Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Ila Rwanda kama vile anataka mambo makubwa uwezo mdogo! Ikitokea msala kwenye hiyo mitambo kuirekebisha ni uchumi wao wote! Japan walivyohangaika hivyo na kutumia mabilioni ya dola! Yetu macho!