Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Dunia sasa imestaharabika hivyo kwa rwanda kuzuia uharibifu wa mazingira wa sauti nafikiri dini zetu zinatakiwa ziendae na wakati wa sasa maana swali muhimu la kijiuliza ni: je adhana ni muhimu saidi ya SWALA ?

Hujui unachokiongea, siku ukijaaliwa kuona ukweli na kutoka katika ujinga kwa maana ya kusilimu, utajiona kweli ulikua umepotea
 
Achana na adhana,Kuna wale wanapita saa 9 usiku wakiwa wanapiga ngoma na kuimba kipindi Cha ramadhani halafu wanaweza wakafika sehemu wakasimama muda mrefu mpaka wapewe sijui nini jamani wamejua kunitesa ramadhani hii aisee usiku wa kuamkia leo Kuna jirani yangu uvumilivu umeshinda wamepigizana kelele mpaka wakaondoka

Sikiliza dada, adhana zitaendelea kuwepo, Swala zote adhuhuri mpaka alfajiri, na kama mnajiamini kweli fanyeni kuzuia adhana muone, labda sio sisi waisilamu tuwakalie kimya, na mlivyo na idadi ndogo hahhhaaa mtakipata mkitakacho
 
Bora walivyo katazwa.
Hivi Mungu gani huyo kila saa anaimbwa.

Allah Mkubwa, Allah Mkubwa, Allah Mkubwa.

Ndio nini sasa. Bora kwanye adhana mngekuwa mnaitana.
Waumini tuje kwenye swala, tuje kuswali.

Sasa mnavyo paga Mikelele Allah Mkubwa ndio mnamaanisha watu wafanye nini ?

Huo mkelele wa adhana hauna maana yoyote zaidi ya kulitaja Jina la mungu wenu bure.

Watu wa Torati walisha katazwa na Mungu wao.

Kumbukumbu la Torati 5:7
"Usiwe na miungu mingine ila mimi"

Nyie mnao Uzza, Lutta na Manata.

"Kumbukumbu la Torati 5:8
Usijifanyie sanamu ya kuchonga, mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini duniani, au kilicho majini chini ya nchi.
Kumbukumbu la Torati 5:9 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, nawapatiliza wana uovu wa baba zao; hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao",

Nyie mmechonga Jiwe Jeusi mmeliweka pale Maka ndani ya Alqaba mnalisujudia kila kukicha.

"Kumbukumbu la Torati 5:11 Usilitaje bure Jina la Bwana, Mungu wako; maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia, mtu alitajaye jina lake bure."

Nyie kila dakika, Allah Mkubwa, Allah Mkubwa Allah Mkubwa.
Kama mmelogwa vile.

"Kumbukumbu la Torati 5:17
Usiue."
Nyie kila siku mnachinja watu eti wamemkejeri Mtume au Allah.
Nani aliwaambia muue kwa sababu hizo. Utasikia katuambia Allah.

Imeandikwa ktk Torati, usiue.


"Kumbukumbu la Torati 5:21 Wala usimtamani mke wa jirani yako; wala usiitamani nyumba ya jirani yako, wala shamba lake, wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala kitu cho chote alicho nacho jirani yako."

Muhamadi kamtamani mke wa mtoto wake wa kufikia hadi kampora.
Eti ndio Nabii huyo. Nabii wa Allah.

"Kumbukumbu la Torati 5:18
Wala usizini."
Muhamadi kaanzisha ndoa ya Mutta ya siku moja, mbili au tatu kwa malipo.
Yeye anajipa haki ya kuchukua mwanamke yeyote wa mbele yake.

Ndio maana mwanamke mateka akamtilia sumu na kumwua shauri ya uroho wa Ngono.
Ninyi kawaahidi wanawake 72 mkijilipua kwa jina la Allah.

Allah na Muhammadi ni Wapinga Kristo dhahiri kabisa waache kumsingiza Dajar.
Kila alicho kiagiza Mungu wao wanakivunja.

Maneno mengi hayana maana yoyote, udini unawasumbua sana wafuasi wa paulo

وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
 
Kama kelele za magari na mbwa wabwekao mnaowafuga majumbani mwenu hazikusumbueni vipi "kelele" za adhana inayodumu dk 1 na "kanzu" yangu ikusumbueni ??!!, ndio maana nasema ni husuda na chuki tu ndiyo inayokusumbueni.

"By hooks or crooks never can you stop the fastest growing religion on Earth"---- mtabakia kupiga blah blah tu while the religion is unstoppable whether you bar the Adhan or not.

Mbwa hiyo ni nature yake, magari ni ya wanaosadia kiuchumi, ila nyie na hicho kiarabu chenu na mikanzu na ndevu hapana.
Mdengereku unabwatuka kiarabu kwenye spika alfajiri yote hiyo unawaambia watu nini.....hehehe!!!
 
Jaribu kuzuia au kulalama pembeni, unadhani waislamu wamelala usingizi eti!!! Kama ni kidume kweli fanya hivyo, na sio kujivimbisha mitandaoni

Watu kama ninyi mnaotusumbua, enzi za ertugrul or Osman washawafyekelea mbali😁
Ukiambiwa uislamu na ugaidi ni kitu kimoja yani muislamu kuwa gaidi ni rahisi zaidi kuliko mtu wa imani nyingine utabisha?
 
Maneno mengi hayana maana yoyote, udini unawasumbua sana wafuasi wa paulo

وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
Maneno mengi si ni ya ukweli mtupu.
Adhana haina mantiki yoyote hata kwa tafsiri yake ukiachana na kusumbua watu wengine.

Mi nakuambia ingekuwa Dini ya Kiislamu inatamka ibada zake kwa Kiswahili ingekuwa ni vichekesho tu.

Mnachoogea ni tofauti na kinacho dhaniwa.
Wa fikiria mtu ana amka asubuhi na kupiga kelele;

Allah mkubwa... Allah mkubwa... Allah mkuwaaaa...!

Huko ndio kuamshana au kumtajataja Allah bila sababu ?

Imeandikwa
" Usilitaje Bure Jina la Mungu Wako "

Ni vipi Allah anakubali kuimbwa imbwa mchana mzima kwa kutajwa tajwa jina lake bila sababu ya msingi ?

Wakati Mungu wa Ibrahimu na Musa anakataa kutajwa jina lake bila sababu ya msingi.

"Kumbukumbu la Torati 5:11
Usilitaje bure Jina la Bwana, Mungu wako; maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia, mtu alitajaye jina lake bure."


Kama nilivyosema kule Nyuma kalibu kila alichokataza Mungu wa kwenye Biblia ndicho Allah na Muhammadi wanasisitiza kukifanya.

Amri Kumi zote wamezivunja kwa kusapotiana wao kwa wao.

Tunakumbushana kwa nia njema tu ya kutakiwa kutafakari utamaduni wenu.
 
Wewe unamsifia Dikteta!!??.
Ni ujinga kuingiza udikteta katika masuala la imani, imani imo moyoni mwa watu.

Adhana ya kiislamu ni nasaha ya kiimani pia mbali na wito wa kuwajulisha watu muda wa swala.

Kupinga utolewaji wa adhana ni kupinga mafundisho ya dini ya kiislamu, adhana haijaanza leo, imeanzishwa na mjumbe wa Mungu Mwanzilishi mtukufu wa Dini ya kiislamu Mtume Muhammad (saw), hivyo kwa maneno mengine kuzuia utolewaji wa adhani ni kupingana na takwa la Mungu kwa mujibu wa Uisilamu.

Tutakaa hapa tukibishana na kuvutana bure na hatutafikia suluhu ila ninachokueleza ni hichi;--

"Kama adhana ni maagizo na maneno ya Mungu na Kagame au yeyote katoa maamuzi ya kuzuia maneno hayo yasitamkwe inavyopaswa ni kiumbe wa Mungu basi Mungu mwenyewe ndiye hakimu"

Tutarudi hapa na tutajulishana matokeo tuombe Mungu atupe uhai tu.
Muddy alikuwa ana microphone na speakers wakati akiadhini?
 
Mbwa hiyo ni nature yake, magari ni ya wanaosadia kiuchumi, ila nyie na hicho kiarabu chenu na mikanzu na ndevu hapana.
Mdengereku unabwatuka kiarabu kwenye spika alfajiri yote hiyo unawaambia watu nini.....hehehe!!!


Kumbe Shida ni kiarabu, kanzu na ndevu??--- unataka tuongee kimombo, tuvae suti au ngozi na tunyoe ndevu ndipo uikubali hiyo adhana??!

ايكم الهسد فانه يقل الهسنة كما النار تقول الهطب.
 
Kumbe Shida ni kiarabu, kanzu na ndevu??--- unataka tuongee kimombo, tuvae suti au ngozi na tunyoe ndevu ndipo uikubali hiyo adhana??!

ايكم الهسد فانه يقل الهسنة كما النار تقول الهطب.

Yeah cha nini Msukuma unanipigia makelele ya kiarabu.
 
Muddy alikuwa ana microphone na speakers wakati akiadhini?


Yesu naye alipokuwa anahubiri injili alikuwa na microphone na Maspika na Drone za kuchukukia picha kama ya hawa wahubiri wa injili wa leo??!!

Yesu alisema; "Toa boriti jichoni mwako kabla hujatoa kibanzi jichoni kwa mwenzako"
 
Mimi ni Mkristo adhana haina shida yeyeto nje ya chuki tu kwanza ni kitu cha dakika chache tu. Kuita waumini wawahi ibadani. Pia wezi na wachawi umaliza shughuli zao kabla ya adhana Ili wasiingiliane na mida ya shughuli za wanadamu.
Athari kimazingira haina?
Mimi nimelala zangu sina habari nao wananiamsha saa 11 huo sio usumbufu?

Unajua hayo mavipaza sauti yameanza kutumika lini?
 
Yeah cha nini Msukuma unanipigia makelele ya kiarabu.


Wewe ni mmasai wa kakamega au Dadamega??--- nataka nikupigie kelele kwa kimasai si hupendi kelele za kiarabu!!🤣
 
Yesu naye alipokuwa anahubiri injili alikuwa na microphone na Maspika na Drone za kuchukukia picha kama ya hawa wahubiri wa injili wa leo??!!

Yesu alisema; "Toa boriti jichoni mwako kabla hujatoa kibanzi jichoni kwa mwenzako"
Mimi ni Muhindu zungumzia imani yangu.
Alafu uniambie wakati vipaza sauti vinaanza kutumika 1930 miskitini Muddy alikuwa mskiti gani akiadhini na kama hakuwepo wakati yupo aliadhini kwa mtindo gani?
 
Mimi ni Muhindu zungumzia imani yangu.
Alafu uniambie wakati vipaza sauti vinaanza kutumika 1930 miskitini Muddy alikuwa mskiti gani akiadhini na kama hakuwepo wakati yupo aliadhini kwa mtindo gani?


Huyo Muddy ndiye nani??
 
Wewe ni mmasai wa kakamega au Dadamega??--- nataka nikupigie kelele kwa kimasai si hupendi kelele za kiarabu!!🤣

Kwanza makelele sitaki, ila kama lazima basi yasiwe ya kiarabu, huwa mnakera sana na hicho kiarabu, nimewahi kuishi katikati ya misikiti miwili huko Dar, yalikua yanashindana kufyatua kiarabu alfajiri yaani nilikua nawahurumia sana watu wenye watoto wachanga nyumbani, hehehe yaani bure sana.....
Utakuta mtu mwenyewe Msukuma ameng'ang'ania kupigia watu makelele kwa Kiarabu.
 
Huyo Muddy ndiye nani??
Muddy ni kifupisho cha jina Muhammad au Mohammed usijitoe ufahamu haya jibu swali la msingi

Wewe utakuwa dulla tu maana majina yenu ni kichekesho katika waislamu 200 130 utakuta wanaitwa Abdalla na 102 wanashea hadi ubin wa baba Abdalla Abdool 😝😝
 
Rwanda ile laana ya kuuana hovyo inawatafuna sana wasipokua na hofu ya kweli na Mungu mambo ya vita vita kujirudia ni rahisi sana..Rais anakaza watu wasiwe na maadili mema hakuna Nchi hapo..
 
Maneno mengi si ni ya ukweli mtupu.
Adhana haina mantiki yoyote hata kwa tafsiri yake ukiachana na kusumbua watu wengine.

Mi nakuambia ingekuwa Dini ya Kiislamu inatamka ibada zake kwa Kiswahili ingekuwa ni vichekesho tu.

Mnachoogea ni tofauti na kinacho dhaniwa.
Wa fikiria mtu ana amka asubuhi na kupiga kelele;

Allah mkubwa... Allah mkubwa... Allah mkuwaaaa...!

Huko ndio kuamshana au kumtajataja Allah bila sababu ?

Imeandikwa
" Usilitaje Bure Jina la Mungu Wako "

Ni vipi Allah anakubali kuimbwa imbwa mchana mzima kwa kutajwa tajwa jina lake bila sababu ya msingi ?

Wakati Mungu wa Ibrahimu na Musa anakataa kutajwa jina lake bila sababu ya msingi.

"Kumbukumbu la Torati 5:11
Usilitaje bure Jina la Bwana, Mungu wako; maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia, mtu alitajaye jina lake bure."


Kama nilivyosema kule Nyuma kalibu kila alichokataza Mungu wa kwenye Biblia ndicho Allah na Muhammadi wanasisitiza kukifanya.

Amri Kumi zote wamezivunja kwa kusapotiana wao kwa wao.

Tunakumbushana kwa nia njema tu ya kutakiwa kutafakari utamaduni wenu.
Usipende kubishana ipi dini bora na ipi sio bora dini zote zimekuja na Meli na mitumbwi Waafrika walikua hawana dini tuishi kwa kuamini na kwa upendo tuliorithi kutoka kwa mababu zetu baasi lakini ukimuona mtu yupo busy kuelezea ubora wa dini yake kupitia vifungu jua anapotea..
 
Back
Top Bottom