kagame labda uwe umefikisha umri wa kustaafu tu, lakini akikutengua basi ukisalimika sana ni gerezani.

Kama kuna aliyetenguliwa hapo, basi kuanzia sasa atalindwa na kufuatiliwa kuliko Kagame
 
Hao waliotolewa kwenye hizo nafasi wanataki kuhama nchi mara moja, la sivyo Kagame atawaua.
Ahahahah.
Hapa ndio nafikaga kuona kwamba Tanzania tumepiga hatua kubwa sana kwenye mambo mengi ya kiutawala kias kwamba hakuna mwenye hadhi ya kujilinganisha na nini ukanda huu when it comes to transition and transformation of power kwenye mamlaka za ngaz mbali mbali hasa zile nyeti nyeti kama hiz za ulinzi na usalama
 
Angengoja Aende Nchi Nyingine Ila Siyo Tanzania Hapo Ingekuwa Rahisi Kumpindua Tena Chap. Sasa Kuna Wilaya Huko Kigoma Inaitwa Buhigwe Watu Wanavuka Kwa Miguu
Bado tungetafuta tu sababu ya kumzuia
 
View attachment 2648789
Picha: Rais wa Rwanda, Paul Kagame

Rais wa Rwanda, Paul Kagame amefanya mabadiliko hayo makubwa pasipo kuweka kwa sababu ya kuchukua maamuzi hayo yaliyohusisha Mkuu wa Jeshi na Waziri wa Ulinzi kufutwa kazi kwa wakati mmoja.

Amemteua Juvénal Marizamunda kuwa Waziri wa Ulinzi akichukua nafasi ya Meja Jenerali Albert Murasira aliyekuwa katika nafasi hiyo tangu Mwaka 2018, pia Luteni jenerali Mubarakh Muganga ameteuliwa kuwa Mkuu wa Jeshi akichukua nafasi ya Generali Jean Bosco Kazura aliyeongoza idara ya RDF tangu Novemba 2019.

Mabadiliko hayo pia umehusisha uteuzi mpya wa Mkuu wa Jeshi (Vikosi vya Nchi Kavu) na Mkuu wa Ujasusi wa Kijeshi.

Pia amewabadilisha Makamanda Wakuu wa Wanajeshi wa Rwanda waliotumwa Nchini Msumbiji kusaidia kupambana na wanamgambo.
---

Rwandan president reshuffles top military officers

Rwanda's President Paul Kagame has appointed new military and intelligence chiefs in a major reshuffle.

The president appointed Juvénal Marizamunda as the new defence minister, replacing Maj Gen Albert Murasira, who was in the post since 2018.

A new army chief, Lt Gen Mubarakh Muganga, is taking over from Gen Jean Bosco Kazura who ran the Rwanda Defence Force (RDF) since November 2019.

A reshuffle in which a defence minister and army chief are fired at the same time is not common in Rwanda.

No reasons have been given for the reshuffle. In previous changes to the upper echelons of the military, Mr Kagame would at times publicly hint at the reason.

In the Monday night reshuffle, Mr Kagame also appointed a new army chief of staff (land forces) as well as head of military intelligence.

In another move, he changed the top commanders of Rwandan troops deployed in Mozambique to help fight militant Islamists.

Source: BBC
Kama atawageuka akina Kazura na akina Jac Nziza basi mzee baba atakuwa hana shukrani maana hao majamaa ndo waliplay role kubwa sana ya kumweka madarakan pk
 
Back
Top Bottom