Ndugu Yako katika Imani chabuso amepinga bukhari amesema ameandika uongo, unamsaidiajeMbona unajipa ujiko ambao haupo kwani sahihi Bukhari inafundishwa kanisani?
Hiyo hadithi mbona inafahamika kuwa ipo kwenye sahihi Bukhari, halafu umeileta kipande hebu ilete yote.
Kama unaelewa kiarabu ilete kwa kiarabu, ila kama hujui usijilazimishe ilete tu hata kwa kiswahili.
Alafu mbona hujajibu ni wapi mmeona umbo la Allah mpaka mtakataa umbo lake jipya?
Hadith nimekata kwa weka dots ikimaanisha Kuna maneno yapo nyuma nime stick na point niliyotaka Kuwakilisha
Alafu msaidie kutambua Allah sio spirit na hana spirit ni physical being