Muddy ni kifupisho cha jina Muhammad au Mohammed usijitoe ufahamu haya jibu swali la msingi
Wewe utakuwa dulla tu maana majina yenu ni kichekesho katika waislamu 200 130 utakuta wanaitwa Abdalla na 102 wanashea hadi ubin wa baba Abdalla Abdool ππ
Kwanza makelele sitaki, ila kama lazima basi yasiwe ya kiarabu, huwa mnakera sana na hicho kiarabu, nimewahi kuishi katikati ya misikiti miwili huko Dar, yalikua yanashindana kufyatua kiarabu alfajiri yaani nilikua nawahurumia sana watu wenye watoto wachanga nyumbani, hehehe yaani bure sana.....
Utakuta mtu mwenyewe Msukuma ameng'ang'ania kupigia watu makelele kwa Kiarabu.
Rwanda waislamu ni wachache mno wengi kule ni wakristu, sio kama huku kwetu ambapo tuko karibu nusu kwa nusu jambo linalofanya tuvumiliane na tuishi vzr kwa amani, sisi tunawavumilia mambo yao na wao wanatuvulia sisi mambo yetu...asietaka kumvumilia mwenzake hata ndoa haiwezi.
Dini ya mchongo tu hiyo haiwezi kujisimamia.Umesema wewe ni Muhindu, kwanini hamli nyama ya ng'ombe ??
Ipo hivi dini inanguvu kwenye serikali hivyo tujue kwamba kama ikitokea tz waislam wana nguvu kubwa kuiwekea ugumu kwenye mambo yao ya kisiasa nk.
Pia kwa wafia dini au wajinga watakataza na watasema hizo ni kelele ila kwangu mimi hua sichagui dini bali nachagua kinachotolewa na dini mimi ni mkristo ila nasikiliza mawaidha ya masheikh na pia misaafu nasoma kawaida maana wanachofundisha havina tofauti na vya kwetu yena kuna muda vinazidi maana ukweli na unafiki ni vitu viwili tofauti.
Mfia dini utawasikia anawaita wakristo makafiri hawaelewi maana ya ukafiri wanajiona wapo sawa hatakama wanatenda mabaya kiasi gani alimradi ni waislam wanajiona wapo sawa.
Wafia dini utawasikia wakisema waislam ni magaidi hawaelewi kwamba nchi ambazo kuna % kubwa ya vita ni waislam sasa nashindwa kuelewa wangevaa rozari ili wasiwe magaidi?
Hata vatikani kukiwa na ugaidi watavaa kama tamaduni zao zilivyo na watatafuta mistari kwenye biblia ili kujipa ruhusa kufanya yao kama wengine wanavyofanya.
Kama wewe sio mfia dini utaelewa zaidi ya hawa watu wanao ng'ang'ania dini bila kua na imani yeyote na matendo yao yanakinzana na dini zote.
Mi jingependa ile adhana iwe kwa kiswahili na pia mafundisho mengine yawe kwa kiswahili maana kupaza sauti kwa watu wengi af wachache ndio wanaelewa naona ni kupaka kuku rangi.
Pia kama nia yao kama nikutaka watu waingie peponi basi wapaze kwa lugha inayoeleweka na watu wote ili waelewe zaidi
Kama nia yao ni kupaza uislamu na kiarabu watoe maspika yao tu maana yanafaida kwa wachache na kero kwa wengi
Kama unataka watu wasiibe sema watu wasiibe 95% ya watu watakao sikia wataelewa sasa ukisema dhdejwkwbdhdjsskbd 10% wakaelewa na hao walio baki wakaendelea kuiba utakua umafanya kazi kubwaaa faida ndogo.
Mtu huona kelele kwasababu kinachosemwa akielewi utakuta huyohuyo kanisani kwao wana maspika kama ya wasanii wakubwa kwenye viwanja lakini kelele azioni maana anaelewa.
Naona ligha rahisi ihusike maana kuna watu kama mm ambao hatuangaliii dini saaana bali tunachukua mafundisho ambayo yanatufanya tuishi na watu vyema .
Kumbe waogopa Kiarabu na huogopi kiingereza!!?
Hivi huko Kenya huwa hawafyatui Adhana za kiarabu??--- je imekatazwa kutoa adhana huko kama Rwanda??
Dini ya mchongo tu hiyo haiwezi kujisimamia.
Ushashindwa kujibu swali unatapatapa, yani bila kumjengea muamini hofu hamna kitu huko, bila kutisha watu hamjakaa kwa amani kwa sababu mnajua imani yenu hiyo ni dhaifu sana.
Embu fikiria hichi kidogo tu bila Ukristo hakuna hiyo imani ila kuna Ukristo bila Uyahudi sijui unanielewa?
Tangu hata kagame ajazaliwa yapo pia hata tusio waislamu adhana inatusaidia kuwahi kuamka.Athari kimazingira haina?
Mimi nimelala zangu sina habari nao wananiamsha saa 11 huo sio usumbufu?
Unajua hayo mavipaza sauti yameanza kutumika lini?
unafyatukia watu alfajiri kama chizi
Umefikia stage hii ??!---- the exceedingly hatred !!.
Wewe umeishi Tz je umepata kuwasikia Wa Tz wasiokuwa Waisilamu wakilakamika juu ya adhana ya Alfajiri?? au umepata kuwasikia Waisilamu wakilalamika juu ya kengele za wakatoliki kila saa 12 asubuhi na jioni??, we live in harmony and tolerences that you will never find in Kenya.
Kama kuishi bila ukabila mmeshindwa je kuvumiliana katika mambo ya imani na ibada kwa baadhi ya ninyi etheists mtaweza??
Chuki na husuda ni sumu inayotafuna roho zenu mbaya za kijahili, kishetani na ngono.
Ulitaka kuingia Uisilamu sababu ya hamu ya ngono, je hiyo hamu leo imeisha?? au ndio malaya wote wa Kakamega wanakutambua??
You adulterous.
Huyo Muddy ndiye nani??
Wacha kulialia...Hakuna anachukia dini lenu hilo ila acheni makelele ya kiarabu alfajiri yote, watu wamelala na watoto wachanga, lugha yenyewe haifundishwi kwenye shule yoyote ya Kayumba, unakurupuka kwenye spika na kiarabu, mkiacha hizo kero hakuna ambaye atawasema chochote, almradi hamlazimishi watu kwenye mnachokabudu huko.
Sema inakusaidia wewe! wengine ni kero kwetu!Tangu hata kagame ajazaliwa yapo pia hata tusio waislamu adhana inatusaidia kuwahi kuamka
Hamchelewi kujilipua na kuua raia wasio na hatia,ndio maana mambo mengi kombe linafunikwa!Kagame yeye kawadhibiti!Anzia huko kwenu Kenya kupiga campaign ya kuzuia adhana kama wewe ni kidume!!.
Rais wako U.M kenyatta anaiheshimu adhana itakuwa wewe kibiriti ngoma wa kibera!!?, una nini wewe??
Anzia huko kwenu Kenya kupiga campaign ya kuzuia adhana kama wewe ni kidume!!.
Rais wako U.M kenyatta anaiheshimu adhana itakuwa wewe kibiriti ngoma wa kibera!!?, una nini wewe??
Hamchelewi kujilipua na kuua raia wasio na hatia,ndio maana mambo mengi kombe linafunikwa!Kagame yeye kawadhibiti!
Huyu mwishowe atakuwa shoga kama hao wafadhili wake. Tulimuona wa maana kumbe bure kabisa. Nani alimpa yeye cheti cha kuwa raisi.Dozi zinagawiwa kwa pande zote.[emoji1][emoji1]View attachment 2188614
Analeta ujinga baada ya Ujinga jirani yetu.Hatutaki jirani mjinga kama Ukraine.Mara wakimbizi wa Uiengereza waje kwake.Mara adhana.Kama aliwahi kusifiwa eti ameleta maendeleo basi mwisho wake ni sasa.Paul kagame noma. Ingekuwa tz tungepga kelele knoma