Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Hapa umesema Umar alishushiwa verse azitamke , unabadili mawazo au
Hata katika kunukuu nilichosema hujawa mkweli. Mimi nimesema alitamkishwa halafu aya ikateremshwa na aliyemtamKisha.Na wala hakuteremshiwa yeye.
Hivi ndivyo ulivyoninukulu mimi Ummar r.a kutamkishwa maneno na Mwenyezi Mungu halafu ikawa ni aya katika Qur'an.
Kuonesha kuwa haikuwa muhimu kujulikana kuwa aliyetamka kama hivyo ni Ummar r.a basi hata aya ilipokuja haikusema kuwa hayo yalitamkwa naye.Bali waliomsikia ndio walifananisha na tamko lake.Muhimu ni ujumbe uliokuwemo kwenye aya.
Naamini umechoka na umeishiwa na hoja lakini kabla hajafika daktari wako Kilembwe na mimi nipo karibu nakusikilizia pumzi zako.
 
Kwahiyo bwana chabuso wewe ndiye umeifahamu dini vizuri kutoka kwa mtume kuliko waislamu woote duniani?

Au haya maneno yako unayaegemeza wapi?
 
Wapi umepata habari hiz😵nesha.Usiwe unatunga kutoka kichwani kwako.
Bilal alikuwa mtumwa wa Muhammad , Muhammad alivyo kufa akanunuliwa na Abu Bakr, Bilal akamlilia Abu bakr amuachie huru baada ya mateso ya utumwa , Abu bakr akamuachia huru

Bilal akililia uhuru kwa Abu Bakr
Bilal said to Abu Bakr, "If you have bought me for yourself then keep me (for yourself), but if you have bought me for Allah's Sake, then leave me for Allah's Work." -Sahih Bukhari 5:57:99
 
Hawa jamaa kama ulivyosema
Bila uwongo hawawezi kuitetea Dini yao na itakufa.
Yaani maandiko yao wenyewe wanayabishia hadi waoneshwe na wewe.
Sio kwamba hawayajui bali ndio aina yao ya kuitetea Dini.
Kama mtu hajui hayo maandiko basi ataongopewa mwanzo mwisho.

Hawa akili zao hazita warudi hadi wakae chini na kutafakari ni kwanini ibada zao zote wanalisujudia Jiwe Jeusi la mji wa Makka.

Bila hivyo itakuwa sawa na kutwanga maji kwenye Kinu.
 

"Allah na Muhammadi ni Wapinga Kristo dhahiri kabisa waache kumsingiza Dajar.
Kila alicho kiagiza Mungu wao wanakivunja".

Mkristo nikiwa bia kuwa Islam ndiye mpinga Kristo anakataa, ninamuacha naenda zangu.
 

First of all: We strongly condemn all forms of violence acts

Second: What happened in the past between us? And what's hannenin' right now? But still you have the audacity to point finger at us, you gotta be kidding

It make no sense at all to criticise muslims for endorsing violence. How could you criticism one thing to others without applying the same logics to yours? I don't wanna go into detail, no need to point out your brutality and savagery – Luckily you can't erase the scars with a bandage

The truth is, all major religions are attached by violent extremist movement. The problem of religious violence is intrinsic to all religion. All major Abrahamic Religions scriptures contains some texts that may be used to justify violence. On this basis, any religious group members may be extreme and that is a depravity of core teachings

Pointing out the faults of others doesn't make you a Saint. Judging a whole group of people based of what one of the people in that group did/done or is doing ain't right, we should judge individually and not collectively

Stop the hate
 
Chukua Magaidi waliofichwa ktk jamii za Kiislamu za Mkuranga, Kilwa na Rufiji, na kufanya uhalifu mkubwa. Wakiwemo Watanzania.

Mnayakumbuka maneno ya chuki na kuhamasisha vurugu ya viongozi wenu Mashehe wa Uamsho.

Suppose that's true, why not applying the same parameter to Mbowe and Lissu then?

Personally, i ain't drawn to all this propaganda
 
Stop the hate
Unamjua muanzilishi

Q5:14 We had made a solemn covenant with those who call themselves Christians, but they forgot their share of the guidance that was sent to them. We have induced hatred and animosity among them which will remain with them until the Day of Judgment.......
 

Aiiiight [emoji4]
 
[emoji4]
 
MIMI ni MKRISTO.

Sikubaliani na hili swala...huu ni utamaduni kama tamaduni zingine..

Kama wameanza na hili ifika baadae wanaweza sema hakuna kuabudu siku ya Jumapili au mengine yeyote.

So sio swala la kushangiria kabisa.
 
MIMI ni MKRISTO.

Sikubaliani na hili swala...huu ni utamaduni kama tamaduni zingine..

Kama wameanza na hili ifika baadae wanaweza sema hakuna kuabudu siku ya Jumapili au mengine yeyote.

So sio swala la kushangiria kabisa.
Ahsante kwa kuturejesha kwenye mada
 
Leo nimeamka mapema kusikiliza Adhana.
Baada ya Ile Allah Akbar Zikaja ngonjera nyingi sana.

Utasikia
"Swala ni Bora Kuliko Usingizi"
Inarudiwa mala kumi.

Mala akaanza kuongea ongea maneno mengi tu.

Adhana imechukua zaidi ya Robo saa mtu anaongea tu.

Adhana na ifutwe tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23]

Tafadhali rejea post namba 207, POHAMBA alitoa ufafanuzi
 
Mbona misikitini huwa nasikiaga wanavyoswali.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Shida zote zinaanzaga na mawazo kama haya, kwanini usiabudu imani yako bila kudhihaki za wengine, sina uhakika kama uislam unakufundisha kuita miungu ya wengine si chochote, wapo na wenzako upande wa kikristo wanaofikiri kama wewe na wanapiga kelele usiku kucha bila kujali usingizi wa watu
 
Miaka hiyo watu walikuwa hawana saa kujua majira ndio maana adhana ilitumika, ni sawa na sasa mwezi kutoka hakuna kubahatisha maana teknoloji inaruhusu kujua precisely mpaka dakika utakapotoka
 
Vipi na wenzetu wakristo waliacha kupiga kengele lao la kuwaita watu kanisani, wakatoliki mnahusika kuharibu usingizi wa watu pia
 
Mbona misikitini huwa nasikiaga wanavyoswali.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app


Spika hasa ni kwa ajili ya adhana na inapobidi inaweza kutumika kutolea matangazo ya muhimu ya kijamii mfano matangazo ya vifo nk, na sio kutangaza dua za jinsi wanavyosali mle msikitini ikifanyika hivyo ni makosa na huo ndio usumbufu kwa jamii zote za kiisilamu na zisizo za kiisilamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…