Rwanda: Rais Kagame ateua wakuu wapya wa kijeshi na kijasusi

Hivi wilaya ya rwanda nayo ni nchi?
 
Ni mabadiliko ya kawaida, katika kugawana national cake; hakuna jipya.
 
Cdf wa RDF anaitwa MUGANGA labda kama hilo jina alipewa akiwa msituni ila kama ni jina halisi toka kwa mababu zake basi the guy ana element za kibantu japo ni mtutsi og.
Kama PK ananisikia hapo ndipo nyufa zake zitakapoanzia.
 
Una maana gani mkuu ?
 
Una maana gani mkuu ?
ni kawaida tu bongo ukaondolewa kwenye nafasi kitengoni na maisha mengine normal tu yakaendelea. Huanzi kuwindwa kana kwamba kutenguliwa ina equalize to death sentence kisa umepishana na mkubwa wako wa kazi kama anavyofanya Huyu bwana mdogo pembezoni hapo
 
Una maana gani mkuu ?
ni kawaida tu bongo ukaondolewa kwenye nafasi kitengoni na maisha mengine normal tu yakaendelea. Huanzi kuwindwa kana kwamba kutenguliwa ina equalize to death sentence kisa umepishana na mkubwa wako wa kazi kama anavyofanya Huyu bwana mdogo pembezoni hapo
 
Kuna kitu kimenuswa hapo, PK hawezi kufukuza wanajeshi 244 kwa wakati mmoja.

Dondoo ni mgogoro Congo DRC na makelele kutoka nje kuhusu M23.
 
SIku zake zinaelekea ukingoni. Huwezi sikia huo upuuzi nchi imara kama Tanzania
 
Huyo Huyo Alitumwa Na Jamaa, Bongo Ikamsaidia Nkurunziza Kurudi Kwenye Uongozi
Africa Kuna Mambo Sana Kamanda Niyombale Alikosea Padogo Tu
Hakukosea padogo,alizidiwa draft na Tanganyika,na angebisha angechapika
 
Lakini hawa wanaotenguliwa kwenye idara za ulinzi na usalama si huwa wanapewa ubalozi ili kuwaweka mbali na aliyewatengua.
 
Me nadhani KP kashtuliwa au kashtukia game, sidhani na nitakuwa wa mwisho kuamini 244 🪖 waondolewe as ni kawaida au kubadirisha utendaji NO.

Kutakuwa na harufu somewhere ya cake iliyooza so ameondoa kipande kisije ozesha cake yote, KP ni dictator hasa na ni dictator anayeogopwa hata na majirani so hii ni behind the scenes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…