Rwanda yaijibu barua ya bunge la Marekani dhidi ya kesi ya Rusesabagina

PK haya kama ni mbabe, dikteta lakini anapenda Sana nchi yake.
Kiongozi mzuri kwenye mambo ya maendeleo.
Hizo Mali zote za kujenga Rwanda si anaiba colbat akishirikiana na USA huko DRC
 
Mkwere alicheza nae kidiplomasia,anamchekea tu
"aah bwana wee kagame hata wewe"huku kapeleka vikosi JWTZ DRC vinamfinya mbaya anapokula na vikosi mamluki vya PK huko Congo DRC.
Mkuu JPM yuko juu,hata mimi namkubali.
Kwenye uchangiaji wangu kama umenielewa tofauti basi pole sana.
Tuchape kazi kuboresha uchumi wetu wa kati.
 
Lazima niwe bitter na uaji!

Dikteta lile,linafunga watu bila aibu....nchi haina rule of law,etc

Niko hapa kupinga na kulaani watu wa namna hiyo hapa duniani...na kama unaniona nina chuki kwa majitu ya namna hiyo then let it be!
Hv nikikuuliza nitajie watu wa5 alioua hadi ikawa Genocide...unaweza nitajia?? Kuna dhambi nyengine Hanna hata haja ya kuibeba bora ungetumia hiyo energy kutafuta ela tu
 
Hizo Mali zote za kujenga Rwanda si anaiba colbat akishirikiana na USA huko DRC
Bora yeye anaiba na kujenga vitu vya maanufaa kwa jamii kubwa.
Wakongo (Congolese) wanaiba na kuponda raha wachache wakisahau jamii kubwa inayo wazunguka na hasa jamii ya watu zinako toka hizo mali.

It's shame!
 
Unaona hili jitu?

Kwavile kuna watu walifanya genocide 1994 basi ni haki ya Kagame kuua leo?

Yaani dhambi inahalalisha new dhambi?

Wewe mtu wa wapi aisee?

Eti hana dhambi,hivi wewe ni mwanadamu kweli?
ah ah mzee upo dayaspora nini Maisha yamekaba ah ah ah njaa inakufanya uwe na makasiriko yasiyokua na msimgi ah ah hivi haya makasiriko nayo ushawahi yaelekeza kwa trump na black lives matter au ni viongozi weusi tu ah ah ah
 
Umeishia kusingizia Diaspora badala ya kujibu hojas head on?

Diaspora ina shida na wewe?

Nipo United States kama diaspora,wewe umenizidi nini labda?

Hebu acha sound,jibu hoja haina haja ya kujua nani yupo wapi na nani hayupo wapi
bro don't be a fucking childish.. Been to all over Europe now proudly nipo Bongo A senior manager in a very reputable institute na investment zangu za kunifanya nisiwe na hasira na vitu nisivyoweza control...huu mda unaotumia day dreaming ungetumia kubeba box wala usingekua na hizi hasira...By the looks of things your still a teenager living in a stamps...Achaga hasira kama Mange kimambi piga kazi ukichoka karibu mjini tutakupa jembe ukalime….Kuijua JF 2017 ushajifanya che Guevara stupid been here toka 2011 and we know how this country works in and out..so relax kid
eti…..This nigga Wyatt Mathewson was a former Military General, Professional Assassin, and FBI Agent.
Best and Coldest Black Villain Ever.????? nigga are you twelve lol mr general
 
at that fucking age you still believe in fairy tales...grow up brow....what you see is what you get..kwahiyo wyatt atapata superpower na kwenda muua kagame sio..KMMY SIHITAJI PROVE ANYTHING TO YOU NLITAKA TU KUKUONESHA HAMNA JIPYA HUKO UGHAIBUNI ZAIDI YA SIFA TU ZA KIJINGA...Fanya kazi stop hating..kumchukia magufuri au kagame haibadilishi TRUMP kuwatia vidole kila siku jhuko marekani..and what the https://jamii.app/JFUserGuide did you do about it kid???????? marry an old white lady to get a fuckin green card..such a low life
 
Daaah!!! Ametunyanyapaaa sis wa senti kayumba.
 
Daaah!!! Ametunyanyapaaa sis wa senti kayumba.
Ana stress za kubeba box..wakati wa kanumba tunakula goodtym. Mda kama huu nisile bia na watoto wazuri eti nikimbizane kumchukia kagame....hawa dayaspora sana stress sana aisee
 
Kagame atakipata tu anachkitafuta
 
P W Botha
Kuhusu watu weusi.
Kwa hakika Mungu hawezi kuwatupa watu wake ambao ni sisi, hadi sasa imeonekana kwa vitendo kuwa weusi hawawezi kujitawala; wape bunduki kama hawajaanza kuuana, hawana lolote jema isipokuwa mashujaa wa kupiga kelele, kucheza ngoma na kuoa wanawake wengi. Hebu sasa tukubali kuwa mtu mweusi ni alama ya umaskini, udumavu wa akili, uvivu na aliyekosa ushindani.
 
Mkuu JPM yuko juu,hata mimi namkubali.
Kwenye uchangiaji wangu kama umenielewa tofauti basi pole sana.
Tuchape kazi kuboresha uchumi wetu wa kati.
JPM ingekua enzi hizo wangezichapa kavukavu ila mkwere alicheza kisayansi, yaani kama vile hajamind lakini ndio vikosi vilipelekwa Congo kule wale watutsi walikua wanasumbua walikimbizwa mpaka mpakani pale na yule kamanda mpaka leo warwanda wanazuga yuko house arrest, no yupo tu mtaani na ulinzi kibao
 
Walianza Kenya sasa ni Rwanda. Toka UN waiondoe bange kwenye list ya madawa ya kulevya Africa tunamvimbia sana Marekani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…