Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Swali nani alimuona akiwa anapaa, issue ya kuadithia Haina mashiko kabisa , Yesu alifanya miujiza na watu walikuwa wanaona kwa macho sio Hadith

Kumbuka pia Muhammad alikuwa mgonjwa , anafikiri kafanya kitu kumbe hajafanya

The Prophet (ﷺ) continued for such-and-such period imagining that he has slept (had sexual relations) with his wives, and in fact he did not ....Sahih al-Bukhari 6063
Wewe ni mpuuzi kabisa.Yaani watu wanaweza kumuona Yesu akifanya miujiza lakini hawawezi kumuona Muhammad akifanya miujiza. Kama zote ni hadithi basi hizi zinazomuhusu Muhammad s.a.w ni za kuaminika zaidi kwa sababu zimekusanywa kitaalamu na ni miaka ya karibuni kuliko wakati wa Yesu. Halafu habari za Yesu kwenu mnasoma kwenyee biblia kitabu kilichojaa makosa.Ukitaka habari za uhakika za Yesu utazipata katika Qur'an na vitabu vyetu vya hadithi. Huyu Yesu anatuhusu sisi waislamu zaidi kwa sababu ni mwenzetu katika imani.
Kumbuka kuwa kitabu cha Qur'an ni kitabu cha miujiza hivyo habari zinazotajwa humo ni kweli tupu,sisi hatuwezi kumpa Yesu sifa chini ya hadhi yake ya kiutume kuliko mnavyofanya nyinyi. Eti alisulubiwa huku analia. Katika Qur'an hatukubali kudhalilishwa namna hiyo na Mwenyezi Mungu ameukataa uzushi huo.Angalia Qur'an 4:157
 
Wewe ni mpuuzi kabisa.Yaani watu wanaweza kumuona Yesu akifanya miujiza lakini hawawezi kumuona Muhammad akifanya miujiza. Kama zote ni hadithi basi hizi zinazomuhusu Muhammad s.a.w ni za kuaminika zaidi kwa sababu zimekusanywa kitaalamu na ni miaka ya karibuni kuliko wakati wa Yesu. Halafu habari za Yesu kwenu mnasoma kwenyee biblia kitabu kilichojaa makosa.Ukitaka habari za uhakika za Yesu utazipata katika Qur'an na vitabu vyetu vya hadithi. Huyu Yesu anatuhusu sisi waislamu zaidi kwa sababu ni mwenzetu katika imani.
Kumbuka kuwa kitabu cha Qur'an ni kitabu cha miujiza hivyo habari zinazotajwa humo ni kweli tupu,sisi hatuwezi kumpa Yesu sifa chini ya hadhi yake ya kiutume kuliko mnavyofanya nyinyi. Eti alisulubiwa huku analia. Katika Qur'an hatukubali kudhalilishwa namna hiyo na Mwenyezi Mungu ameukataa uzushi huo.Angalia Qur'an 4:157
Tunapo debate weka ushahidi , nukuu usipaniki na kuanza kumtaja taja Yesu , wakati hakuna jina Yesu kwenye Koran

Muhammad alikuwa ana ugonjwa wa akili na ni nyie wenyewe waislamu ndio mnatujuza
Alikuwa anafikiri kafanya kitu kumbe hajafanya
Hadith kwa ushahidi
The Prophet (ﷺ) continued for such-and-such period imagining that he has slept (had sexual relations) with his wives, and in fact he did not ....Sahih al-Bukhari 6063
 
Wewe ni mpuuzi kabisa.Yaani watu wanaweza kumuona Yesu akifanya miujiza lakini hawawezi kumuona Muhammad akifanya miujiza. Kama zote ni hadithi basi hizi zinazomuhusu Muhammad s.a.w ni za kuaminika zaidi kwa sababu zimekusanywa kitaalamu na ni miaka ya karibuni kuliko wakati wa Yesu. Halafu habari za Yesu kwenu mnasoma kwenyee biblia kitabu kilichojaa makosa.Ukitaka habari za uhakika za Yesu utazipata katika Qur'an na vitabu vyetu vya hadithi. Huyu Yesu anatuhusu sisi waislamu zaidi kwa sababu ni mwenzetu katika imani.
Kumbuka kuwa kitabu cha Qur'an ni kitabu cha miujiza hivyo habari zinazotajwa humo ni kweli tupu,sisi hatuwezi kumpa Yesu sifa chini ya hadhi yake ya kiutume kuliko mnavyofanya nyinyi. Eti alisulubiwa huku analia. Katika Qur'an hatukubali kudhalilishwa namna hiyo na Mwenyezi Mungu ameukataa uzushi huo.Angalia Qur'an 4:157
Relax na onesha watu wakishuhudia Muhammad akipaa, Aisha mwenyewe kasema alikuwa nae usiku wote wamelala

Koran 4:157
Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu.

1. Nani alifanywa mbadala wa isa?
2. Allah anakiri Isa bandia aliuawa kwa nini Allah alitoa mtu mwingine innocent afe?
3. Watu waliona Isa bandia kafa na kafanana na original , kwa nini Allah aliwadanganya?
4. Waliona na kushuhudia na Alie waekea bandania nani muongo? Walio andika walichoona kwamba kasukubia au Alie wafanyia bandia?
 
Wewe ni mpuuzi kabisa.Yaani watu wanaweza kumuona Yesu akifanya miujiza lakini hawawezi kumuona Muhammad akifanya miujiza. Kama zote ni hadithi basi hizi zinazomuhusu Muhammad s.a.w ni za kuaminika zaidi kwa sababu zimekusanywa kitaalamu na ni miaka ya karibuni kuliko wakati wa Yesu. Halafu habari za Yesu kwenu mnasoma kwenyee biblia kitabu kilichojaa makosa.Ukitaka habari za uhakika za Yesu utazipata katika Qur'an na vitabu vyetu vya hadithi. Huyu Yesu anatuhusu sisi waislamu zaidi kwa sababu ni mwenzetu katika imani.
Kumbuka kuwa kitabu cha Qur'an ni kitabu cha miujiza hivyo habari zinazotajwa humo ni kweli tupu,sisi hatuwezi kumpa Yesu sifa chini ya hadhi yake ya kiutume kuliko mnavyofanya nyinyi. Eti alisulubiwa huku analia. Katika Qur'an hatukubali kudhalilishwa namna hiyo na Mwenyezi Mungu ameukataa uzushi huo.Angalia Qur'an 4:157
Unavyosema biblia imejaa makosa hayo makosa umejuaje ni makosa?

Makosa Mimi nayoona kwenye Koran kama vile
-Allah anasema Jua linazama matopeni,
- mtoto anapitia atua ya kuwa damu mfu (clot blood? )
-Alie andika Koran anashindwa ku switch kutoka first person kwenda kwa third person,
-Aya zilivyoshuka zimebadilishwa mpangilo
  • katikati ya Koran Allah amesema amekamilisha Uislamu , Yani haja fika mwisho wa kitabu anasema ameshakamilisha
  • kuongezwa kwa verse number 0 kila surah

Na mengine lukuki
 
Aaaamkaaa
Amkeniii kitanda hicho ndo kaburi lakoo
Shuka unalo laliaa ndo sanda yakooo...

Hawa jamaa ni mamiamba utaamka tuu hata kama hupendi
 
Unavyosema biblia imejaa makosa hayo makosa umejuaje ni makosa?

Makosa Mimi nayoona kwenye Koran kama vile
-Allah anasema Jua linazama matopeni,
- mtoto anapitia atua ya kuwa damu mfu (clot blood? )
-Alie andika Koran anashindwa ku switch kutoka first person kwenda kwa third person,
-Aya zilivyoshuka zimebadilishwa mpangilo
  • katikati ya Koran Allah amesema amekamilisha Uislamu , Yani haja fika mwisho wa kitabu anasema ameshakamilisha
  • kuongezwa kwa verse number 0 kila surah

Na mengine lukuki
Sasa umepagawa kikweli. Kuhusu makosa kwenye biblia ngoja nikuunganishe na mtafiti maarufu aliyewachagiza wataalamu wenu kwa miongo kadhaa na mpaka leo hajapata mpinzani.Anasema yapo makosa elfu khamsini (50,000).Wengin wanasema ni maneno machache tu yaliyosahihi.Msikilize hapo chini.
 
Sasa umepagawa kikweli. Kuhusu makosa kwenye biblia ngoja nikuunganishe na mtafiti maarufu aliyewachagiza wataalamu wenu kwa miongo kadhaa na mpaka leo hajapata mpinzani.Anasema yapo makosa elfu khamsini (50,000).Wengin wanasema ni maneno machache tu yaliyosahihi.Msikilize hapo chini.

Nimekuwekea wazi machache Kwa manufaa ya wengi yaweke hapa Kwa ufupi,

Alafu turudi kwenye mada , Muhammad alikuwa na ugonjwa was akili akiwa anasema kafanya kitu kumbe hajafanya, sasa tunamuamini vipi akisema alipaa na hakuna mtu alimuona?

Swala la kusema kafanya kitu na hakufanya alistukiwa maana alikuwa anawaambia wake zake kasha wapiga machine wakawa Wana mwambia hajapiga machine

Hadith zingine alikuwa ana matatizo ya akili mpaka alienda kujiua kwa kujirushwa kwenye mlima

The Prophet (ﷺ) continued for such-and-such period imagining that he has slept (had sexual relations) with his wives, and in fact he did not ....Sahih al-Bukhari 6063
 
Nimekuwekea wazi machache Kwa manufaa ya wengi yaweke hapa Kwa ufupi,

Alafu turudi kwenye mada , Muhammad alikuwa na ugonjwa was akili akiwa anasema kafanya kitu kumbe hajafanya, sasa tunamuamini vipi akisema alipaa na hakuna mtu alimuona?

Swala la kusema kafanya kitu na hakufanya alistukiwa maana alikuwa anawaambia wake zake kasha wapiga machine wakawa Wana mwambia hajapiga machine

Hadith zingine alikuwa ana matatizo ya akili mpaka alienda kujiua kwa kujirushwa kwenye mlima

The Prophet (ﷺ) continued for such-and-such period imagining that he has slept (had sexual relations) with his wives, and in fact he did not ....Sahih al-Bukhari 6063
Hizi habari zako za ugonjwa wa akili unazipata huko mnakodanganyana.Nimekwambia maneno yaliyomo kwenye Qur'an si yake ni wahyi wa Mwenyezi Mungu.Kama kwamba umepata kifafa cha mimba.Kwa sababu hata siku haijatimia tangu nikuthibitishie kuwa si maneno yake unakuja na hoja zile zile za kigonjwa,
Mtu mwenye ugonjwa wa akili au hata mwenye akili IQ ya mwisho kwa ukubWa basi hawezi kuzungumza maneno yaliyo kwenye Qur'an. Spidi za mwangaza na namna maziwa yanavyofanyika matumboni mwa wanyama hakuna ambaye angejua enzi hizo isipokuwa aliyeteremsha Qur'an.Kitabu kilichotaja kile kilichojulikana baadae na wanasayansi wa enzi hizi kuwa ni big bang hakiwezi kuzungumzia kuzama jua kwenye matope kwa maana ya matope hivi unavyoelewa wewe. Wewe hujui chochote kuhusu lugha ya kiarabu na tafsiri ya Qur'an na aya zake.
Unapozungumzia mambo ya kijinga sana huona nikupe hoja za maana kwanza kuliko kujibu ujinga.
Nakuletea muujiza mwengine wa Qur'an ambao utaendelea kudumu mpaka mwisho nao ni kuingia ndani ya moyo wa msomaji na msikilizaji mpaka akalia hasa kwa yule anayejua maana yake.Nadhani hakuna miongoni mwenu hata mmoja anayesoma kitabu chenu akalia.Kwanza misitiari yenu kwa vile si kutoka kwa Mungu basi hata moyoni haigandi ndio maana nataraji hata papa hawezi kutamka angalau paragrafu mbili kwa moyo.Hii kulia wako wasikilizaji wengi wakristo ambao roho zao si mbaya kama yako ambao nao hulia wanapoisikiliza.Sikiliza hapo chini kidogo.
 
Hizi habari zako za ugonjwa wa akili unazipata huko mnakodanganyana.Nimekwambia maneno yaliyomo kwenye Qur'an si yake ni wahyi wa Mwenyezi Mungu.Kama kwamba umepata kifafa cha mimba.Kwa sababu hata siku haijatimia tangu nikuthibitishie kuwa si maneno yake unakuja na hoja zile zile za kigonjwa,
Mtu mwenye ugonjwa wa akili au hata mwenye akili IQ ya mwisho kwa ukubWa basi hawezi kuzungumza maneno yaliyo kwenye Qur'an. Spidi za mwangaza na namna maziwa yanavyofanyika matumboni mwa wanyama hakuna ambaye angejua enzi hizo isipokuwa aliyeteremsha Qur'an.Kitabu kilichotaja kile kilichojulikana baadae na wanasayansi wa enzi hizi kuwa ni big bang hakiwezi kuzungumzia kuzama jua kwenye matope kwa maana ya matope hivi unavyoelewa wewe. Wewe hujui chochote kuhusu lugha ya kiarabu na tafsiri ya Qur'an na aya zake.
Unapozungumzia mambo ya kijinga sana huona nikupe hoja za maana kwanza kuliko kujibu ujinga.
Nakuletea muujiza mwengine wa Qur'an ambao utaendelea kudumu mpaka mwisho nao ni kuingia ndani ya moyo wa msomaji na msikilizaji mpaka akalia hasa kwa yule anayejua maana yake.Nadhani hakuna miongoni mwenu hata mmoja anayesoma kitabu chenu akalia.Kwanza misitiari yenu kwa vile si kutoka kwa Mungu basi hata moyoni haigandi ndio maana nataraji hata papa hawezi kutamka angalau paragrafu mbili kwa moyo.Hii kulia wako wasikilizaji wengi wakristo ambao roho zao si mbaya kama yako ambao nao hulia wanapoisikiliza.Sikiliza hapo chini kidogo.

Unaongea Sana bila ushahidi , hakuna big bang kwenye Koran acha kudanganya,

Jua kuzama matopeni ni kweli na Muhammad kathibitisha wewe nani unaleta ujuzi wako mbele ya muanzilishi wa Uislamu

Muhammad alikuwa mgonjwa wa akili ni nyie waislamu ndio mnatuambia

Huyu hapa Muhammad anaugonjwa kuzusha mambo kafanya kumbe hajafanya, na story ya kupaa hakuna mtu kamuona adi mke wake mtoto alisema alikuwa kalala nae

The Prophet (ﷺ) continued for such-and-such period imagining that he has slept (had sexual relations) with his wives, and in fact he did not ....Sahih al-Bukhari 6063
 
Hizi habari zako za ugonjwa wa akili unazipata huko mnakodanganyana.Nimekwambia maneno yaliyomo kwenye Qur'an si yake ni wahyi wa Mwenyezi Mungu.Kama kwamba umepata kifafa cha mimba.Kwa sababu hata siku haijatimia tangu nikuthibitishie kuwa si maneno yake unakuja na hoja zile zile za kigonjwa,
Mtu mwenye ugonjwa wa akili au hata mwenye akili IQ ya mwisho kwa ukubWa basi hawezi kuzungumza maneno yaliyo kwenye Qur'an. Spidi za mwangaza na namna maziwa yanavyofanyika matumboni mwa wanyama hakuna ambaye angejua enzi hizo isipokuwa aliyeteremsha Qur'an.Kitabu kilichotaja kile kilichojulikana baadae na wanasayansi wa enzi hizi kuwa ni big bang hakiwezi kuzungumzia kuzama jua kwenye matope kwa maana ya matope hivi unavyoelewa wewe. Wewe hujui chochote kuhusu lugha ya kiarabu na tafsiri ya Qur'an na aya zake.
Unapozungumzia mambo ya kijinga sana huona nikupe hoja za maana kwanza kuliko kujibu ujinga.
Nakuletea muujiza mwengine wa Qur'an ambao utaendelea kudumu mpaka mwisho nao ni kuingia ndani ya moyo wa msomaji na msikilizaji mpaka akalia hasa kwa yule anayejua maana yake.Nadhani hakuna miongoni mwenu hata mmoja anayesoma kitabu chenu akalia.Kwanza misitiari yenu kwa vile si kutoka kwa Mungu basi hata moyoni haigandi ndio maana nataraji hata papa hawezi kutamka angalau paragrafu mbili kwa moyo.Hii kulia wako wasikilizaji wengi wakristo ambao roho zao si mbaya kama yako ambao nao hulia wanapoisikiliza.Sikiliza hapo chini kidogo.

Je kwa mujibu wa allah jua linapo zama uwa lipo wapi????
Imesimuliwa Abu Dharr:
Wakati mmoja nilikuwa na Nabii (ﷺ) msikitini wakati wa jua. Nabii (ﷺ) akasema, "Ewe Abu Dharr! Je! Unajua jua linatua wapi?" Nilimjibu, "Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua vyema." Alisema, "linakwenda na kusujudu chini ya kiti cha enzi cha (cha Mwenyezi Mungu) allah,
Vol. 6, Book 60, Hadith 326
18:86 ,Yusuf Ali: Until, when he reached the setting of the sun, he found it set in a spring of murky water: Near it he found a People: We said: "O Zul-qarnain! (thou hast authority,) either to punish them, or to treat them with kindness."
18;86. Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.
Imesimuliwa Abu Dharr:
Nilikuwa nimekaa nyuma ya Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (ﷺ) ambaye alikuwa akipanda punda wakati jua linachomoza. Akauliza: Je! Unajua jua linazama wapi? Nilimjibu: Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua bora. Alisema: linazama katika chemchemi ya maji ya joto (Hamiyah).
Grade Sahih
 
Hizi habari zako za ugonjwa wa akili unazipata huko mnakodanganyana..
Habari za Muhammad na ugonjwa was akili ni nyie waislamu ndio mnatujuza mnasema mtume wenu wa Allah alilogwa akachizika , na mwisho wa siku mnatuambia alilishwa sumu akafa

Soma hapa

The Prophet (ﷺ) continued for such-and-such period imagining that he has slept (had sexual relations) with his wives, and in fact he did not ....Sahih al-Bukhari 6063
 
Kagame huwa haeleweki kabisa mara atake wachungaji wenye digirii mara hataki Adhana sasa sijui tumuelewe vipi huyo jamaa .
 
Aaaamkaaa
Amkeniii kitanda hicho ndo kaburi lakoo
Shuka unalo laliaa ndo sanda yakooo...

Hawa jamaa ni mamiamba utaamka tuu hata kama hupendi
🤣🤣🤣 aisee, unaweza ukawasha taa uone inakuwaje.
 
Unaongea Sana bila ushahidi , hakuna big bang kwenye Koran acha kudanganya,

Jua kuzama matopeni ni kweli na Muhammad kathibitisha wewe nani unaleta ujuzi wako mbele ya muanzilishi wa Uislamu

Muhammad alikuwa mgonjwa wa akili ni nyie waislamu ndio mnatuambia

Huyu hapa Muhammad anaugonjwa kuzusha mambo kafanya kumbe hajafanya, na story ya kupaa hakuna mtu kamuona adi mke wake mtoto alisema alikuwa kalala nae

The Prophet (ﷺ) continued for such-and-such period imagining that he has slept (had sexual relations) with his wives, and in fact he did not ....Sahih al-Bukhari 6063
Ushahidi mwingi nimekupa juu ya muujiza wa Qur'an.Sijui kama umejaribu huo muujiza wa Qur'an kuwa inasomeka kwa sauti ya ajabu na mwenye moyo usio na Qibri huwa analia.Kama hujafanya hivyo itakuwa wewe ndio una ugonjwa wa akili.huoni umuhimu wa kutafiti ukweli wa jambo,Unabaki na vibwagizo kama vya waimbaji wa mipayuko.Usitumie neno hakuna bora tumia hebu nielimisha au unaogopa nini ?.
Kuhusu jua kuzama matopeni hakuna kwenye Qur'an.Angalia maana ya hiyo aya kabla ya tafsiri kwenye surat Kahf.Kwani maana haisemi hivyo na kwenye tafsiri utaumbuka zaidi,
حَتَّىٰٓ إِذَا بَلَغَ مَغْرِبَ ٱلشَّمْسِ وَجَدَهَا تَغْرُبُ فِى عَيْنٍ حَمِئَةٍۢ وَوَجَدَ عِندَهَا قَوْمًۭا ۗ قُلْنَا يَـٰذَا ٱلْقَرْنَيْنِ إِمَّآ أَن تُعَذِّبَ وَإِمَّآ أَن تَتَّخِذَ فِيهِمْ حُسْنًۭا ٨٦
Until he reached the setting ˹point˺ of the sun, which appeared to him to be setting in a spring of murky water, where he found some people. We said, “O Ⱬul-Qarnain! Either punish them or treat them kindly.”
Iwapo Kiiengereza kimekupiga chenga.Angalia kwa Kiswahili.
Mpaka alipofika Dhulqarnain upande wa jua la kuchwa, alilikuta jua kwa vile alivyoliona kana kwamba linakuchwa ndani ya chemchemu ya maji moto yenye udongo mweusi, na akawakuta watu upande huo wa jua la kuchwa. Tulisema, «Ewe Dhulqarnain! Ima uwaadhibu kwa kuwaua au kwa linginelo, iwapo hawatakubali upweke wa Allah Mtukufu au uwatendee wema uwafundishe uongofu na uwaonyeshe usawa»
Yeye Dhu Qarnain kwa ubinadamu wake ndiye aliyeona jua kama kwamba linatua kwenye chem chem ya maji moto.Ni ufundi wa masimuliza ya Qur'an ambayo ni kwa ajili yetu wanadamu lakini haijasemwa kuwa jua linatua kwenye matope.Kama mtu ana ufahamu zaidi wa jua kutua yuko huru kufafanua.Na ukisoma tafsiri ufafanuzi ni mrefu sana.Usitafute vichochoro vya kuipotosha Qur'an.
Ukipenda kujua zaidi kuhusu jua lilivyotajwa kweny eQur'an na orbit yake pamoja na sayari Angalia 55:5,na aya nyingi nyengine ukiwa tayari nitakupa ukasome.Jua linavyotajwa kwenda kwa mahesabu haliwezi kutajwa kuwa linatua hapa duniani katika matope na ikawa ndio kanuni yake.
 
Ushahidi mwingi nimekupa juu ya muujiza wa Qur'an.Sijui kama umejaribu huo muujiza wa Qur'an kuwa inasomeka kwa sauti ya ajabu na mwenye moyo usio na Qibri huwa analia.Kama hujafanya hivyo itakuwa wewe ndio una ugonjwa wa akili.huoni umuhimu wa kutafiti ukweli wa jambo,Unabaki na vibwagizo kama vya waimbaji wa mipayuko.Usitumie neno hakuna bora tumia hebu nielimisha au unaogopa nini ?.
Kuhusu jua kuzama matopeni hakuna kwenye Qur'an.Angalia maana ya hiyo aya kabla ya tafsiri kwenye surat Kahf.Kwani maana haisemi hivyo na kwenye tafsiri utaumbuka zaidi,
حَتَّىٰٓ إِذَا بَلَغَ مَغْرِبَ ٱلشَّمْسِ وَجَدَهَا تَغْرُبُ فِى عَيْنٍ حَمِئَةٍۢ وَوَجَدَ عِندَهَا قَوْمًۭا ۗ قُلْنَا يَـٰذَا ٱلْقَرْنَيْنِ إِمَّآ أَن تُعَذِّبَ وَإِمَّآ أَن تَتَّخِذَ فِيهِمْ حُسْنًۭا ٨٦
Until he reached the setting ˹point˺ of the sun, which appeared to him to be setting in a spring of murky water, where he found some people. We said, “O Ⱬul-Qarnain! Either punish them or treat them kindly.”
Iwapo Kiiengereza kimekupiga chenga.Angalia kwa Kiswahili.
Mpaka alipofika Dhulqarnain upande wa jua la kuchwa, alilikuta jua kwa vile alivyoliona kana kwamba linakuchwa ndani ya chemchemu ya maji moto yenye udongo mweusi, na akawakuta watu upande huo wa jua la kuchwa. Tulisema, «Ewe Dhulqarnain! Ima uwaadhibu kwa kuwaua au kwa linginelo, iwapo hawatakubali upweke wa Allah Mtukufu au uwatendee wema uwafundishe uongofu na uwaonyeshe usawa»
Yeye Dhu Qarnain kwa ubinadamu wake ndiye aliyeona jua kama kwamba linatua kwenye chem chem ya maji moto.Ni ufundi wa masimuliza ya Qur'an ambayo ni kwa ajili yetu wanadamu lakini haijasemwa kuwa jua linatua kwenye matope.Kama mtu ana ufahamu zaidi wa jua kutua yuko huru kufafanua.Na ukisoma tafsiri ufafanuzi ni mrefu sana.Usitafute vichochoro vya kuipotosha Qur'an.
Ukipenda kujua zaidi kuhusu jua lilivyotajwa kweny eQur'an na orbit yake pamoja na sayari Angalia 55:5,na aya nyingi nyengine ukiwa tayari nitakupa ukasome.Jua linavyotajwa kwenda kwa mahesabu haliwezi kutajwa kuwa linatua hapa duniani katika matope na ikawa ndio kanuni yake.
Unajua fika kabisa translation zote zimedanganya ,

Ila Muhammad kaweka sawa hatuwezi kusikiliza Wewe tukaacha ya mwanzilisgi was Uislam

Imesimuliwa Abu Dharr:
Wakati mmoja nilikuwa na Nabii (ﷺ) msikitini wakati wa jua. Nabii (ﷺ) akasema, "Ewe Abu Dharr! Je! Unajua jua linatua wapi?" Nilimjibu, "Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua vyema." Alisema, "linakwenda na kusujudu chini ya kiti cha enzi cha (cha Mwenyezi Mungu) allah,
Vol. 6, Book 60, Hadith 326

Acheni kutoa Koran tofauti na kilicho andikwa
 
Relax na onesha watu wakishuhudia Muhammad akipaa, Aisha mwenyewe kasema alikuwa nae usiku wote wamelala

Koran 4:157
Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu.

1. Nani alifanywa mbadala wa isa?
2. Allah anakiri Isa bandia aliuawa kwa nini Allah alitoa mtu mwingine innocent afe?
3. Watu waliona Isa bandia kafa na kafanana na original , kwa nini Allah aliwadanganya?
4. Waliona na kushuhudia na Alie waekea bandania nani muongo? Walio andika walichoona kwamba kasukubia au Alie wafanyia bandia?
Ami jibu Aya maswali usijifanye huyaoni
 
Ami jibu Aya maswali usijifanye huyaoni
Maswali yako yote nimekujibu ila inaonesha majibu unajifanya kama huyaoni.Hayo maswali na majibu yako umeshapewa zamani na akina Kilembwe na Msonjo kule juu.Umechanganyikiwa kiasi gani unarudisha swali kwangu sasa.Bora kapumzike ujiuliza juu ya yaliyokupata.
 
Maswali yako yote nimekujibu ila inaonesha majibu unajifanya kama huyaoni.Hayo maswali na majibu yako umeshapewa zamani na akina Kilembwe na Msonjo kule juu.Umechanganyikiwa kiasi gani unarudisha swali kwangu sasa.Bora kapumzike ujiuliza juu ya yaliyokupata.
Abdool Wewe ndie ulileta swala la mtu anaitwa Isa na Kuweka Aya ndio maswali nikakuuliza wewe
Jibu
Koran 4:157
Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu.

1. Nani alifanywa mbadala wa isa?
2. Allah anakiri Isa bandia aliuawa kwa nini Allah alitoa mtu mwingine innocent afe?
3. Watu waliona Isa bandia kafa na kafanana na original , kwa nini Allah aliwadanganya?
4. Waliona na kushuhudia na Alie waekea bandania nani muongo? Walio andika walichoona kwamba kasukubia au Alie wafanyia bandia?
 
Abdool Wewe ndie ulileta swala la mtu anaitwa Isa na Kuweka Aya ndio maswali nikakuuliza wewe
Jibu
Koran 4:157
Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu.

1. Nani alifanywa mbadala wa isa?
2. Allah anakiri Isa bandia aliuawa kwa nini Allah alitoa mtu mwingine innocent afe?
3. Watu waliona Isa bandia kafa na kafanana na original , kwa nini Allah aliwadanganya?
4. Waliona na kushuhudia na Alie waekea bandania nani muongo? Walio andika walichoona kwamba kasukubia au Alie wafanyia bandia?
Kwa kurudia swali lako lile lile kila mara ambalo umejibiwa inaonesha umeona mwanya wa kutokea hapa ingawaje huo mwanya haupo.Na ni ishara kuwa yale majibu mengine ambayo umeyakalia kimya umeyaelewa.Nashukuru kwa hilo.Tuje kwenye hivi viswali vyako vya kitoto na vya wagonjwa wa akili tupate majibu yake kulingana na ugonjwa wako.
1.Nani alifanywa mbadala si lazima atajwe kwani kwanza Allah s.w hufanya atakalo na sisi hatumuulizi wala hatumpangii
2.Kitu muhimu alichotaka kufanya ni kumuokoa mja wake mtukufu Yesu ambaye ndiye Issa bin Maryam ili asidhuriwe na washenzi,baada ya hapo awawache maadui hao wamezubaa na wasiwe na majibu ya alipo Yesu.Eti walimzika halafu akafufuka baada ya siku tatu.Si vituko hivyo.Kwa kusema kwao huo ndio walizidi kujigaragaza na Allah s.w anawacheka na wanachekesha mpaka leo.
3.Tulisema hapo juu na.1 kuwa Allah ana hekima sana analofanya haulizwi na iwapo hujaona hekima yake leo utajuwa hapo baadae.Kwa huko kufananishwa Issa a.s faida zake ni hizo hapo juu na.2
4.Hizo simulizi kuwa kuna walioshuhudia ambazo unazisoma kwenye biblia,kitabu chenye makosa 50,000 nakupa pole.
Nakunasihi umuangalie tena yule mtafiti Ahmed Deedat ambaye hata papa wa enzi zile alimuogopa na alimkimbia.
Wewe ni nani unayetaka kutetea simulizi za kwenye Biblia ambayo naamini hujaiweka akilini japo misitari mitano.Msikilize hapo chini.
 
Back
Top Bottom