Rwanda yasema ndege ya vita ya DRC imeingia kwenye anga yake

Rwanda yasema ndege ya vita ya DRC imeingia kwenye anga yake

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Kauli hiyo ya Rwanda imetolewa wakati mivutano kati ya majirani hao wawili ikiongezeka juu ya waasi wanaozidi kusonga mbele katika eneo lenye mzozo la Mashariki mwa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC).

DRC inaishutumu Rwanda kuliunga mkono kundi la waasi la M23, ambalo liliteka baadhi ya maeneo kutoka kwa Jeshi la Congo na washirika wake miezi ya hivi karibuni.

Kigali ilikanusha madai hayo, ambayo yamethibitishwa na waatalamu wa Umoja wa Mataifa kadhalika na Marekani, Ufaransa na Ubelgiji.

Rwanda inaishtumu DRC kushirikiana na waasi wa FDLR, kundi la zamani la waasi wa Kihutu wa Rwanda lenye makao yake nchini DRC.

dege ya vita aina ya Sukhoi 25 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ilifanya ukiukaji na kuingia katika anga ya Rwanda kwenye Ziwa Kivu katika Jimbo la Magharibi Nchini Rwanda nyakati za mchana,” Serikali ya Rwanda imesema katika taarifa.

Taarifa hiyo imeongeza kuwa: “Ndege hiyo ilirejea mara moja DRC.”

Tukio hilo linajiri chini ya miezi miwili baada ya Kigali kudai ndege nyingine ya vita ya DRC iliingia kwenye anga yake.

=== = ==== ===

Rwanda Says DR Congo Fighter Jet Violated Airspace

Rwanda said a fighter jet from the Democratic Republic of Congo violated its airspace Wednesday amid spiralling tensions between the neighbours over rebels advancing in the DRC's volatile east.

The DRC has accused Rwanda of backing the M23 rebel group, which has captured swathes of territory from the Congolese army and allied militias in recent months.

Kigali has denied the allegations, which are also supported by UN experts as well as the United States, France and Belgium.

It accuses Kinshasa of colluding with the FDLR -- a former Rwandan Hutu rebel group based in the DRC.

"A Sukhoi-25 fighter jet from the Democratic Republic of Congo (DRC) violated Rwandan airspace along Lake Kivu in the Western Province of Rwanda today at around" midday, the Rwandan government said in a statement.

The aircraft immediately returned to the DRC, the statement said, adding: "Rwandan authorities have once again protested to the DRC government against the violations of Rwandan airspace by DRC fighter jets."

It comes less than two months after Kigali accused another DRC fighter jet of violating its airspace.

Chanzo: VOA
 
Hii Ni mara ya pili mkuu
 
... nikiwaza mchina anavyoingiza mamia ya ndege hapo Taiwan kwa wakati mmoja; Russia anavyohanikiza mamia ya drones at par hapo Ukraine japo zinatunguliwa kama kumbikumbi Afrika sisi bado sana; kadege kamoja ka DRC kamekaribia mpaka wa Rwanda; dah!
 
Majirani wasiopendana hawa, Rwanda inalalamikia ndege moja tu iliyoingia na kurudi ila wao wamepeleka mamia ya vikosi kuwasaidia M23 kuteka vijiji.
Moronight walker mtu chake
Mimi mwenyewe NASHANGAA. Kwenda inawezekana sio kweli , maana PK snatafuta namna ya kuweka kama congo ndo wakorofi.
Inawezekana ikawa sio kweli.
 
Congo ingekuwa na jeshi imara lenye uzalendo wangekachakaza hako ka tarafa kanakojiita Rwanda kwa miezi tu. Ila kwa hali ilivyo Congo inaweza kupoteza vita.
Jeshi la FARDC limejaa rushwa, mamluki wa kigali, na halina muundo bora wa kimaamuzi na amri.

Rwanda inatafuta sababu ya kuanzisha mashambulizi ya kivita huko Congo DR.
 
... nikiwaza mchina anavyoingiza mamia ya ndege hapo Taiwan kwa wakati mmoja; Russia anavyohanikiza mamia ya drones at par hapo Ukraine japo zinatunguliwa kama kumbikumbi Afrika sisi bado sana; kadege kamoja ka DRC kamekaribia mpaka wa Rwanda; dah!
Sisi watuletee condoms tunyanduane
 
Congo ingekuwa na jeshi imara lenye uzalendo wangekachakaza hako ka tarafa kanakojiita Rwanda kwa miezi tu. Ila kwa hali ilivyo Congo inaweza kupoteza vita.
Jeshi la FARDC limejaa rushwa, mamluki wa kigali, na halina muundo bora wa kimaamuzi na amri.

Rwanda inatafuta sababu ya kuanzisha mashambulizi ya kivita huko Congo DR.
Kwa upepo wa sasa ni ngumu sana rwanda kupigana na nchi ya congo. Congo anaweza akawa na allies wengi kuliko rwanda.

Kumbuka sadc na mataifa mengi ya africa yameonesha nia kubwa ya kuisaidia congo.
 
Kwa upepo wa sasa ni ngumu sana rwanda kupigana na nchi ya congo. Congo anaweza akawa na allies wengi kuliko rwanda.

Kumbuka sadc na mataifa mengi ya africa yameonesha nia kubwa ya kuisaidia congo.
Mkuu Rwanda ana mikono ya westerners, Congo ina jeshi lililopitwa na wakati. Rwanda ana silaha na mbinu bora, ameshalichezea vya kutosha eneo la mashariki mwa congo na ana mapandikizi wake wengi.

kuhusu congo kusaidiwa na members wa sadc sahau hilo wataishia kuhamasisha mazungumzo ya amani huku vita ikiendelea.
 
Mkuu Rwanda ana mikono ya westerners, Congo ina jeshi lililopitwa na wakati. Rwanda ana silaha na mbinu bora, ameshalichezea vya kutosha eneo la mashariki mwa congo na ana mapandikizi wake wengi.

kuhusu congo kusaidiwa na members wa sadc sahau hilo wataishia kuhamasisha mazungumzo ya amani huku vita ikiendelea.
Westerners!?
unajuaj kama Tshekedi hajakubaliana na hao westerners!?
Hao USA na UN mambo yao yakienda vizuri chini ya Tshekedi hawatahitaji tena kupitia kwa middle man wanakusaliti mchana kweupe rejea kisa cha savimbi.
 
Back
Top Bottom