Corona2020
Senior Member
- Feb 8, 2020
- 142
- 391
Mabinti wa kinyarwanda tutawapokea kwa mikono miwili 😂😂😂Wakichapana sisi tutabeba mzigo wa kuwapokea wakimbizi, wakati tuko bize tunajaza bwawa la Nyerere
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabinti wa kinyarwanda tutawapokea kwa mikono miwili 😂😂😂Wakichapana sisi tutabeba mzigo wa kuwapokea wakimbizi, wakati tuko bize tunajaza bwawa la Nyerere
Rwanda wanaweza fanya lolote ilimradi tu washinde vita.Westerners!?
unajuaj kama Tshekedi hajakubaliana na hao westerners!?
Hao USA na UN mambo yao yakienda vizuri chini ya Tshekedi hawatahitaji tena kupitia kwa middle man wanakusaliti mchana kweupe rejea kisa cha savimbi.
Western tayari wameonesha kumkataa Kagame, unless hujafatilia hizi habari ndani ya miezi miwili hii.Mkuu Rwanda ana mikono ya westerners, Congo ina jeshi lililopitwa na wakati. Rwanda ana silaha na mbinu bora, ameshalichezea vya kutosha eneo la mashariki mwa congo na ana mapandikizi wake wengi.
kuhusu congo kusaidiwa na members wa sadc sahau hilo wataishia kuhamasisha mazungumzo ya amani huku vita ikiendelea.
Hizo drone hakuna wa kuzitungua had I Leo maana ukitungua tu bado inakuchapaaaa... nikiwaza mchina anavyoingiza mamia ya ndege hapo Taiwan kwa wakati mmoja; Russia anavyohanikiza mamia ya drones at par hapo Ukraine japo zinatunguliwa kama kumbikumbi Afrika sisi bado sana; kadege kamoja ka DRC kamekaribia mpaka wa Rwanda; dah!