Rwanda vipi tena? Hela inawaondolea heshima kiasi hiki

Ofcourse madhara yapo tu siku zote, hii lazima italeta ahida hata kwa EAC yote. Ila, pesa ni pesa tu ndugu yangu
 
Atawamaliza wote.

Kagame hataki ujinga nchini kwake.
Na hio Ni guaranteed,muhalifu yoyote pale ndio amepelekwa kwny kifo mambo ya haki za binadamu aliyokua anayapata huko alikotoka asahau.

Pale Ni chuma tu kinakohoa, imeisha hio.
 
Hiki kipande ni amazing:

"Hâta ombi la kupewa ukimbizi UK likikubaliwa bado utapelekwa Rwanda na utahesabika uko UK!"

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji1][emoji1] Sasa na wanyarwanda waliokua wanakimbilia UK kwa ukimbizi wa kisiasa itatakiwa wabaki huko huko Rwanda afu watahesabika wako UK [emoji1][emoji1][emoji1] so funny.
 
A revealing of what to come.
Historia huwa inajirudia
...na sisi tuende, twende, tukubali, na kusign EPA.

Twaweza faidika, kiuhasara na uharamu.

Comrade Mkapa, Rest in Peace atleast your critical vision has averted us the foreseen. It bought us time for the unveiling, a revealing of what it may look like.

Aluta Continua.
 
Kagame aangaliwe vizuri. Huyu anaweza kabisa hawa wahamiaji akawaruhusu kuingia Tanzania ili hata hela anazopewa azitumie kuwatunza afanyie mambo yake mengine.

Vyombo vya ulinzi Tanzania viwe macho na mipaka yetu yote
 
Rwanda wana akili na wanajua ni wapi watakapowatupa hao wakimbizi, ni huko Nyarugusu Kigoma Tanzania.
1st time wkt wanasema watawapokea wakimbizi kutoka Libya,Sudan na nchi nyinginezo pale Rwanda then mchakato wa kuwapeleka ulaya utaanzia Rwanda kelele zilipigwa za kutosha Kwamba Nchi jirani zitapewa huo mzigo wa wakimbizi lkn mpk Sasa zaidi ya miaka kadhaa Sasa hakuna hata mkimbizi mmoja wa kutoka huko Libya,Sudan etc aliyekutwa amevuka Boda kuingia nchi yoyote Ile ya E/Africa.
 
Denmark nao soon watasaini deal la aina hio na Rwanda.

Ikienda hivyo kwa miaka 20 watakunja hela za mabeberu mfukoni halafu ndani ya nchi watakua mchanganyiko mbalimbali wa makabila/races.
 
UK Refugee Council wamesema Hilo deal litaweza kuwagharimu walipa Kodi wa uingereza £1.4bil kwa mwaka,huku wakisema hio £150mil zitakazotolewa Ni kianzio kwa ajili ya majaribio ya project hio kwa serikali ya Rwanda.
 
Kagame aangaliwe vizuri. Huyu anaweza kabisa hawa wahamiaji akawaruhuru kuingia Tanzania ili hata hela anazopewa azitumie kuwatunza afanyie mambo yake mengine.

Vyombo vya ulinzi Tanzania viwe macho na mipaka yetu yote
Nasisi tulivyowazembe wanaweza kuingia kweli Tz
 
PAKA kwake pesa ni muhimu bila kujali inatoka wapi hata kwa shetani
 
Denmark nao soon watasaini deal la aina hio na Rwanda.

Ikienda hivyo kwa miaka 20 watakunja hela za mabeberu mfukoni halafu ndani ya nchi watakua mchanganyiko mbalimbali wa makabila/races.
Na nchi ndio itaendelea..kama ilivyo usa...karibisha wageni watumie..sio wadanganyika tumejifungia hatutaki exposure.

#MaendeleoHayanaChama
 
Na nchi ndio itaendelea..kama ilivyo usa...karibisha wageni watumie..sio wadanganyika tumejifungia hatutaki exposure.

#MaendeleoHayanaChama
Unamaanisha wakienda Rwanda watatumikishwa kama watumwa Kwa maendeleo ya Rwanda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…