AljuniorTz
JF-Expert Member
- Jan 6, 2009
- 544
- 18
Nchi ya Rwanda ambao walikuwa ktk vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa miaka kadhaa, lakini sasa wanakuja kwa kasi ya hali ya juu ktk uwanja wa Sayansi na teknolojia.
Sehemu kubwa ya mafanikio yao yametokana na nia na ari ya kuijenga upya nchi yao baada ya vita.
Sehemu kubwa ya wafanyakazi wa Rwanda kuanzia viwandani hadi serikalini ni vijana watupu, ambao baadhi yao wamesomea nchini mwao na sehemu kubwa nje ya nchi, sasa wamerudi kuiendeleza nchi yao.
Mfano mdogo wa ambao umewezeshwa na Wanyarwanda wenyewe ni MRADI wa VITAMBULISHO VYA TAIFA (National ID) ambao umesimamiwa na wao wenyewe kupitia RITA (Rwanda Information Technology Authority
Mfano mwengine wa pili ni kwamba wiki hii inayoisha leo; Rwanda kupitia wizara yake ya sayansi, Teknolojia na Utafiti wa kisayansi wamezindua mradi mafuta ya mitambo ya viwandani yatokanayo na matunda kama maparachichi na mimea mingine.
Je serikali yetu ya Tanzania inafanya jitihada gani... (1)... ktk kupiga hatua kuelekea kny maendeleo ya kweli kiviwanda na teknolojia (fiber backbone ipo ktk ardhi yetu sasa, tunaitumiaje)??? (2)... kuhakikisha inaweka mkakati mzuri wa kuwaajiri vijana wasomi wa kitanzania waliopo hapa nchini na wale walio huko unyamwezini??? Kila siku tumeng'ang'ana na wazee tu, vijana wataajiriwa lini walete changamoto mpya ktk kuongoza vita ya maendeleo???
"...Wivu sina eeh ila roho inauma..."; wenzetu walikuwa ktk uwanja wa vita kwa miaka kadhaa (tulijitolea kuwahifadhi wakiwa wakimbizi hapa Tza); wameipata amani ndani ya miaka michache wamepiga hatua kubwa sana ya kimaendeleo. But sisi kila siku tunapiga siasa, maendeleo ya kweli ni mwendo wa kinyonga, je tutafika kweli???
Wadau tunaweza kuchangia na kuelimishana zaidi vipi 2naweza kujikwamua.
Thanx
Sehemu kubwa ya mafanikio yao yametokana na nia na ari ya kuijenga upya nchi yao baada ya vita.
Sehemu kubwa ya wafanyakazi wa Rwanda kuanzia viwandani hadi serikalini ni vijana watupu, ambao baadhi yao wamesomea nchini mwao na sehemu kubwa nje ya nchi, sasa wamerudi kuiendeleza nchi yao.
Mfano mdogo wa ambao umewezeshwa na Wanyarwanda wenyewe ni MRADI wa VITAMBULISHO VYA TAIFA (National ID) ambao umesimamiwa na wao wenyewe kupitia RITA (Rwanda Information Technology Authority
RITA website said:Rwanda is on a fast track development program aimed at making the economy dynamic ICT based by the year 2020.
A vision plan has been drawn up in collaboration with vastly experienced consultants and advisers. Many projects are due to come online over the next few years, ranging from the establishment of the government owner fiber backbone to putting computers into school classrooms. However, there is one project which is of utmost importance and urgency for the country; that is the introduction of a National ID Card.
Implementation of a National ID, driving license and Smart Card System Project calls for the introduction of an electronic, durable National ID Card which is mandatory for all citizens above the age of 16.
In the first phase of this project the citizens were introduced to a simple but robust and durable bar-coded ID card which contained verified elementary data such as name, address and photograph.
The purpose of this phase was to provide every citizen with a Smartcard based on a national ID. The smart card will include additional information that is useful to various entities in Rwanda such as health, traffic, Social Security fund and other like information.
The National ID Card is going to be used for identification and used as a banking document. The project is championed by the Ministry of Local Government (MINALOC) and will be sponsored by the government of Rwanda.
In the East African community (EAC), Rwanda has been the first country to introduce on electronic ID with Finger Printing System.
Currently the National ID cards are produced and distributed to the 16-year old and above citizens.
Mfano mwengine wa pili ni kwamba wiki hii inayoisha leo; Rwanda kupitia wizara yake ya sayansi, Teknolojia na Utafiti wa kisayansi wamezindua mradi mafuta ya mitambo ya viwandani yatokanayo na matunda kama maparachichi na mimea mingine.
Je serikali yetu ya Tanzania inafanya jitihada gani... (1)... ktk kupiga hatua kuelekea kny maendeleo ya kweli kiviwanda na teknolojia (fiber backbone ipo ktk ardhi yetu sasa, tunaitumiaje)??? (2)... kuhakikisha inaweka mkakati mzuri wa kuwaajiri vijana wasomi wa kitanzania waliopo hapa nchini na wale walio huko unyamwezini??? Kila siku tumeng'ang'ana na wazee tu, vijana wataajiriwa lini walete changamoto mpya ktk kuongoza vita ya maendeleo???
"...Wivu sina eeh ila roho inauma..."; wenzetu walikuwa ktk uwanja wa vita kwa miaka kadhaa (tulijitolea kuwahifadhi wakiwa wakimbizi hapa Tza); wameipata amani ndani ya miaka michache wamepiga hatua kubwa sana ya kimaendeleo. But sisi kila siku tunapiga siasa, maendeleo ya kweli ni mwendo wa kinyonga, je tutafika kweli???
Wadau tunaweza kuchangia na kuelimishana zaidi vipi 2naweza kujikwamua.
Thanx