Tuachane na mjadala wa IQ, coz hiyo ipo wazi.List itusaidie nini? si isaidie kuconfirm kama hatujapewa hizo kits, whats the matter kuulizia hiyo list, au unataka tumwamini yeye tu afu tufunge mjadala, pasipo kusoma from a credible source. Kama mm iq yangu ni size ya kiatu, wewe huna kabisa IQ
Sent using Jamii Forums mobile app
Kugundua korona sio uzuri wa lab, bali ni uwepo wa kit ya kugundua korona (kuwa na jiko zuri la kisasa haimaanishi unaweza ukapika chai kama huna majani chai)
Mbona Swali halina tatizo. Kits za kupima korona hazitengenezwi nnchini na hatujapata taarifa kama zimefika ukizingatia upande wa serekali PR section inafanya kazi vizuri sana hii awamu ya 5.
Sio kila kitu ni ligi, swali alouliza huyu jamaa ni la msingi sana. Tunatakiwa kujihoji kama tupo tayari kupambana na hivi virusi vikiingia nnchini na hatua mojawapo ni uwezo wa kupima. Sasa nyie mnataka List ili iwasaidie nini?
Wewe IQ yako ni size ya kiatu!
Tweet yenyewe imesema mashine zinapima joto la mwili wakati kinachoongelewa ni kupima virusi vya korona.
Ipe mtazamoo huu, Wasingekua na kipimo, mpaka saivi wangekua wapo korona free! Nadhani Sihitaji kufafanua zaidi, achia akili ifanye kazi.Mimi nadhani sio muhimu sana kukimbilia kupima virusi vya Corona, muhimu ni kuzuia kuenea kwa virusi, pamoja na kwamba nchi za Ulaya na Marekani vinazo hizo maabara zenye uwezo wa kugundua Corona, lakini bado zimepiga marufuku watu kusafiri na kuingia katika nchi zao. Ni jambo la kushangaza kuona watu wazima wanajisifia kuwepo kwa maabara za kupima Corona wakati nchi hiyo imeshapatwa na Corona, wakati hiyo nchi ambayo unaishupalia, hadi sasa imefanikiwa kuzuia maambukizi kuingia nchini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie mmefungia wageni wa nchi ganiMtu wa IQ ndogo kama wewe hutaelewa ujumbe wangu labda uusome mara kumi na uelezwe na mtu, kisha ufafanuliwe na watu kitaani ndio mpaka utakaribia kunielewa.
Nimesema na narudia, tafuta watu kama kumi hivi wakusaidie kuelewa ninachokisema hapa, kwamba hamna nchi yoyote iwe Kenya wala Ulaya yenye uwezo wa kugundua Corona ambayo haijakolea kwa kutumia vpima joto, ndio maana taifa kama Marekani ambao ujuzi wao, teknolojia zao ni zaidi yenu mara elfu moja, wao wameamua kufunga hawaruhusu wageni kutokea kwenye nchi zilizotajwa kuwa na Corona, maana kupima joto tu haitoshi.
Kubaini Corona lazima upimwe kwenye maabara, na vitumike vifaa maalum, hadi juzi mataifa machache ikiwemo Kenya ndio yalikua na maabara yenye uwezo huo, kama nyie mumefaulu kuongeza uwezo huo ndio mtuambie, sio ubumbumbu wa kutuletea mapicha ya watu wakipima kiwango cha joto.
Usipoona umuhimu wake ni juu yako... Mimi hiyo list ina umuhimu kwangu.Kugundua korona sio uzuri wa lab, bali ni uwepo wa kit ya kugundua korona (kuwa na jiko zuri la kisasa haimaanishi unaweza ukapika chai kama huna majani chai)
Mbona Swali halina tatizo. Kits za kupima korona hazitengenezwi nnchini na hatujapata taarifa kama zimefika ukizingatia upande wa serekali PR section inafanya kazi vizuri sana hii awamu ya 5.
Sio kila kitu ni ligi, swali alouliza huyu jamaa ni la msingi sana. Tunatakiwa kujihoji kama tupo tayari kupambana na hivi virusi vikiingia nnchini na hatua mojawapo ni uwezo wa kupima. Sasa nyie mnataka List ili iwasaidie nini?
Wewe IQ yako ni size ya kiatu!
Tweet yenyewe imesema mashine zinapima joto la mwili wakati kinachoongelewa ni kupima virusi vya korona.
Unayo kichaa wewe, hivyo ndio vipimo vinavyotumika hata ChinaWatanzania elimu yenu imewaathiri sana mpaka mnakaa kama mazombi fulani hivi, kujadili na nyie mada yoyote inabidi mtu awe mvumilivu sana, you're very thick with low IQ.
Wewe hapa unaleta vipimo vya joto ambavyo kila nchi inavyo, hivi havisaidii chochote maana mtu aliyesheheni Corona ambayo haijakolea hagunduliki na hivi vipimo kwenye viwanja vya ndege, ndio maana mataifa mengi yameingia kwenye "lockdown", hakuna kuingia au kutoka.
Mfano Marekani amefunga haruhusu raia wa bara Uropa au hata Uingereza kuingia kwake, maana vipimo vya uwanja wa ndege sio vya kutegemewa.
Kinachozungumzwa kuhusu humu ni uwezo wa kumpima mshukiwa na kubaini kama kweli anayo Corona. Kumbuka vipimo hivi vya uwanja wa ndege vinapima joto, na kuna aina nyingi ya maradhi yanayoweza kusababisha kiwango cha joto kupanda.
Wewe jiulize Marekani pamoja na jeuri yake ya teknolojia alizo nazo kaamua kufunga, nyie na njaa zenu hapo mnaona mumejilinda sana kwa kupima joto, mnasahau kuna mtu akiambukizwa Corona, inapita wiki kabla joto kumpanda au kuhisi chochote, atapita hivyo vipimo vyenu na kutinga uswahilini na kuendeleza maambukizi.
Hili ni jukwaa la kubadilishana mawazo na kuambiana ukweli, kunauwezekano kuna point mimi au mwingine hajaiona sio mbaya ukaelezea kutupa mtazamo mpana zaidi lakini tukisema kilammoja agugumie alichonacho tutakua wajinga. Jiamini kushare na kushawishi ila uwe open minded, usiogope kurekebishwa.Usipoona umuhimu wake ni juu yako... Mimi hiyo list ina umuhimu kwangu.
πππππ Meno yameondoka na akiliHuyo ndezi nishamsomaga kitambo kidogo kwenye uzi wa miraa, akijipiga kifua ni mtumiaji mzuri, basi mm nikafikia hitimisho, huyo atakuwa hana meno, kama anayo akichapwa kibao kimoja yanang'oka. [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujaeleweka jaribu kufafanua swali lakoIpe mtazamoo huu, Wasingekua na kipimo, mpaka saivi wangekua wapo korona free! Nadhani Sihitaji kufafanua zaidi, achia akili ifanye kazi.
Kuna msemo flani nimeona kama unakufaa.Unayo kichaa wewe, hivyo ndio vipimo vinavyotumika hata China
Kwa hiyo hapo wanapima mimba?
Akili zenu bora za maiti πππππ
Wewe bastard huwezi kujua Corona bila joto la mwili ππππππKugundua korona sio uzuri wa lab, bali ni uwepo wa kit ya kugundua korona (kuwa na jiko zuri la kisasa haimaanishi unaweza ukapika chai kama huna majani chai)
Mbona Swali halina tatizo. Kits za kupima korona hazitengenezwi nnchini na hatujapata taarifa kama zimefika ukizingatia upande wa serekali PR section inafanya kazi vizuri sana hii awamu ya 5.
Sio kila kitu ni ligi, swali alouliza huyu jamaa ni la msingi sana. Tunatakiwa kujihoji kama tupo tayari kupambana na hivi virusi vikiingia nnchini na hatua mojawapo ni uwezo wa kupima. Sasa nyie mnataka List ili iwasaidie nini?
Wewe IQ yako ni size ya kiatu!
Tweet yenyewe imesema mashine zinapima joto la mwili wakati kinachoongelewa ni kupima virusi vya korona.
We Kafie mbele huko blalfuuu ππππππKuna msemo flani nimeona kama unakufaa.
"Pumbavu hua hajitambui, waliomzunguka ndo wanaopata tabu kuvumilia upumbavu wake."
Nimeuliza swali rahisi, ila hakuna aliyenipa jibu kamili, naona mmepandwa na mafeelings tu. Ingekuwa ni mimi nimeulizwa kuhusu Kenya ningejibu kwa facts. Corona ilipoanza kutaja tajwa hapa Africa kulikuwa na nchi mbili ambazo zilikuwa na uwezo wa kupima uwepo wa virusi hivyo kwenye sampuli, Senegal na S.Africa. Baadaye mapema mwezi Machi nchi zingine kumi za Afrika zikapata kits na lab, Kenya ikiwemo, Tz haikuwa. Baada ya hapo sijapata taarifa zingine kuhusu suala hilo.
Wewe msimamo wako ni upi... Ina umuhimu au haina umuhimu?....Mimi kwangu ina umuhimu coz kwanza ntajua nchi yangu imejipanga vipi... Na akidanganya kwenye hiyo listi ili kutetea nchi yake tutajua pia coz inabidi atupatie Iink ya source ya uhakika.Hatujaona response hadi sasa.Hili ni jukwaa la kubadilishana mawazo na kuambiana ukweli, kunauwezekano kuna point mimi au mwingine hajaiona sio mbaya ukaelezea kutupa mtazamo mpana zaidi lakini tukisema kilammoja agugumie alichonacho tutakua wajinga. Jiamini kushare na kushawishi ila uwe open minded, usiogope kurekebishwa.
LOL hajielewi huyoWewe msimamo wako ni upi... Ina umuhimu au haina umuhimu?....Mimi kwangu ina umuhimu coz kwanza ntajua nchi yangu imejipanga vipi... Na akidanganya kwenye hiyo listi ili kutetea nchi yake tutajua pia coz inabidi atupatie Iink ya source ya uhakika.Hatujaona response hadi sasa.
Una mtazamo finyu sanaWewe bastard huwezi kujua Corona bila joto la mwili ππππππ
Japo umekuja na id nyingine lakini ukweli ulioukimbia ndio huohuo unaupata na hili lifekero lako jipya πππππ
Au unataka tuweke CT scan hapo airport? Wewe kweli famba πππππ
We Kafie mbele huko blalfuuu ππππππ
Nimemuacha na imani yake.LOL hajielewi huyo
Yaani anataka kusema Tanzania imekosa pesa za kununua hizo test kits mpaka wasubiri msaada?
Hivi huyo ana akili timamu kweli?
Kwa namna issue ilivyo seriously serikalikazini inaweza kufanya huo upumbavu, kwa hiyo huko airport wale wanaopima Corona wa nafanya utani?
Hawa hawana akili mkuu wasikupotezee muda.
Mtazamo wangu.... hiyo list haisaidii chochote coz sio mashindano. serekali yapaswa kutoa elimu na taarifa kuhusu mkakati gani ilioweka pale ambapo korona itaingia nnchni.Wewe msimamo wako ni upi... Ina umuhimu au haina umuhimu?....Mimi kwangu ina umuhimu coz kwanza ntajua nchi yangu imejipanga vipi... Na akidanganya kwenye hiyo listi ili kutetea nchi yake tutajua pia coz inabidi atupatie Iink ya source ya uhakika.Hatujaona response hadi sasa.
Unayo kichaa wewe, hivyo ndio vipimo vinavyotumika hata China
Kwa hiyo hapo wanapima mimba?
Akili zenu bora za maiti πππππ