Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
ili kupata usalama lazima nchi iwe kama ipo kwenye hali ya dharura. Ukilegezalegeza nchi inaanguka mikononi mwa wahalifu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea ukweli mtupuHii ni logic mbovu sana, Gaza Ina watu million 2 ila mbona magaidi wa Hamas hawajamalizwa na wayahudi?? Kumbuka Tanzania tupo million 60 ikimaanisha askari nao ni wengi kuliko Rwanda so hii logic ya kwamba udogo wa eneo ndio urahisi Ina maana Burundi kungekua na amani 100% na kama Ukubwa ndio changamoto Leo hii China ingekua Ina magaidi Kila eneo!!!
Mama ivan huyo'Excuses are like assholes. Everyone has one, and they all stink'-Mike Michalowicz
Rwanda ni Salama
Ni vigezo gani unatamani Rwanda na Tanzania zifanane? Historia zinafanana?Huna akili Yani kwa swala la usalama ndo uilinganishe Tanzania na Rwanda? Vipi hujui hiyo nchi hadi Sasa hivi Ina waaasi? Je huo usalama ni upi unaosemea? Kabla ya kuposti tumia kwanza akili kwa swala la usalama Tanzania inaongoza East and central Africa.Kwa ishu ya usalama Rwanda Hali yake ni ngumu sana kwa Sababu anytime huyo Kagame anapinduliwa ukizingatia nchi haiana political succession kama Tanzania.
Naplan ya kutafuta kiwanja ndani ya viunga vya kigali,nipe muongozo
Umenena. Polisi kule anajua akichafua tu,familia yake inaenda kuteseka mazima. Si kwamba wahalifu hawapo,lakini wao wanatumia akili nyingi kuliko unavyofikilia.Sio udogo wa nchi bali uimara wa kiongozi,mbona enzi za Magu hawa watoto wa mbwa walipotea,au ulisikia upumbavu wa utekaji wa magari usiku.
Ukitoa amri tu nikisikia fyoo ya uhalifu ktk mkoa wapo RPC utangulie lockup na Kazi huna uone kama utasikia hata sauti ya panya mtaani. Police wanawajua wahalifu wote mtaani sugu ni nani anaejifunza ni nani maskani zote za wahalifu wanazijua. Watoto watukutu au watu wa namba namba wote Jamii inawajua wote, police ikishirikiana na Jamii Hakuna muhalifu atapona