Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo Mali zote za kujenga Rwanda si anaiba colbat akishirikiana na USA huko DRCPK haya kama ni mbabe, dikteta lakini anapenda Sana nchi yake.
Kiongozi mzuri kwenye mambo ya maendeleo.
Mkuu JPM yuko juu,hata mimi namkubali.Mkwere alicheza nae kidiplomasia,anamchekea tu
"aah bwana wee kagame hata wewe"huku kapeleka vikosi JWTZ DRC vinamfinya mbaya anapokula na vikosi mamluki vya PK huko Congo DRC.
Hv nikikuuliza nitajie watu wa5 alioua hadi ikawa Genocide...unaweza nitajia?? Kuna dhambi nyengine Hanna hata haja ya kuibeba bora ungetumia hiyo energy kutafuta ela tuLazima niwe bitter na uaji!
Dikteta lile,linafunga watu bila aibu....nchi haina rule of law,etc
Niko hapa kupinga na kulaani watu wa namna hiyo hapa duniani...na kama unaniona nina chuki kwa majitu ya namna hiyo then let it be!
Bora yeye anaiba na kujenga vitu vya maanufaa kwa jamii kubwa.Hizo Mali zote za kujenga Rwanda si anaiba colbat akishirikiana na USA huko DRC
ah ah mzee upo dayaspora nini Maisha yamekaba ah ah ah njaa inakufanya uwe na makasiriko yasiyokua na msimgi ah ah hivi haya makasiriko nayo ushawahi yaelekeza kwa trump na black lives matter au ni viongozi weusi tu ah ah ahUnaona hili jitu?
Kwavile kuna watu walifanya genocide 1994 basi ni haki ya Kagame kuua leo?
Yaani dhambi inahalalisha new dhambi?
Wewe mtu wa wapi aisee?
Eti hana dhambi,hivi wewe ni mwanadamu kweli?
bro don't be a fucking childish.. Been to all over Europe now proudly nipo Bongo A senior manager in a very reputable institute na investment zangu za kunifanya nisiwe na hasira na vitu nisivyoweza control...huu mda unaotumia day dreaming ungetumia kubeba box wala usingekua na hizi hasira...By the looks of things your still a teenager living in a stamps...Achaga hasira kama Mange kimambi piga kazi ukichoka karibu mjini tutakupa jembe ukalime….Kuijua JF 2017 ushajifanya che Guevara stupid been here toka 2011 and we know how this country works in and out..so relax kidUmeishia kusingizia Diaspora badala ya kujibu hojas head on?
Diaspora ina shida na wewe?
Nipo United States kama diaspora,wewe umenizidi nini labda?
Hebu acha sound,jibu hoja haina haja ya kujua nani yupo wapi na nani hayupo wapi
at that fucking age you still believe in fairy tales...grow up brow....what you see is what you get..kwahiyo wyatt atapata superpower na kwenda muua kagame sio..KMMY SIHITAJI PROVE ANYTHING TO YOU NLITAKA TU KUKUONESHA HAMNA JIPYA HUKO UGHAIBUNI ZAIDI YA SIFA TU ZA KIJINGA...Fanya kazi stop hating..kumchukia magufuri au kagame haibadilishi TRUMP kuwatia vidole kila siku jhuko marekani..and what the https://jamii.app/JFUserGuide did you do about it kid???????? marry an old white lady to get a fuckin green card..such a low lifeWho cares where fvck you are?
Au where u used to be?
Those are just geographical locations which mean shit !
Toa strong ideas wewe,acha kutuletea nonsense,eti i was here,i was there,i was in my own butt eating shit..etc
Who cares?
Investments zipi?Weka evidences hapa,acha kujifaragua!
Anyone can say anything,naweza sema I own Trump Tower at NYC,Manhattan Blv,kuweka evidence ya hiyo ownership ndio mziki!
Wewe tuwekee evidences ya hizo ownerships tuone vituko!
Nothing like that!
Bro
Wewe upo hapa pia,then unajifanya kujipa self righteousness ya kunielekeza nibebe box,wakati na wewe upo hapa hapa unachat kama mimi!
Mchajiti anamuelekeza mchatiji mwenzake eti akafanye kazi as if yeye anafanya kazi as we speak?!
Ndugu Wyatt Mathewson ni internet fictional character hapa JF,acha ukichaa kushikia hasira a mere fictional character hapa!
We are all internet characters here,ain't nothing real hapa...
Upo hapa eti unashikwa hasira na jina "Wyatt Mathewson",maajabu aiseee!
We dont even know each other or anybody in here in real life!
Relaxxxx nigga!
Daaah!!! Ametunyanyapaaa sis wa senti kayumba.bro don't be a fucking childish.. Been to all over Europe now proudly nipo Bongo A senior manager in a very reputable institute na investment zangu za kunifanya nisiwe na hasira na vitu nisivyoweza control...huu mda unaotumia day dreaming ungetumia kubeba box wala usingekua na hizi hasira...By the looks of things your still a teenager living in a stamps...Achaga hasira kama Mange kimambi piga kazi ukichoka karibu mjini tutakupa jembe ukalime….Kuijua JF 2017 ushajifanya che Guevara stupid been here toka 2011 and we know how this country works in and out..so relax kid
eti…..This nigga Wyatt Mathewson was a former Military General, Professional Assassin, and FBI Agent.
Best and Coldest Black Villain Ever.????? nigga are you twelve lol mr general
Ana stress za kubeba box..wakati wa kanumba tunakula goodtym. Mda kama huu nisile bia na watoto wazuri eti nikimbizane kumchukia kagame....hawa dayaspora sana stress sana aiseeDaaah!!! Ametunyanyapaaa sis wa senti kayumba.
kausha jombaaOya achen ujinga wenu nyie wapumbavu wawil huko juu
Kagame atakipata tu anachkitafuta![]()
Rais Kagame alisema kwamba mpinzani wake mkuu Paul Rusesabagina alidanganywa akajileta mwenyewe nchini Rwanda.
Waziri wa Sheria nchini Rwanda amemjibu mjumbe wa bunge la Marekani ambaye alikuwa amemwandikia Rais Paul Kagame akimtaka Paul Rusesabagina aachiliwe huru , mkosoaji mkuu wa serikali ya Rwanda , ambaye yuko gerezani nchini Rwanda kwa madai ya ugaidi.
Waziri Jonhnston Businjye amesema kuwa Rwanda ni nchi huru na haichukui maagizo kutoka mahali kwingine.
Wakati huohuo familia ya Rusesabagina imesema itaishtaki kampuni ya ndege ya kibinafsi ya Ugiriki kwa kuongoza njama ya utekaji na kupelekwa kwake nchini Rwanda.
Waziri wa sheria wa Rwanda Jonhston Businjye amejibu barua iliyoandikwa wiki iliyopita na Carolyn B. Maloney , mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Uchunguzi na Mageuzi ya Marekani, akimwandikia Rais Paul Kagame kuwa mwezi Agosti , Rusesabagina alisafiri toka Dubai kwenda Burundi na ndege hiyo kutua Kigali ambapo viongozi wa Rwanda walimkamata.
Mbunge huyo alisisitiza kwamba Rusesabagina alikamatwa katika mazingira ambayo bado ni ya kutatanisha na kwamba alitekwa nyara na vyombo vya sheria vya Rwanda na kuzuiliwa kwa misingi ya kisiasa kutokana na msimamo wake wa kutetea haki za binadamu.
Waziri wa sheria wa Rwanda Johnston Busingye, amejibu barua hiyo kwa kusema kwamba Rwanda ni taifa huru lisilopokea maagizo kutoka kwa nchi yoyote na kwamba Paul Rusesabagina alikuwa mikononi mwa vyombo vya sheria kulingana na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka na kuwa baadhi ya ushahidi ulikuwa wazi akikumbusha mashambulio yaliyoendeshwa na kundi lake katika vijiji kadhaa vya kusini magharibi mwa Rwanda na pia kuwa hadi leo Rusesabagina mwenyewe hajakanusha ushahidi huo.
![]()
Kesi ya dhidi ya Paul Rusesabagina itaanza kusikilizwa mwezi Januari Rwanda imesisitiza kwamba Rusesabagina anakozuiliwa anapata haki zake zote ikiwa ni pamoja na kuonana na mawakili wake, madaktari bingwa wanaoangalia afya yake na pia kuzungumza mara kwa mara na familia yake.
Nayo familia yake ikitangaza kuishtaki kampuni ya ndege ya kibinafsi ya Ugiriki kwa kuongoza njama ya utekaji na kupelekwa kwake nchini Rwanda.
Anasema mnamo mwezi Agosti alikuwa amenuia kuzuru Burundi kwa shughuli za kanisa lakini ndege ya kibinafsi aliyokuwa ameabiri kwenda Dubai badala yake ilimpeleka Rwanda.
Kesi iliyowasilishwa mbele ya mahakama mjini Texas inadai kuwa kampuni ya ndege hiyo , GainJet, ilikubali kufanya safari hiyo kutokana na uhusiano wa karibu kati yak e na maafisa wa Kigali.
Ni madai ambayo serikali ya Rwanda ilikanusha ikisema alijileta mwenyewe mjini Kigali.
![]()
Kesi ya Paul Rusesabagina dhidi ya mashtaka ya ugaidi itaanza kusikilizwa mwezi Januari
Kesi dhidi ya Paul Rusesabagina imepangwa kusikilizwa rasmi tarehe 26 mwezi wa kwanza mwaka 2021 yeye pamoja na watu wengine 19 waliokuwa katika kundi la FLN ambalo ni tawi la kijeshi la vuguvugu la MRCD ambalo Rusesabagina alikuwa kiongozi wake.
Mkosoaji mkuu wa Rais wa Rwanda Paul Kagame ambaye anazuiliwa gerezani kwa mashtaka ya ugaidi amesema ataishtaki kampuni ya ndege ya kibinafsi ya Ugiriki kwa kuongoza njama ya utekaji na kupelekwa kwake nchini Rwanda.
Paul Rusesabagina - ambaye jukumu lake wakati wa mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 iliangaziwa katika filamu ya Hollywood ya Marekani kwa jina Hotel Rwanda - alikuwa akiishi mafichoni nchini Marekani na Ubelgiji.
Anasema mnamo mwezi Agosti alikuwa amenuia kuzuru Burundi kwa shughuli za kanisa lakini ndege ya kibinafsi aliyokuwa ameabiri kwenda Dubai badala yake ilimpeleka Rwanda.
Kesi iliyowasilishwa mbele ya mahakama mjini Texas inadai kuwa kamuni ya ndege hiyo , GainJet, alikubali kufanya safari hiyo kutokana na uhusiano wa karibu kati yak e na maafisa wa Kigali.
Kesi sawa na hiyo inatarajiwa kuwasilishwa katika mahakama nchini Ubelgiji ambako Bw.Rusesabagina ana uraia wake. GainJet haijajibu ombi la BBC la kupata tamko lake kuhusiana na madai hayo.
![]()
Mapema mwezi Septemba alipozungumza mara ya kwanza kuhusu kukamatwa kwa Rusesabagina, Rais wa Rwanda Paul Kagame alisema kwamba Bwana Rusesabagina hakutekwa, alidanganywa akajileta mwenyewe nchini Rwanda.
Rais Kagame alisema lazima Rusesabagina awajibishwe kuhusu mauaji dhidi ya raia wa Rwanda kufuatia mashambulio ya makundi ya waasi anayoongoza yaliyofanywa dhidi ya maeneo ya Rwanda miaka miwili iliyopita.
''Kumamatwa kwa Rusesababiga ambaye ni mmoja wa waliopanga mashambulio yaliyotoka Burundi ni moja ya njia ya kutekeleza hayo uliyoyasema kwamba unataka haki itendeke kwako na kwa wengine waliopoteza wame na mali zao, hatuwezi kukurusidia mume, lakini kile tunachoweza kukifanya ni kuhakikisha unapata haki yako ya kisheria'', Rais Kagame alimjibu mmoja wa wanawake waliomuuliza kwa njia ya simu kupitia televisheni kuhusu ni vipi anaweza kumsaidia baada ya kifo cha mume wake ambaye aliuawa katika mashambulio.
Baraza la kimataifa la Haki za binadmu kwa ajili ya Rwanda linadai kwamba mtuhumiwa huyo ambaye ana uraia wa Ubelgiji amenyimwa haki ya kutembelewa na ubalozi wan chi hiyo, Shirika la msalaba mwekundu mbali na kwamba pia hawezi kuwasiliana na familia yake.
![]()
Maelezo ya picha, Paul Rusesabagina anazuiliwa nchini Rwanda
Familia ya Rusesabagina imewachagua mawakili 6 wataalamu wa sheria za kimataifa za haki za kibinadamu kumuwakilisha katika kesi inayomkabili nchini Rwanda, kutoka Rwanda, Ubelgiji, Astralia, Marekani na Canada.
Rusesabagina alifahamika kufuatia filamu ya Hotel Rwanda ikielezea jinsi alivyookoa maisha ya watutsi waliokuwa wamekimbilia katika hoteli moja mjini Kigali aliyokuwa meneja wake mwaka 1994.
Rais Paul Kagame amesema kikubwa sio ushujaa wa Bwana Rusesabagina au vitendo vyake wakati wa mauaji ya kimbari akisema kinachoangaliwa kwa sasa ni yeye.
kuwajibishwa kuhusu kwa vitendo alivyotaja kuwa vya mauaji dhidi ya raia wa Rwanda. Bwana Kagame amesema kwamba hajali kuhusu hadithi ya Bwana Rusesabagina kwamba yeye ni shujaa wa mauaji ya kimbari na kwamba ''hilo si jambo ambalo litakalomkabili mahakamani''.
"Kuna maswali ambayo lazima atayajibu.kuna wanaomsaidia wakiwa Ulaya,Marekani na kwIngineko na ambao walimpandisha cheo na kumpa majina ya ushujaa.awe shujaa au la ,mimi sina wasi wasi na hilo.
Wanazingua hawa.wanatutoa kwenye mjadala wa msingi kwa malumbano yao personal kabisaakausha jombaa
JPM ingekua enzi hizo wangezichapa kavukavu ila mkwere alicheza kisayansi, yaani kama vile hajamind lakini ndio vikosi vilipelekwa Congo kule wale watutsi walikua wanasumbua walikimbizwa mpaka mpakani pale na yule kamanda mpaka leo warwanda wanazuga yuko house arrest, no yupo tu mtaani na ulinzi kibaoMkuu JPM yuko juu,hata mimi namkubali.
Kwenye uchangiaji wangu kama umenielewa tofauti basi pole sana.
Tuchape kazi kuboresha uchumi wetu wa kati.