Rwanda yaiwekea Ubelgiji vikwazo vya kiuchumi

Kataifa kadogo kanatoa vikwazo kwa taifa kubwa, ni sawa na kupigisha kidole kwenye jiwe halafu useme unalikomoa jiwe.
 
Kelelee za mfa maji hizi mkuu stytuned
 
Too late
 
Inzawezekana anambdla au hana.
Maana anayetoa kauli hiyo ni raisi ila hatujui wananchi wake wanamsimamo upi. Pia hata ikitokea Rwanda ikapata madhara katika hilo sidhani kama watawala wataathirika moja kwa moja.

Ila huo msimamo wa Prezda PK ndo uhalisia au wasifu wake og sio jambo la kushangaza. Na anaweza kuwin ktk hilo tifu hususani ikiwa hao wabeljiam walikuwa wapga mkwara tuu ili Rwanda itishike.
 
Hiki ni kituko.

Kama ilivyokuwa kwa Zimbabwe ambapo Rais Robert Mugabe eti aliiwekea vikwazo nchi ya Uingereza chini ya Waziri Mkuu wake Tony Blair
 
Nawawaomba wizara ya mambo ya nje "hili nalo mkalitazame"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…