NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Mkuu kama kagame kaweza watengeneza waasi ndani ya nchi ya burundi kama unavyosema ww na wakafanya mapinduzi,mapinduzi ambayo bila ya tz kuyakataa sahizi burundi ingekuwa under control ya paul kagame a.k.a mr butcher.jeshi la burundi si ndyo hilo lilifukuza waasi mkoani cibitoke waliokua wameandaliwa na kagame waliozima zoezi la mapinduzi 2015 ,kifupi kagame hawezi ingia vitani na burundi atakua amefungua mlango wa chumbani anako lala ,afanye hayo DRC kichwa cha mwendawazimu
sasa utasema burundi ina jeshi ?.
Yani sahivi litengwe kati ya pk na mchungaji nkurunzinza,,kurunzinza anakalishwa mapema sana tunampa ifazi ya kula,kunywa na kulala hapa upanga karibu na kambi ya staff wa jw,
Sent using Jamii Forums mobile app