Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Kwa kurudia swali lako lile lile kila mara ambalo umejibiwa inaonesha umeona mwanya wa kutokea hapa ingawaje huo mwanya haupo.Na ni ishara kuwa yale majibu mengine ambayo umeyakalia kimya umeyaelewa.Nashukuru kwa hilo.Tuje kwenye hivi viswali vyako vya kitoto na vya wagonjwa wa akili tupate majibu yake kulingana na ugonjwa wako.
1.Nani alifanywa mbadala si lazima atajwe kwani kwanza Allah s.w hufanya atakalo na sisi hatumuulizi wala hatumpangii
2.Kitu muhimu alichotaka kufanya ni kumuokoa mja wake mtukufu Yesu ambaye ndiye Issa bin Maryam ili asidhuriwe na washenzi,baada ya hapo awawache maadui hao wamezubaa na wasiwe na majibu ya alipo Yesu.Eti walimzika halafu akafufuka baada ya siku tatu.Si vituko hivyo.Kwa kusema kwao huo ndio walizidi kujigaragaza na Allah s.w anawacheka na wanachekesha mpaka leo.
3.Tulisema hapo juu na.1 kuwa Allah ana hekima sana analofanya haulizwi na iwapo hujaona hekima yake leo utajuwa hapo baadae.Kwa huko kufananishwa Issa a.s faida zake ni hizo hapo juu na.2
4.Hizo simulizi kuwa kuna walioshuhudia ambazo unazisoma kwenye biblia,kitabu chenye makosa 50,000 nakupa pole.
Nakunasihi umuangalie tena yule mtafiti Ahmed Deedat ambaye hata papa wa enzi zile alimuogopa na alimkimbia.
Wewe ni nani unayetaka kutetea simulizi za kwenye Biblia ambayo naamini hujaiweka akilini japo misitari mitano.Msikilize hapo chini.

Usipaniki jibu maswali , hujajibu
Kumbuka Allah alifanya mtu anaefanana na Isa kabisa na ndio maana Jews wakasema wamemuona na wamemuua
, Tunataka kujua haya mwaswali
1. Nani alifanywa mbadala wa isa?
2. Allah anakiri Isa bandia aliuawa kwa nini Allah alitoa mtu mwingine innocent afe?
3. Watu waliona Isa bandia kafa na kafanana na original , kwa nini Allah aliwadanganya?
4. Waliona na kushuhudia na Alie waekea bandania nani muongo? Walio andika walichoona kwamba kasukubia au Alie wafanyia bandia?
 
Usipaniki jibu maswali , hujajibu
Kumbuka Allah alifanya mtu anaefanana na Isa kabisa na ndio maana Jews wakasema wamemuona na wamemuua
, Tunataka kujua haya mwaswali
1. Nani alifanywa mbadala wa isa?
2. Allah anakiri Isa bandia aliuawa kwa nini Allah alitoa mtu mwingine innocent afe?
3. Watu waliona Isa bandia kafa na kafanana na original , kwa nini Allah aliwadanganya?
4. Waliona na kushuhudia na Alie waekea bandania nani muongo? Walio andika walichoona kwamba kasukubia au Alie wafanyia bandia?
Vitu vingi umefahamum,ndio maana huvitaji tena.Hii nyengine nayo naamini utafahamu. Angalia vizuri hapo kwenye tafsiri ya aya uliyoinukuu katika suratun nisaa.Wewe umeshikilia unataka kujua Mungu alimfananisha Issa a.s na mtu gani.Kwa kweli hapo haikutajwa kuwa alifananishwa na mtu au kitu gani.Yawezekana kinyago au kivuli.Sasa mbona unalazimisha awe mtu halafu umjuwe ni mtu gani.Ili iweje utakapomjua ?.Pia aya haikusema kuwa Issa a.s aliuwawa bali imetajwa alipaishwa.Na nashangaa kuwa umepata upofu kiasi hicho,kwa sababu msingi wa kuteremka hiyo aya ilikuwa ni kutetea hoja zenu kuwa Isa a.s aliuliwa.Aya inasema hakuuliwa wala hakusulubiwa.
Inaonekana wewe huna heshima kabisa na Mungu na hujui uwezo wake.Unajadiliana naye,eti kwanini aliwadanganya.Mungu hadanganyi bali anatenda kweli pekee kwa sababu kila kitu ni chake na hamuogopi yeyote. Ukijaribu kutoa kauli za utovu wa nidhamu namna hii hutajifunza chochote katika maisha yako.Mitihani na kuonesha nguvu zake zisizo kifani ni mambo ya tangu ulipoumbwa ulimwengu na hayakuanza kwa Issa bin Maryam pekee. Soma kisa cha nabii Ibrahim na mwanawe Ismail,soma nabii Nuhu na mkewe na mwanawe na watu wa mji wao.na mengi mengineyo.Jee yupo aliyedanganywa.? Wacha kuchanganyikiwa halafu ukajidanganya wewe.
 
Vitu vingi umefahamum,ndio maana huvitaji tena.Hii nyengine nayo naamini utafahamu. Angalia vizuri hapo kwenye tafsiri ya aya uliyoinukuu katika suratun nisaa.Wewe umeshikilia unataka kujua Mungu alimfananisha Issa a.s na mtu gani.Kwa kweli hapo haikutajwa kuwa alifananishwa na mtu au kitu gani.Yawezekana kinyago au kivuli.Sasa mbona unalazimisha awe mtu halafu umjuwe ni mtu gani.Ili iweje utakapomjua ?.Pia aya haikusema kuwa Issa a.s aliuwawa bali imetajwa alipaishwa.Na nashangaa kuwa umepata upofu kiasi hicho,kwa sababu msingi wa kuteremka hiyo aya ilikuwa ni kutetea hoja zenu kuwa Isa a.s aliuliwa.Aya inasema hakuuliwa wala hakusulubiwa.
Inaonekana wewe huna heshima kabisa na Mungu na hujui uwezo wake.Unajadiliana naye,eti kwanini aliwadanganya.Mungu hadanganyi bali anatenda kweli pekee kwa sababu kila kitu ni chake na hamuogopi yeyote. Ukijaribu kutoa kauli za utovu wa nidhamu namna hii hutajifunza chochote katika maisha yako.Mitihani na kuonesha nguvu zake zisizo kifani ni mambo ya tangu ulipoumbwa ulimwengu na hayakuanza kwa Issa bin Maryam pekee. Soma kisa cha nabii Ibrahim na mwanawe Ismail,soma nabii Nuhu na mkewe na mwanawe na watu wa mji wao.na mengi mengineyo.Jee yupo aliyedanganywa.? Wacha kuchanganyikiwa halafu ukajidanganya wewe.
Haujajibu maswali.

Mi nakuongezea hili.

Tuassume kama ni kweli Issa hakusulubiwa .

kwanini ilichukua miaka 600 kwa Mungu wenu kuja kusema the so called Issa hakusulubiwa?

Je, ni watu wangapi watakuwa wamepotoka in the span of 600 years wakiamini issa alisulubiwa lakini kumbe hakusulubiwa mpaka pale Mtume Mohammed alipokuja kusema hivyo baada ya Quran kuteremshwa ?
 
Vitu vingi umefahamum,ndio maana huvitaji tena.Hii nyengine nayo naamini utafahamu. Angalia vizuri hapo kwenye tafsiri ya aya uliyoinukuu katika suratun nisaa.Wewe umeshikilia unataka kujua Mungu alimfananisha Issa a.s na mtu gani.Kwa kweli hapo haikutajwa kuwa alifananishwa na mtu au kitu gani.Yawezekana kinyago au kivuli.Sasa mbona unalazimisha awe mtu halafu umjuwe ni mtu gani.Ili iweje utakapomjua ?.Pia aya haikusema kuwa Issa a.s aliuwawa bali imetajwa alipaishwa.Na nashangaa kuwa umepata upofu kiasi hicho,kwa sababu msingi wa kuteremka hiyo aya ilikuwa ni kutetea hoja zenu kuwa Isa a.s aliuliwa.Aya inasema hakuuliwa wala hakusulubiwa.
Inaonekana wewe huna heshima kabisa na Mungu na hujui uwezo wake.Unajadiliana naye,eti kwanini aliwadanganya.Mungu hadanganyi bali anatenda kweli pekee kwa sababu kila kitu ni chake na hamuogopi yeyote. Ukijaribu kutoa kauli za utovu wa nidhamu namna hii hutajifunza chochote katika maisha yako.Mitihani na kuonesha nguvu zake zisizo kifani ni mambo ya tangu ulipoumbwa ulimwengu na hayakuanza kwa Issa bin Maryam pekee. Soma kisa cha nabii Ibrahim na mwanawe Ismail,soma nabii Nuhu na mkewe na mwanawe na watu wa mji wao.na mengi mengineyo.Jee yupo aliyedanganywa.? Wacha kuchanganyikiwa halafu ukajidanganya wewe.
Hujajibu maswali umeleta bla bla tu , nani muongo Kati ya aliedanganya Isa bandia na walio ona Isa bandia ambae yupo sawa na original ? Na wanasema wameona original
 
Haujajibu maswali.

Mi nakuongezea hili.

Tuassume kama ni kweli Issa hakusulubiwa .

kwanini ilichukua miaka 600 kwa Mungu wenu kuja kusema the so called Issa hakusulubiwa?

Je, ni watu wangapi watakuwa wamepotoka in the span of 600 years wakiamini issa alisulubiwa lakini kumbe hakusulubiwa mpaka pale Mtume Mohammed alipokuja kusema hivyo baada ya Quran kuteremshwa ?
Miaka 600 ni mingi kwako wewe lakini kwa Mwenyezi Mungu ambaye ni wa milele si mingi katika hesabu zake.Muda huo baina ya nabii Issa na nabii Muhammad s.a.w watu hawakuachwa hivi hivi walikuwa ni waislamu.Walipoanza kupotoka au kupotoswa na akina Marko na wenzake waliotunga biblia ndipo Mwenyezi Mungu akamleta mtume wake mwengine kusahihisha mambo ili watu warudi tena kuwa waislamu isipokuwa wale watakaokubali kupotoshwa na Mathayo na wenzake.
 
Miaka 600 ni mingi kwako wewe lakini kwa Mwenyezi Mungu ambaye ni wa milele si mingi katika hesabu zake.Muda huo baina ya nabii Issa na nabii Muhammad s.a.w watu hawakuachwa hivi hivi walikuwa ni waislamu.Walipoanza kupotoka au kupotoswa na akina Marko na wenzake waliotunga biblia ndipo Mwenyezi Mungu akamleta mtume wake mwengine kusahihisha mambo ili watu warudi tena kuwa waislamu isipokuwa wale watakaokubali kupotoshwa na Mathayo na wenzake.
Ndivyo huyo mwarabu alivyowadanganya na hata Bible haimtambui.
Huyo alikuwa ni Spiritual Leader aliyekuta watu wa zama hizo wengi wakiwa wajinga na wengine waliogopa majambia waliyokuwa wakitembeza ili kueneza imani yao kwa nguvu.
 
Hoja sio miaka 600 ni Mingi kwa Mungu au la !

Narudia swali langu, kwanini Mungu wako alisubiri miaka 600 ili aje kusema Yesu hakusulubiwa na kuacha watu wapotoke kwa miaka 600!
Kumbuka kwa mujibu wa maandiko yenu yeye ndiye aliyeafanya waamini hivyo kuwa alisulubiwa .Nasubiria jibu.
 
Back
Top Bottom