Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu.Hapo hujawekwa mbali..hapo wanakua wamekusogeza waku zoom kwa mbali.Si unajua ili kitu upate view yake vizur inabid ukiangalie kutoka mbali?????Lakini hawa wanaotenguliwa kwenye idara za ulinzi na usalama si huwa wanapewa ubalozi ili kuwaweka mbali na aliyewatengua.
Bora ameepusha ncgi kuingia dimbwini.View attachment 2648789
Picha: Rais wa Rwanda, Paul Kagame
Rais wa Rwanda, Paul Kagame amefanya mabadiliko hayo makubwa pasipo kuweka kwa sababu ya kuchukua maamuzi hayo yaliyohusisha Mkuu wa Jeshi na Waziri wa Ulinzi kufutwa kazi kwa wakati mmoja.
Amemteua Juvénal Marizamunda kuwa Waziri wa Ulinzi akichukua nafasi ya Meja Jenerali Albert Murasira aliyekuwa katika nafasi hiyo tangu Mwaka 2018, pia Luteni jenerali Mubarakh Muganga ameteuliwa kuwa Mkuu wa Jeshi akichukua nafasi ya Generali Jean Bosco Kazura aliyeongoza idara ya RDF tangu Novemba 2019.
Mabadiliko hayo pia umehusisha uteuzi mpya wa Mkuu wa Jeshi (Vikosi vya Nchi Kavu) na Mkuu wa Ujasusi wa Kijeshi.
Pia amewabadilisha Makamanda Wakuu wa Wanajeshi wa Rwanda waliotumwa Nchini Msumbiji kusaidia kupambana na wanamgambo.
---
Rwandan president reshuffles top military officers
Rwanda's President Paul Kagame has appointed new military and intelligence chiefs in a major reshuffle.
The president appointed Juvénal Marizamunda as the new defence minister, replacing Maj Gen Albert Murasira, who was in the post since 2018.
A new army chief, Lt Gen Mubarakh Muganga, is taking over from Gen Jean Bosco Kazura who ran the Rwanda Defence Force (RDF) since November 2019.
A reshuffle in which a defence minister and army chief are fired at the same time is not common in Rwanda.
No reasons have been given for the reshuffle. In previous changes to the upper echelons of the military, Mr Kagame would at times publicly hint at the reason.
In the Monday night reshuffle, Mr Kagame also appointed a new army chief of staff (land forces) as well as head of military intelligence.
In another move, he changed the top commanders of Rwandan troops deployed in Mozambique to help fight militant Islamists.
Source: BBC
Objects in mirror are closer than they appearHapana mkuu.Hapo hujawekwa mbali..hapo wanakua wamekusogeza waku zoom kwa mbali.Si unajua ili kitu upate view yake vizur inabid ukiangalie kutoka mbali?????
Wote wameondolewa wazeeKwa Kagame labda uwe umefikisha umri wa kustaafu tu, lakini akikutengua basi ukisalimika sana ni gerezani.
Kama kuna aliyetenguliwa hapo, basi kuanzia sasa atalindwa na kufuatiliwa kuliko Kagame
Ewaaah!!!Objects in mirror are closer than they appear
Enzi za Bwana yule tulianza kuelekea huko huko Rwanda.ni kawaida tu bongo ukaondolewa kwenye nafasi kitengoni na maisha mengine normal tu yakaendelea. Huanzi kuwindwa kana kwamba kutenguliwa ina equalize to death sentence kisa umepishana na mkubwa wako wa kazi kama anavyofanya Huyu bwana mdogo pembezoni hapo
Sahihi..yule bwana ni Mungu tuu alikua anajua tunaelekea wapi.Enzi za Bwana yule tulianza kuelekea huko huko Rwanda.
Kuna kipindi Kagame alikuwa na shutuma pia za kuajiri watu kutoka nchi jirani.Mbona jina comon sana kanda ya ziwa hilo
Kayumba nyamwasaWanaweza tu wakiwa wajanja kama yule cdf wao aliyekimbilia South afrika kupitia kenya..Nimemsahau jina.Na amenusurika mashambuliz mara kadhaa huko SA tooankwa vijana wa Kagame
Nyamwasa hakuwa Rwanda by then. Alikuwa ni balozi India kilivyonuka akachomokea huko huko.Exactly....Kayumba Nyamwasa..Aliteleza kibishi akamponyoka Kagame.Hawa ndio wababe sasa.Sio unakua mkuu wa majeshi af unakamatwa kindez ndez kama kuku broiler
Ingawa pia hakuchomoka kirahis rahis maana lazima alikua tailed under surveillanceNyamwasa hakuwa Rwanda by then. Alikuwa ni balozi India kilivyonuka akachomokea huko huko.
Tz ilifanya nini mkuu?Ahahahaj huyu ndio yule jamaa aliyetaka kumpindua Nkurunzinza akakimbilia Rwanda baada ya Tz kufanya yake
Si ilimrudisha Nkurunzinza na kuzima jaribio la mapinduziTz ilifanya nini mkuu?
Sawa lakin alikuwa ni balozi na ana kinga zote pili. Huyu jamaa ndio mtu pekee anaemjua Kagame nje ndani. So nae sio mwepesi.Ingawa pia hakuchomoka kirahis rahis maana lazima alikua tailed under surveillance
Nasahizi wanaiuza kwa waarabu kwa miaka miaSahihi..yule bwana ni Mungu tuu alikua anajua tunaelekea wapi.
Mpaka pale wenye nchi yao walipoingilia kazi
Kwa maana hiyo tuliendesha operation maalumu Burundi sio?..nimekupata.Si ilimrudisha Nkurunzinza na kuzima jaribio la mapinduzi
yeah na saa hizi hao wenye nchi yao wanaipiga bei nchi yetu kwa waarabu ....[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]Sahihi..yule bwana ni Mungu tuu alikua anajua tunaelekea wapi.
Mpaka pale wenye nchi yao walipoingilia kazi
Aaaaaaaaaaaaaaaamin banduguyeah na saa hizi hao wenye nchi yao wanaipiga bei nchi yetu kwa waarabu ....[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
mwamba apumzike kwa amani huko alipo...
Yule aishukuru South AfrikaExactly....Kayumba Nyamwasa..Aliteleza kibishi akamponyoka Kagame.Hawa ndio wababe sasa.Sio unakua mkuu wa majeshi af unakamatwa kindez ndez kama kuku broiler