johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Fafanua kwenye nnWangesema eti JPM anapenda Megastructures kuliko watu. Wakati kumbe hicho kinu kinakuja kusaidia watu.
tungeuliza kwa nini asijenge kinu cha kutwangia mahindi ili unga ushuke bei just kiddingWangesema eti JPM anapenda Megastructures kuliko watu. Wakati kumbe hicho kinu kinakuja kusaidia watu.
Kwani Megastructures mlizopinga zisifanyike huzijui? Unajifanya JNHPP hujui kama ipo inakaribia kukamilika?Fafanua kwenye nn
Kama hazigusi watu na haziangalii faida ya kiuchumi, Bali sifa,au ili aje akumbukwe, zisizo jali vipaumbele vya wananchi Bali watawala kutafutia sifa kupitia Kodi zetu ni badala ya kupeleka kwenye tija na ambazo si lazima Sana kwa Sasa ni lzm vipingwe.Kwani Megastructures mlizopinga zisifanyike huzijui? Unajifanya JNHPP hujui kama ipo inakaribia kukamilika?
Kwa hiyo mradi wa Sgr na JNHPP haitasaidia wananchi na hazitakuwa na faida kwa uchumi wa nchi?Kama hazigusi watu na haziangalii faida ya kiuchumi, Bali sifa,au ili aje akumbukwe, zisizo jali vipaumbele vya wananchi Bali watawala kutafutia sifa kupitia Kodi zetu ni badala ya kupeleka kwenye tija na ambazo si lazima Sana kwa Sasa ni lzm vipingwe.
Ungekuwa unajua uchumi ningekuelewesha,si kwamba sio muhimu sababu tayari mbadala upo yaani kuziboresha reli za zamani Kama ilivo sawa na kuziboresha dams zilizopo lengo kuu hizo pesa zikaguse maeneo yanayoweza chochea ukuaji wa uchumi ndani ya mda mfupi mfano miaka 4 tu hela yote iliyowekwa kwenye sgr, kwenye,bwawa,ikarudi Mara tatu tofauti na hio miradi ambayo yote tayari inayo mbadala wake,je kuna mizigo yeyeto imekwama kusafirishwa Hadi isubirie sgr?Kwa hiyo mradi wa Sgr na JNHPP haitasaidia wananchi na hazitakuwa na faida kwa uchumi wa nchi?
Kipo wapi?Kinu cha nyuklia bongo mbona kipo!
Labda useme tu hicho cha rwanda kitakuwa kikubwa kushinda cha bongo.
Nawe ni mchumi mkuu?Ungekuwa unajua uchumi ningekuelewesha,si kwamba sio muhimu sababu tayari mbadala upo yaani kuziboresha reli za zamani Kama ilivo sawa na kuziboresha dams zilizopo lengo kuu hizo pesa zikaguse maeneo yanayoweza chochea ukuaji wa uchumi ndani ya mda mfupi mfano miaka 4 tu hela yote iliyowekwa kwenye sgr, kwenye,bwawa,ikarudi Mara tatu tofauti na hio miradi ambayo yote tayari inayo mbadala wake,je kuna mizigo yeyeto imekwama kusafirishwa Hadi isubirie sgr?
Mfano tungeweza kwenye kilimo tungeuwa mawe matatu kwa pamoja,kwanza kutatua shida ya ajira, kuongeza mauzo nje tukapata pesa nyingi badala ya kutegemea kukopa,tatu tungekuwa na ziada ya kutosha yaan malighafi na chakula cha kutosha.Kwani Megastructures mlizopinga zisifanyike huzijui? Unajifanya JNHPP hujui kama ipo inakaribia kukamilika?
Wwe wanenaNawe ni mchumi mkuu?
kule ni.mbali ningekuelekeza sema utachoka ni karibu na 2050 hiviKipo wapi?