Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kayumba NyamswaGeneral
Nyamaswa
Mkuu funguka kidogo, Kuna njama za military coup detat? Sio kawaida haya mabadiliko makubwa.End of Era
NotedEnd of Era
Mbona jina comon sana kanda ya ziwa hiloCdf wa RDF anaitwa MUGANGA labda kama hilo jina alipewa akiwa msituni ila kama ni jina halisi toka kwa mababu zake basi the guy ana element za kibantu japo ni mtutsi og.
Kama PK ananisikia hapo ndipo nyufa zake zitakapoanzia.
Una maana gani mkuu ?Ahahahah.
Hapa ndio nafikaga kuona kwamba Tanzania tumepiga hatua kubwa sana kwenye mambo mengi ya kiutawala kias kwamba hakuna mwenye hadhi ya kujilinganisha na nini ukanda huu when it comes to transition and transformation of power kwenye mamlaka za ngaz mbali mbali hasa zile nyeti nyeti kama hiz za ulinzi na usalama
ni kawaida tu bongo ukaondolewa kwenye nafasi kitengoni na maisha mengine normal tu yakaendelea. Huanzi kuwindwa kana kwamba kutenguliwa ina equalize to death sentence kisa umepishana na mkubwa wako wa kazi kama anavyofanya Huyu bwana mdogo pembezoni hapoUna maana gani mkuu ?
ni kawaida tu bongo ukaondolewa kwenye nafasi kitengoni na maisha mengine normal tu yakaendelea. Huanzi kuwindwa kana kwamba kutenguliwa ina equalize to death sentence kisa umepishana na mkubwa wako wa kazi kama anavyofanya Huyu bwana mdogo pembezoni hapoUna maana gani mkuu ?
Exactly....Kayumba Nyamwasa..Aliteleza kibishi akamponyoka Kagame.Hawa ndio wababe sasa.Sio unakua mkuu wa majeshi af unakamatwa kindez ndez kama kuku broilerGeneral
Nyamaswa
Yah maana inasemekana ndio waliomu eliminate RwigyemaKama atawageuka akina Kazura na akina Jac Nziza basi mzee baba atakuwa hana shukrani maana hao majamaa ndo waliplay role kubwa sana ya kumweka madarakan pk
Kuna kitu kimenuswa hapo, PK hawezi kufukuza wanajeshi 244 kwa wakati mmoja.View attachment 2648789
Picha: Rais wa Rwanda, Paul Kagame
Rais wa Rwanda, Paul Kagame amefanya mabadiliko hayo makubwa pasipo kuweka kwa sababu ya kuchukua maamuzi hayo yaliyohusisha Mkuu wa Jeshi na Waziri wa Ulinzi kufutwa kazi kwa wakati mmoja.
Amemteua Juvénal Marizamunda kuwa Waziri wa Ulinzi akichukua nafasi ya Meja Jenerali Albert Murasira aliyekuwa katika nafasi hiyo tangu Mwaka 2018, pia Luteni jenerali Mubarakh Muganga ameteuliwa kuwa Mkuu wa Jeshi akichukua nafasi ya Generali Jean Bosco Kazura aliyeongoza idara ya RDF tangu Novemba 2019.
Mabadiliko hayo pia umehusisha uteuzi mpya wa Mkuu wa Jeshi (Vikosi vya Nchi Kavu) na Mkuu wa Ujasusi wa Kijeshi.
Pia amewabadilisha Makamanda Wakuu wa Wanajeshi wa Rwanda waliotumwa Nchini Msumbiji kusaidia kupambana na wanamgambo.
---
Rwandan president reshuffles top military officers
Rwanda's President Paul Kagame has appointed new military and intelligence chiefs in a major reshuffle.
The president appointed Juvénal Marizamunda as the new defence minister, replacing Maj Gen Albert Murasira, who was in the post since 2018.
A new army chief, Lt Gen Mubarakh Muganga, is taking over from Gen Jean Bosco Kazura who ran the Rwanda Defence Force (RDF) since November 2019.
A reshuffle in which a defence minister and army chief are fired at the same time is not common in Rwanda.
No reasons have been given for the reshuffle. In previous changes to the upper echelons of the military, Mr Kagame would at times publicly hint at the reason.
In the Monday night reshuffle, Mr Kagame also appointed a new army chief of staff (land forces) as well as head of military intelligence.
In another move, he changed the top commanders of Rwandan troops deployed in Mozambique to help fight militant Islamists.
Source: BBC
Kayumba NyamwasaKayumba Nyamswa
Hakukosea padogo,alizidiwa draft na Tanganyika,na angebisha angechapikaHuyo Huyo Alitumwa Na Jamaa, Bongo Ikamsaidia Nkurunziza Kurudi Kwenye Uongozi
Africa Kuna Mambo Sana Kamanda Niyombale Alikosea Padogo Tu
Kayumba nyamwasaWanaweza tu wakiwa wajanja kama yule cdf wao aliyekimbilia South afrika kupitia kenya..Nimemsahau jina.Na amenusurika mashambuliz mara kadhaa huko SA tooankwa vijana wa Kagame
Lakini hawa wanaotenguliwa kwenye idara za ulinzi na usalama si huwa wanapewa ubalozi ili kuwaweka mbali na aliyewatengua.ni kawaida tu bongo ukaondolewa kwenye nafasi kitengoni na maisha mengine normal tu yakaendelea. Huanzi kuwindwa kana kwamba kutenguliwa ina equalize to death sentence kisa umepishana na mkubwa wako wa kazi kama anavyofanya Huyu bwana mdogo pembezoni hapo