Rwanda wamedhibiti Uhalifu 95% kwa mtutu

Rwanda wamedhibiti Uhalifu 95% kwa mtutu

Huna akili Yani kwa swala la usalama ndo uilinganishe Tanzania na Rwanda? Vipi hujui hiyo nchi hadi Sasa hivi Ina waaasi? Je huo usalama ni upi unaosemea? Kabla ya kuposti tumia kwanza akili kwa swala la usalama Tanzania inaongoza East and central Africa.Kwa ishu ya usalama Rwanda Hali yake ni ngumu sana kwa Sababu anytime huyo Kagame anapinduliwa ukizingatia nchi haiana political succession kama Tanzania.
acha ubish wa kitoto , yaan tz tuna watu wabish na hata hawajatembea , Rwanda ipo salama kuliko bongo , Rwanda ukipigwa tukio bas kuna mkono wa serikali na sio watu from no where kama panya road
 
Ukifanya ya Rwanda TZ kesho wanaharakati uchwara watasimama kupinga.

Mnapotaka kuiga ya Rwanda msiishie kwenye uhalifu tu igeni pia kuminywa kwa uhuru wa maoni, kutoa ukomo wa Rais nk
 
Siku zote nawaambia bunduki ndio njia pekee ya kuishape Jamii. Shetani anasikia kwa bunduki na sio Sheria. Sheria haiwezi ishape jamii. 80% ya wahalifu waliotoka jela wanarudia uhalifu. Kumpeleka muhalifu jela ni SAwa na kumpeleka hotelini. Muhalifu inatakiwa atenganishwe na Jamii kwa kurudishwa kuzimu.
 
Huwezi ukaumaliza uhalifu kwa kutumia sheria. Jiulize kwann nchi za kiislamu au China mtu kabla ajafanya uhalifu lazima ajiulize mara mbili mbili ikibidi aage kabisa na familia yake. Huko wameweza komesha uhalifu kwa bunduki.
 
Ile nchi haina utawala wa sheria, huku watu angalau wanafikishwa mahakamani, huwezi kupiga risasi Kila mtu barabarani. Rwanda sio nchi ya kututolea mfano Tanzania, Rwanda ni Mali ya mtu mmoja, Tanzania inaongozwa kitaasisi
Sheria imeshindwa kukomesha uhalifu njia mbadala inatakiwa.
Muhalifu kituo cha police SAwa na kantini jela SAwa na hotel.
 
Rwanda ni ndogo sana kuidhibiti. Rpc wa tabora ni zaidi ya igp wa rwanda kwa majukumu.

Nadharia ya uharifu ni kuwa kadri watu wanakuwa wengi na wakosaj wanaongezeka.

Hongera PT kwa kupunguza uharifu.
Sio udogo wa nchi bali uimara wa kiongozi,mbona enzi za Magu hawa watoto wa mbwa walipotea,au ulisikia upumbavu wa utekaji wa magari usiku.
Ukitoa amri tu nikisikia fyoo ya uhalifu ktk mkoa wapo RPC utangulie lockup na Kazi huna uone kama utasikia hata sauti ya panya mtaani. Police wanawajua wahalifu wote mtaani sugu ni nani anaejifunza ni nani maskani zote za wahalifu wanazijua. Watoto watukutu au watu wa namba namba wote Jamii inawajua wote, police ikishirikiana na Jamii Hakuna muhalifu atapona
 
Rwanda mmetupa pa kusimamia
 
Nionavyo mimi kuna matatizo ya:
1) Ratio ndogo ya Polisi to wananchi, yaani polisi wachache;
2) Masilahi ya Polisi (hata ya wafanyakazi wengine) kuwa duni, hivyo kuathiri ufanisi kazini;
3) Rushwa na ukosefu wa maadili, ambavyo huchangiwa kwa kiwango fulani na (b);
4) Ukosefu wa ajira;
5) Uchumi ambao haujazalisha au kuendeleza viwanda/ kilimo/utalii nk kwa kiwango cha kutosha kuwachukua vijana wengi;

Tatizo namba 5 likitatuliwa vema, mengineyo yatatulika fasta.
 
Sheria imeshindwa kukomesha uhalifu njia mbadala inatakiwa.
Muhalifu kituo cha police SAwa na kantini jela SAwa na hotel.
JPM alianza kufyatua watu marisasi, nchi nzima ilimkataa kumuelewa
 
Hivi kwanini mnapenda kujitetea kwa kusema rwanda ni ndogo kama nchi mnaiona kubwa na kuwashinda igaweni basi. Hivi tz ni kubwa kuliko nchi zote duniani. Ok mbona panya road wanauwa watu dar ina maaba dar nu kubwa kuliko rwanda
Marekani ndio kuna CIA na Teknolojia ya LTE kwenye mawasiliano lkn uhalifu na mauaji yapo sana tuuu, mbona hujailinganisha na Rwanda??
Rwanda ni kama Wilaya ya Ifakara tu kijiografia kamwe usijifanye kuitolea mfano dhidi ya Tanzania.
Rwanda hakuna Uhuru wa Mawazo.
Rwanda ni Nchi ya Kidikiteta chini ya Kagame, Rwanda ukimkosoa Kagame popote ulipo unauliwa sasa Nchi mbovu kama hii ndiyo ya kuifananisha na Tanzania. Wakati mwingine tumieni akili basi kuliko kuskia stori za Vijiweni
 
Huna akili Yani kwa swala la usalama ndo uilinganishe Tanzania na Rwanda? Vipi hujui hiyo nchi hadi Sasa hivi Ina waaasi? Je huo usalama ni upi unaosemea? Kabla ya kuposti tumia kwanza akili kwa swala la usalama Tanzania inaongoza East and central Africa.Kwa ishu ya usalama Rwanda Hali yake ni ngumu sana kwa Sababu anytime huyo Kagame anapinduliwa ukizingatia nchi haiana political succession kama Tanzania.
Ndoto za mchana mbaya
 
Nimefika Rwanda unachokisema ni kweli kuanzia saa 10 jion mpaka 11 alfajiri wajeda wanalinda Kila sehemu Ina outlet wanakua wawili wawili na mitutu na mikonga ya mawasiliano na ni nchi nzima.Inshu ya udogo wa nchi sio kweli sisi nchi kubwa na askari ni wengi karibu Kila wilaya Ina kikosi Cha jeshi na Polisi tukiamua tunaweza
 
Watusi hawarembi kwenye Uhalifu
 
Rwanda ni ndogo sana kuidhibiti. Rpc wa tabora ni zaidi ya igp wa rwanda kwa majukumu.

Nadharia ya uharifu ni kuwa kadri watu wanakuwa wengi na wakosaj wanaongezeka.

Hongera PT kwa kupunguza uharifu.
Hii ni logic mbovu sana, Gaza Ina watu million 2 ila mbona magaidi wa Hamas hawajamalizwa na wayahudi?? Kumbuka Tanzania tupo million 60 ikimaanisha askari nao ni wengi kuliko Rwanda so hii logic ya kwamba udogo wa eneo ndio urahisi Ina maana Burundi kungekua na amani 100% na kama Ukubwa ndio changamoto Leo hii China ingekua Ina magaidi Kila eneo!!!
 
Back
Top Bottom