Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Uganda tayari ina mafuta, South Sudan inayo, Kenya inayo, Zanzibar nayo inayo (hata yawe kinibu ni mafuta ya Zanzibar) na sasa Rwanda nayo imepata mafuta yake. Je Tanganyika vipi?
View: https://www.youtube.com/watch?v=0g7af_f469Y
View: https://www.youtube.com/watch?v=0g7af_f469Y