wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Piga chanjo ww wacha manenoooooSaudia Arabia huingii kwake kwa chanjo za China pamoja na kuwa zimeidhinishwa na WHO.
Mara kachanja kisirisiri chanjo ya China mara oh kafa kwa corona kwa sababu hakuchanja, sasa hatujui hata tushike lipi?