Rwanda vipi tena? Hela inawaondolea heshima kiasi hiki

Rwanda vipi tena? Hela inawaondolea heshima kiasi hiki

Sasa watu watakao omba hifadhi watapungua Kama sio kuisha. Maana ukitia mguu uingereza utawala wa dick tatter (dikteta) wa Rwanda unakuhusu.
Kwa mfano ukitoka Arusha ukazamia uingereza baada ya wiki utajikuta uko Amahoro stadium unasubiri kupangiwa gereza.
 
Sasa watu watakao omba hifadhi watapungua Kama sio kuisha. Maana ukitia mguu uingereza utawala wa dick tatter (dikteta) wa Rwanda unakuhusu.
Kwa mfano ukitoka Arusha ukazamia uingereza baada ya wiki utajikuta uko Amahoro stadium unasubiri kupangiwa gereza.
Hahahhahahaha ila mwingereza kacheza vizuri hapa. Kachagua mtu mwenye roho mbaya ambaye hutatamani upelekwe kwake. Ingekuwa mtu anapelekwa Botswana, Namibia, Zambia au Tanzania isingeshtua sana.
 
Hahahhahahaha ila mwingereza kacheza vizuri hapa. Kachagua mtu mwenye roho mbaya ambaye hutatamani upelekwe kwake. Ingekuwa mtu anapelekwa Botswana, Namibia, Zambia au Tanzania isingeshtua sana.
Uzuri PK don't a give Fu.ck ameshakunja zake £120mil kibindoni kilaini kabisa bila hata wahamiaji kufika Rwanda.
 
Back
Top Bottom