Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Katika majibu yako ya awali ulisema eti Allah kasema hakuna muujiza kwa Muhammad maana amezuia miujiza , wewe nani unamrekebisha ?
Nilipokutaka uoneshe wapi imeandikwa umekuja na hicho kipande hapo cha surat bani Israil 17 .ambacho hata japo hukumalizia aya yote lakini bado hicho ulichoandika hakizungumzii kwamba Allah alizuia muujiza kwa vile Muhammad s.a.w alizuia miujiza mwengine..Yeye Muhammad s.a.w kwa Mwenyezi Mungu ni nani hata azuie muujiza.Kama angekuwa na uwezo huo basi angezuia kuisoma ile aya katika surat Abbasa iliyomkaripia yeye mwenyewe pale alipompuuza kipofu ili awalinganie matajiri wa Makkah kwanza.
Tukirudi kwenye hiyo aya hapo juu 17:59 kwa urefu wake wote iko hivi,na nakuletea kwa Kiswahili kwani yawezekan kiingereza kinakuchanganya kwani hata hapo juu umetafsriri kimakosa.
Hakuna kilichotuzuia kuteremsha miujiza ambayo washirikina waliitaka isipokuwa ni kwamba ummah waliowatangulia waliikanusha, Allah Mtukufu Aliwajibu kwa waliyotaka wakakanusha na wakaangamia. Na tuliwapa Thamûd, nao ni watu wa Ṣãlih, miujiza iliyo wazi, nayo ni ngamia, wakaikanusha na tukawaangamiza. Na huku kutuma kwetu Mitume wakiwa na alama, mazingatio na miujiza tuliyoipitisha kwenye mikono yao, hakukuwa isipokuwa ni kuwatisha waja wapate kuzingatia na wakumbuke.
Allah s.w. katika aya hii alikuwa anamsimulia mtume Muhammad s.a.w juu ya jeuri walizofanya umma zilizopita maelfu ya miaka nyuma walipokuwa wakiletewa miujiza mara kwa mara halafu wanaleta jeuri ya kuongeza maneno badala ya kusadiki na kutekeleeza.Mwishowe Allah s.w akaamua dawa yao awaangamize.Ndio pale ikatajwa baadhi ya adhabu walizopoata baadhi ya Qaumu hizo mfano watu wa Thamud ambao ni watu wa nabii Saalih a.s. Hebu angalia hiyo aya na uongo wako uliotoa hapo juu.Jeuri zako kama hizi unapewa dalili halafu unapindisha maneno kujifurahisha nafsi yako ungekuwepo wakati wa Qaumu hizo ungeonja hizo adhabu.Lakini si neno hata leo Allah s.w aliyewaangamiza Qaumu hizo yuhai na anakuona.
Allah anasema hakuna kilicho mzuia ila kaamua kutoshusha , sasa wewe nani unasema Muhammad alikuwa na muujiza
 
Katika majibu yako ya awali ulisema eti Allah kasema hakuna muujiza kwa Muhammad maana amezuia miujiza , wewe nani unamrekebisha ?
Nilipokutaka uoneshe wapi imeandikwa umekuja na hicho kipande hapo cha surat bani Israil 17 .ambacho hata japo hukumalizia aya yote lakini bado hicho ulichoandika hakizungumzii kwamba Allah alizuia muujiza kwa vile Muhammad s.a.w alizuia miujiza mwengine..Yeye Muhammad s.a.w kwa Mwenyezi Mungu ni nani hata azuie muujiza.Kama angekuwa na uwezo huo basi angezuia kuisoma ile aya katika surat Abbasa iliyomkaripia yeye mwenyewe pale alipompuuza kipofu ili awalinganie matajiri wa Makkah kwanza.
Tukirudi kwenye hiyo aya hapo juu 17:59 kwa urefu wake wote iko hivi,na nakuletea kwa Kiswahili kwani yawezekan kiingereza kinakuchanganya kwani hata hapo juu umetafsriri kimakosa.
Hakuna kilichotuzuia kuteremsha miujiza ambayo washirikina waliitaka isipokuwa ni kwamba ummah waliowatangulia waliikanusha, Allah Mtukufu Aliwajibu kwa waliyotaka wakakanusha na wakaangamia. Na tuliwapa Thamûd, nao ni watu wa Ṣãlih, miujiza iliyo wazi, nayo ni ngamia, wakaikanusha na tukawaangamiza. Na huku kutuma kwetu Mitume wakiwa na alama, mazingatio na miujiza tuliyoipitisha kwenye mikono yao, hakukuwa isipokuwa ni kuwatisha waja wapate kuzingatia na wakumbuke.
Allah s.w. katika aya hii alikuwa anamsimulia mtume Muhammad s.a.w juu ya jeuri walizofanya umma zilizopita maelfu ya miaka nyuma walipokuwa wakiletewa miujiza mara kwa mara halafu wanaleta jeuri ya kuongeza maneno badala ya kusadiki na kutekeleeza.Mwishowe Allah s.w akaamua dawa yao awaangamize.Ndio pale ikatajwa baadhi ya adhabu walizopoata baadhi ya Qaumu hizo mfano watu wa Thamud ambao ni watu wa nabii Saalih a.s. Hebu angalia hiyo aya na uongo wako uliotoa hapo juu.Jeuri zako kama hizi unapewa dalili halafu unapindisha maneno kujifurahisha nafsi yako ungekuwepo wakati wa Qaumu hizo ungeonja hizo adhabu.Lakini si neno hata leo Allah s.w aliyewaangamiza Qaumu hizo yuhai na anakuona.
Koran 10:20. Na wanasema: Kwa nini hakuteremshiwa Ishara kutoka kwa Mola wake Mlezi? Sema: Mambo ya ghaibu ni ya Mwenyezi Mungu. Basi nyinyi ngojeni, na mimi ni pamoja nanyi katika wanao ngojea.
 
Hakuna swali umeuliza sijajibu, na wala usijifiche kwenye kiarabu , alafu kuhusu Hadith nina vitabu SITA vya Hadith tena authentic , tofauti na wewe uwa unaongea tu huweki rejea ata moja

Umekataa umbo la Allah unasema wamekosea , na Allah anasema atabadilika siku ya mwisho na mtalikataa umbo lake je mmeshawahi kuliona kabla?
Hivi unajua vitabu vya hadithi vinafika mpaka 10+? halafu wewe unasita tu!!

Hivi unajua kuwa kuna sahihi zingine ukiachilia sahihi mbili? halafu unajifanya unajua hadithi!

Hizo hadithi muhaddithuun wamezihifadhi kichwani sahihi kwa dhaifu, halafu wewe unazo kwenye simu tena kwa kutafsiriwa halafu unajifanya unaujua uislamu!!!

Halafu unasema anahadithi authentic! hivi unajua ili hadithi iwe authentic inatakiwa iwe na sifa gani?

Unaweza kumchambua hata rawi mmoja wa hadithi? au huwa unakopi tu kibubusa.

Asee wewe jamaa huna unachokijua.

kukibwa ambacho huwa ninikifanya ninapojadiliana na wewe ni kurekebisha tafsiri zako ambazo zipo kinyume na maana sahihi za nususi, sasa huoni kuwa unanichosha?
 
Hivi unajua vitabu vya hadithi vinafika mpaka 10+? halafu wewe unasita tu!!

Hivi unajua kuwa kuna sahihi zingine ukiachilia sahihi mbili? halafu unajifanya unajua hadithi!

Hizo hadithi muhaddithuun wamezihifadhi kichwani sahihi kwa dhaifu, halafu wewe unazo kwenye simu tena kwa kutafsiriwa halafu unajifanya unaujua uislamu!!!

Halafu unasema anahadithi authentic! hivi unajua ili hadithi iwe authentic inatakiwa iwe na sifa gani?

Unaweza kumchambua hata rawi mmoja wa hadithi? au huwa unakopi tu kibubusa.

Asee wewe jamaa huna unachokijua.

kukibwa ambacho huwa ninikifanya ninapojadiliana na wewe ni kurekebisha tafsiri zako ambazo zipo kinyume na maana sahihi za nususi, sasa huoni kuwa unanichosha?
Unajua ata kwa nini nina 6 , kajifunze kwanza hilo, hivyo vingine ni ubabaishaji na vinapingwa Sana , ndio maana unaona mpaka Koran mnayosoma ni kwa mujibu wa hafs lakini hafs Hadith zake zote zilipingwa
 
Hivi unajua vitabu vya hadithi vinafika mpaka 10+? halafu wewe unasita tu!!

Hivi unajua kuwa kuna sahihi zingine ukiachilia sahihi mbili? halafu unajifanya unajua hadithi!

Hizo hadithi muhaddithuun wamezihifadhi kichwani sahihi kwa dhaifu, halafu wewe unazo kwenye simu tena kwa kutafsiriwa halafu unajifanya unaujua uislamu!!!

Halafu unasema anahadithi authentic! hivi unajua ili hadithi iwe authentic inatakiwa iwe na sifa gani?

Unaweza kumchambua hata rawi mmoja wa hadithi? au huwa unakopi tu kibubusa.

Asee wewe jamaa huna unachokijua.

kukibwa ambacho huwa ninikifanya ninapojadiliana na wewe ni kurekebisha tafsiri zako ambazo zipo kinyume na maana sahihi za nususi, sasa huoni kuwa unanichosha?
Kwanza msaidie mwenzako chabuso kujua Allah sio spirit Anza na hilo kwanza umuokoe na upotoshaji alio potoshwa nao
 
Nipo hapa kuwapa elimu ambayo mmenyimwa madrasa

Hadith Sahih al-Bukhari 6573 ......Allah will come to them in a shape other than they know and will say 'I am your Lord.' They will say, 'We seek refuge with Allah from you ...... ,Then Allah will come to them in a shape they know and will say, "I am your Lord.' They will say, '(No doubt) You are our Lord.

mlisha wahi kuiona shape ya Allah wapi?
Ngoja nikuonyeshe kwa hapa kuwa hakuna unachokijua.

Hili swali lako linaonyesha kuwa hujui hata maudhui ya hadithi ni yepi, zaidi ya hapo ulipo quote ndio maana ukauliza hili swali la kijinga.

Hii hadithi ni ndefu kama unadai unaijua, jibu haya maswali.

1. Sema hii hadithi inazungumzia kumuona mwenyezimungu siku gani?
2.je katika hiyo siku mwenyezimungu ataonekana mara ngapi?
3.Je kuonekana mwenyezimungu katika hayo mazingira ambayo hadithi inaeleza kunalazimu kuwa hakuonekana kabla?
4.Ni wakina nani ambao mwenyezimungu atawapa huu mtihani?
5.Kwa mujibu wa hadithi alifanya hivyo ili kuwapambanua akina nani katika hilo kundi ambalo litamfuata?
6.Hii hadithi katika sahihi Bukhari inapatikana katika mlango gani na kitabu gani?

Ukiweza kujibu haya maswali hata 3 maana yake unaijua hadithi, na automatically utakuwa umejijibu swali lako la kijinga.
 
Ngoja nikuonyeshe kwa hapa kuwa hakuna unachokijua.

Hili swali lako linaonyesha kuwa hujui hata maudhui ya hadithi ni yepi, zaidi ya hapo ulipo quote ndio maana ukauliza hili swali la kijinga.

Hii hadithi ni ndefu kama unadai unaijua, jibu haya maswali.

1. Sema hii hadithi inazungumzia kumuona mwenyezimungu siku gani?
2.je katika hiyo siku mwenyezimungu ataonekana mara ngapi?
3.Je kuonekana mwenyezimungu katika hayo mazingira ambayo hadithi inaeleza kunalazimu kuwa hakuonekana kabla?
4.Ni wakina nani ambao mwenyezimungu atawapa huu mtihani?
5.Kwa mujibu wa hadithi alifanya hivyo ili kuwapambanua akina nani katika hilo kundi ambalo litamfuata?
6.Hii hadithi katika sahihi Bukhari inapatikana katika mlango gani na kitabu gani?

Ukiweza kujibu haya maswali hata 3 maana yake unaijua hadithi, na automatically utakuwa umejijibu swali lako la kijinga.

Mimi sio size yako Mokiti, kwaheri.
Ndio maana nimekuwekea Hadith number na jina la Hadith, unachotakiwa kasome utapata majibu ,

Usikimbie nipo hapa kukufundisha
 
Hivi unajua vitabu vya hadithi vinafika mpaka 10+? halafu wewe unasita tu!!

Hivi unajua kuwa kuna sahihi zingine ukiachilia sahihi mbili? halafu unajifanya unajua hadithi!

Hizo hadithi muhaddithuun wamezihifadhi kichwani sahihi kwa dhaifu, halafu wewe unazo kwenye simu tena kwa kutafsiriwa halafu unajifanya unaujua uislamu!!!

Halafu unasema anahadithi authentic! hivi unajua ili hadithi iwe authentic inatakiwa iwe na sifa gani?

Unaweza kumchambua hata rawi mmoja wa hadithi? au huwa unakopi tu kibubusa.

Asee wewe jamaa huna unachokijua.

kukibwa ambacho huwa ninikifanya ninapojadiliana na wewe ni kurekebisha tafsiri zako ambazo zipo kinyume na maana sahihi za nususi, sasa huoni kuwa unanichosha?
Jamaa amechimba nje ndani MUSTALAH AL HADITH na JARH WA TA'ADIL [emoji23]
 
Rudi kule umemkimbia mwenzako kisai , ninewakuta mnadanganya eti mna free will
Upo nondo sana ULAMAA - unafanya ISTIGH'MBAT [emoji23]

Unasoma maandiko mwenyewe na kuibuka na maana sahihi iliyokusudiwa na SPIRITUAL BEING au PROPHET, mfano andiko: CALVIN ANA MKONO WA BIRIKA - unachukua moja kwa moja maana ya maneno yaliyowasilisha dalili, unafunika unaendelea na andiko jingine [emoji23]

Yaonyesha wanazuoni wetu wa tafsiri na hadithi walikuwa wanacheza tu japo muda wote wa maisha yao waliutumia kusoma, kwa unavyowasilisha hoja zako umewazidi maarifa wote, walitakiwa waje wapige goti kwako

Jadiliana na wengine aisee, wewe 100% mimi 0%, ahsante
 
Aya na Hadithi za Kiislam ziko sahihi,matatizo yako unaweka tafsiri unavyotaka wewe,unavyofahamu wewe,wenye dini yetu tukijaribu kukufahamisha,hufahamishiki..

Mchungaji kila kilichomo kwenye Uislam kina maana kwa Binadamu..

tatizo sisi wenyewe Waislam hatuijui dini yetu,mfano ni hii hoja ya Adhana..

kuna hoja kwanini Waislam wanaowa wake wanne,wengi wa wailamu ukiwauliza swali hili hawajui nini wajibu
Hebu elezea kidogo hapa mkuu kuhusu hii ilmu
 
Dozi zinagawiwa kwa pande zote.[emoji1][emoji1]View attachment 2188614
Kagame anatakiwa kujua kwa yaliyotokea Rwanda 1994 (mauaji ya kimbali) ni hayohayo makanisa na misikiti yamesaidia sana kupunguza roho za visasi na chuki.Mtu kuuliwa familia yake na jirani yake na bado akaendelea kuishi karibu na jirani yule ni ngum kuwezekana bila uwepo wa Mungu.Anatakiwa pia kujua ingawa waanzilishi wa haya makanisa au misikiti wanapiga pesa ila hakuna kanisa au msikiti linalohubiri watu wakauwane hata kama mchungaji wake hajasoma.
 
Kagame anatakiwa kujua kwa yaliyotokea Rwanda 1994 (mauaji ya kimbali) ni hayohayo makanisa na misikiti yamesaidia sana kupunguza roho za visasi na chuki.Mtu kuuliwa familia yake na jirani yake na bado akaendelea kuishi karibu na jirani yule ni ngum kuwezekana bila uwepo wa Mungu.Anatakiwa pia kujua ingawa waanzilishi wa haya makanisa au misikiti wanapiga pesa ila hakuna kanisa au msikiti linalohubiri watu wakauwane hata kama mchungaji wake hajasoma.
Yalisaidiaje wkt makanisa hayo hayo ndio yaliyochochea mauaji mpk mapadri na masista wakafungwa huko magerezani.
 
Jamaa amechimba nje ndani MUSTALAH AL HADITH na JARH WA TA'ADIL [emoji23]
[emoji23]yaani anajimwambafai huyo, full kujipakulia minyama, anajifanya ana KUTUB SITTA[emoji23]

Kumbe hana anachojua kuhusu I'LMU-RRIJAAL.

JAAHIL MURAKKAB.
 
Upo nondo sana ULAMAA - unafanya ISTIGH'MBAT [emoji23]

Unasoma maandiko mwenyewe na kuibuka na maana sahihi iliyokusudiwa na SPIRITUAL BEING au PROPHET, mfano andiko: CALVIN ANA MKONO WA BIRIKA - unachukua moja kwa moja maana ya maneno yaliyowasilisha dalili, unafunika unaendelea na andiko jingine [emoji23]

Yaonyesha wanazuoni wetu wa tafsiri na hadithi walikuwa wanacheza tu japo muda wote wa maisha yao waliutumia kusoma, kwa unavyowasilisha hoja zako umewazidi maarifa wote, walitakiwa waje wapige goti kwako

Jadiliana na wengine aisee, wewe 100% mimi 0%, ahsante
mimi namuita Ostaz Mokiti[emoji23]
 
[emoji23]yaani anajimwambafai huyo, full kujipakulia minyama, anajifanya ana KUTUB SITTA[emoji23]

Kumbe hana anachojua kuhusu I'LMU-RRIJAAL.

JAAHIL MURAKKAB.
Unapo ita watu ignorant haisaidii

Nipo hapa kuwaumbua na uongo mnaoweka , nimemkamata mmoja nimekuta anadanganya kwamba Allah kawapa free will
 
Back
Top Bottom