Rwanda yavunja rekodi uuzaji Madini nje!

wapo sawa kabisa,Kenya iliwai kuwa kinara wa kuuza madini ya Tanzanite wakati mzigo unatoka tz.
wafanya biashara siku zote huwa wanatafuta penye mazingira mazuri ya soko wakauze huko.
Umeona kuna vita na mauaji huko Mererani? Means wachimbaji wanafuata soko zuri huko Kenya kwa uhuru na ytashi wao wenyewe, sio kwa kuuwana
 
Nakuelewa sana.
 

blood gems
 
we bwege peleka uzushi wako wa kingese huko kwa wajinga wenzio
 
Akasema kuwa akizuia wale wanaomsema kuwa anaiba Congo ndo watazidisha kumwbia anaiba Kongo.

Nikasema huyu jamaa mshenzi sana. Yeye ndo mwizi. Anacheza na watu wasiokuwa na akili. Wenye akili timamu wanamuelwa vizuri tu. Sema siku zake bado
 
Hii point ndio ya muhimu kbsaa Ni lzm ufanye lolote familia ipate chakula
Hii post umeikwoti mara mbili. Kwa uzoefu wangu na Banyarwanda siku zote huwa wanapenda kuidunisha Tanzania na kumfanya Kagame mungu mtu. Nimekaa nao sana, nimesoma nao kwa hilo nawaelwa vizuri. Unajua kwanini wanafanya hivyo? Deep down in their tribal thinking mind wanajua hapa East and Central Africa hakuna kama Tanzania.
 
Safi Kagame.
 
Umekuwa mungu kujua ya sirini mwa mtu?. Punguza unafiki.
 
Acha unafiki kujifanya una hasira na Kagame, wakati watu wanaiba hapa kila siku kwenye ripoti ya CAG mmekaa kimya. Anzeni kupiga kelele wizi wa ndani .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…