Rwanda wamedhibiti Uhalifu 95% kwa mtutu

Rwanda wamedhibiti Uhalifu 95% kwa mtutu

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Jirani zetu Rwanda Ni ngumu kusikia vikundi Kama Panya Road.

Kule adabu ipo maana wajeda wanazunguka barabarani na SMG au AK-47 muda wote na ukileta mchezo unapata kile unastahili mubashara (live) na hakuna sijui NGOs sijui Human rights report, Usalama Kwanza.

Inasikitisha Tungekinya wameshindwa kushughulikia kikundi cha wahuni wachache.
NB: Usalama Rwanda ndio umewawezesha kupata nafasi ya ku-host CHOGM 2022 na mikutano mikubwa duniani
download (2).jpeg
 

Attachments

  • images (6).jpeg
    images (6).jpeg
    23.5 KB · Views: 27
  • images (41).jpeg
    images (41).jpeg
    42.7 KB · Views: 26
  • 5245725-ea91da56b4e2f55a9e51a5cbaaa0a9b3.mp4
    928 KB
Tatizo wameshapata watetezi humu humu jana mbichi usiku saa nne mitaa ya boko muuza duka wetu yupo hoi bin taabani sio wa kupona hao watoto wamemkata kata vibaya na kuchukua kila kitu [emoji25][emoji25]

Wapigwe shaba tu hao vijambazi vidogo visije vikakuwa vikawa majambazi walahi![emoji3062]
Wapigwe shaba na wazikwe kaburi moja wasiwasumbue majirani na wazazi kuzika dadadeki zao walahi [emoji35]
 
Jirani zetu Rwanda Ni ngumu kusikia vikundi Kama Panya Road.

Kule adabu ipo maana wajeda wanazunguka barabarani muda wote na ukileta mchezo unapata kile unastahili mubashara (live).

Inasikitisha Tungekinya wameshindwa kushughulikia kikundi cha wahuni wachache.View attachment 2374333
Ile nchi haina utawala wa sheria, huku watu angalau wanafikishwa mahakamani, huwezi kupiga risasi Kila mtu barabarani. Rwanda sio nchi ya kututolea mfano Tanzania, Rwanda ni Mali ya mtu mmoja, Tanzania inaongozwa kitaasisi
 
Rwanda ni ndogo sana kuidhibiti. Rpc wa tabora ni zaidi ya igp wa rwanda kwa majukumu.

Nadharia ya uharifu ni kuwa kadri watu wanakuwa wengi na wakosaj wanaongezeka.

Hongera PT kwa kupunguza uharifu.
Ukubwa wa nchi siyo kigezo halisi cha kushindwa kuzuia uhalifu.nchi kama ni kubwa unamaana hata jeshi litakuwa kubwa ili kuweza kukabili ukubwa wa eneo hilo.
 
Rwanda ni ndogo sana kuidhibiti. Rpc wa tabora ni zaidi ya igp wa rwanda kwa majukumu.

Nadharia ya uharifu ni kuwa kadri watu wanakuwa wengi na wakosaj wanaongezeka.

Hongera PT kwa kupunguza uharifu.
Hivi kwanini mnapenda kujitetea kwa kusema rwanda ni ndogo kama nchi mnaiona kubwa na kuwashinda igaweni basi. Hivi tz ni kubwa kuliko nchi zote duniani. Ok mbona panya road wanauwa watu dar ina maaba dar nu kubwa kuliko rwanda
 
Wapigwe shaba tu hao vijambazi vidogo visije vikakuwa vikawa majambazi walahi![emoji3062]
Wapigwe shaba na wazikwe kaburi moja wasiwasumbue majirani na wazazi kuzika dadadeki zao walahi [emoji35]
ISIS i miss you mama.
 
Uko sahihi
Rwanda ni ndogo sana kuidhibiti. Rpc wa tabora ni zaidi ya igp wa rwanda kwa majukumu.

Nadharia ya uharifu ni kuwa kadri watu wanakuwa wengi na wakosaj wanaongezeka.

Hongera PT kwa kupunguza uharifu.
 
Uko sahihi
Ile nchi haina utawala wa sheria, huku watu angalau wanafikishwa mahakamani, huwezi kupiga risasi Kila mtu barabarani. Rwanda sio nchi ya kututolea mfano Tanzania, Rwanda ni Mali ya mtu mmoja, Tanzania inaongozwa kitaasisi
 
Huna akili Yani kwa swala la usalama ndo uilinganishe Tanzania na Rwanda? Vipi hujui hiyo nchi hadi Sasa hivi Ina waaasi? Je huo usalama ni upi unaosemea? Kabla ya kuposti tumia kwanza akili kwa swala la usalama Tanzania inaongoza East and central Africa.Kwa ishu ya usalama Rwanda Hali yake ni ngumu sana kwa Sababu anytime huyo Kagame anapinduliwa ukizingatia nchi haiana political succession kama Tanzania.
 
Rwanda ni ndogo sana kuidhibiti. Rpc wa tabora ni zaidi ya igp wa rwanda kwa majukumu.

Nadharia ya uharifu ni kuwa kadri watu wanakuwa wengi na wakosaj wanaongezeka.

Hongera PT kwa kupunguza uharifu.
Kama ulikuwepo umemjibu swafi kabisa mtu kabla hujaja humu fanya ka utafiti kidogo angalia ratio ya askari kwa raia jiografia ya nchi n.k kha Rwanda na Tz wapi na wapi
 
Rwanda ni ndogo sana kuidhibiti. Rpc wa tabora ni zaidi ya igp wa rwanda kwa majukumu.

Nadharia ya uharifu ni kuwa kadri watu wanakuwa wengi na wakosaj wanaongezeka.

Hongera PT kwa kupunguza uharifu.
Dar ni kubwa kuliko Rwanda ? panya road wapo dar
 
Back
Top Bottom