Rwanda wanachangamka kwa Kasi, Sisi tupo tu!

Rwanda wanachangamka kwa Kasi, Sisi tupo tu!

Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,

Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.

Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.

Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.

Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.

Na wako mbioni kutua na Zanzibar.

Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
 
Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,

Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.

Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.

Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.

Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.

Na wako mbioni kutua na Zanzibar.

Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Eti songwe mechaka mnoo, ni mambo ya aibu mno kwenye hili Taifa.
 
Nimecheka sana
Sasa mkuu unazunguka mdani wakati zimepaki nje
Pita Southern Perimeter Road kutokea Hatton X
Karibu na Hilton Garden Inn London Heathrow, ndio huwa ina park hapo
Sasa ukiitafuta ndani ya Heathrow utaishia kuwaona warundi tu
Mkuu nafanya kazi na security companies, huwa tu aingia mpaka kwenye tarmac area, kuwa pandisha ndege wahalifu mbalimbali wanakwenda sehemu tofauti tofauti duniani waliokuwa 'Deported' na serikali. Abiria wa kawaida mkiingia kwenye ndege hata hauwezi kuwatambua wamekaa na wadinfikizsji wao vizuri. Mara nyingi hukatiwa ticket ambazo si za mbali karibu na choo. Na tunaenda Airport zote za London Gatwick, Stansted, Luton
 
Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,

Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.

Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.

Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.

Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.

Na wako mbioni kutua na Zanzibar.

Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Tanzania imeendekeza kujenga wanasiasa na sio kujenga uchumi wa nchi na maendeleo ya kijamii, na pesa nyingi zinapotelea huko kwenye siasa hivyo ni sahihi tu wenzetu kenya na rwanda watupite kwa kila kitu maana wao walisha toka huko kitambo sana
 
Wewe una tofauti gani na waliomuua Mzee Kibao wa CHADEMA? Unafurahia Kagame anavyoua wakongo kisa utajiri wao wa madini? Na kama angekuwa anaendeleza nchi yake kwanini wanyarwanda wanakimbia maisha magumu kwao na kwenda nchi zingine? Wewe ni mtu katili usiyefaa kwenye jamii ya wastaarabu.
Sina uhakika kama sisi hatufanyi hivyo. Lakini kwa mujibu wa newtimes, Rwanda inapata dola 1.5 bilioni za kimmarekani kwa mwaka kutokana na madini.

Sisi wenye madini yetu. Juzi waziri Mavunde amesema 2022 Tz ilipata 1.877 trilioni kutoka kwenye gesi, madini na mafuta na kati ya hizo milioni 402 , zilipigwa!
 
Sina uhakika kama sisi hatufanyi hivyo. Lakini kwa mujibu wa newtimes, Rwanda inapata dola 1.5 bilioni za kimmarekani kwa mwaka kutokana na madini.

Sisi wenye madini yetu. Juzi waziri Mavunde amesema 2022 Tz ilipata 1.877 trilioni kutoka kwenye gesi, madini na mafuta na kati ya hizo milioni 402 , zilipigwa!
Hizo ni propaganda
 
Mkuu nafanya kazi na security companies, huwa tu aingia mpaka kwenye tarmac area, kuwa pandisha ndege wahalifu mbalimbali wanakwenda sehemu tofauti tofauti duniani waliokuwa 'Deported' na serikali. Abiria wa kawaida mkiingia kwenye ndege hata hauwezi kuwatambua wamekaa na wadinfikizsji wao vizuri. Mara nyingi hukatiwa ticket ambazo si za mbali karibu na choo. Na tunaenda Airport zote za London Gatwick, Stansted, Luton
Nimekuelewa boss
 
Back
Top Bottom