Bora walivyo katazwa.
Hivi Mungu gani huyo kila saa anaimbwa.
Allah Mkubwa, Allah Mkubwa, Allah Mkubwa.
Ndio nini sasa. Bora kwanye adhana mngekuwa mnaitana.
Waumini tuje kwenye swala, tuje kuswali.
Sasa mnavyo paga Mikelele Allah Mkubwa ndio mnamaanisha watu wafanye nini ?
Huo mkelele wa adhana hauna maana yoyote zaidi ya kulitaja Jina la mungu wenu bure.
Watu wa Torati walisha katazwa na Mungu wao.
Kumbukumbu la Torati 5:7
"Usiwe na miungu mingine ila mimi"
Nyie mnao Uzza, Lutta na Manata.
"Kumbukumbu la Torati 5:8
Usijifanyie sanamu ya kuchonga, mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini duniani, au kilicho majini chini ya nchi.
Kumbukumbu la Torati 5:9 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, nawapatiliza wana uovu wa baba zao; hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao",
Nyie mmechonga Jiwe Jeusi mmeliweka pale Maka ndani ya Alqaba mnalisujudia kila kukicha.
"Kumbukumbu la Torati 5:11 Usilitaje bure Jina la Bwana, Mungu wako; maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia, mtu alitajaye jina lake bure."
Nyie kila dakika, Allah Mkubwa, Allah Mkubwa Allah Mkubwa.
Kama mmelogwa vile.
"Kumbukumbu la Torati 5:17
Usiue."
Nyie kila siku mnachinja watu eti wamemkejeri Mtume au Allah.
Nani aliwaambia muue kwa sababu hizo. Utasikia katuambia Allah.
Imeandikwa ktk Torati, usiue.
"Kumbukumbu la Torati 5:21 Wala usimtamani mke wa jirani yako; wala usiitamani nyumba ya jirani yako, wala shamba lake, wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala kitu cho chote alicho nacho jirani yako."
Muhamadi kamtamani mke wa mtoto wake wa kufikia hadi kampora.
Eti ndio Nabii huyo. Nabii wa Allah.
"Kumbukumbu la Torati 5:18
Wala usizini."
Muhamadi kaanzisha ndoa ya Mutta ya siku moja, mbili au tatu kwa malipo.
Yeye anajipa haki ya kuchukua mwanamke yeyote wa mbele yake.
Ndio maana mwanamke mateka akamtilia sumu na kumwua shauri ya uroho wa Ngono.
Ninyi kawaahidi wanawake 72 mkijilipua kwa jina la Allah.
Allah na Muhammadi ni Wapinga Kristo dhahiri kabisa waache kumsingiza Dajar.
Kila alicho kiagiza Mungu wao wanakivunja.