Wewe msimamo wako ni upi... Ina umuhimu au haina umuhimu?....Mimi kwangu ina umuhimu coz kwanza ntajua nchi yangu imejipanga vipi... Na akidanganya kwenye hiyo listi ili kutetea nchi yake tutajua pia coz inabidi atupatie Iink ya source ya uhakika.Hatujaona response hadi sasa.
Mtu yeyote ambaye joto lake limepanda lazima achukuliwe very serious na atengwe, hapo ndio damu yake ichukuliwe ipelekwe kupima, hata kama ni nchi ya nje hadi majibu yatakaporudi. Sio muhimu kwa kila nchi kuwa na uwezo wa kupima ugonjwa ambao bado haujaenea sana katika hiyo nchi, ndio sababu WHO inashauri kuwepo kwa nchi angalau moja katika kila kanda ili kupima huo ugonjwa ambao bado haujaenea sana, hadi utakapoenea sana ndio kila nchi italazimika kujenga uwezo wake wenyewe.Una mtazamo finyu sana
Joto la mwili kupanda linaweza kusababishwa na magonjwa mengi sio corona tu. Hata kipindi cha ebola kama ulisafiri nje ya nnchi walitumia hiyo hiyo thermometr gun.
Unavyosema " huwezi kujua Corona bila joto la mwili" unamaanisha nini? Hiyo scan ni very preliminary. Walivyo mpima Trump, Rais wa Marekani kwanini hawakutumia hiyo thermometer gun kama lazima kujua joto la mwili?
Utapambanaje na adui usiemjua? Mtazamo wako kua test kit sio muhimu tuzingatie zaidi kuzuia usiingie nnchini. Ukiangalia kiundani ni technically not possible. Zaidi ni kujiandaa kupambana nalo likifika na njia mojawapi ni uwezo wa kupima
Nakubaliana na wewe kwa asilimia flani sio lazima kuwa na test kit ila kwenye situation kama hii ni muhimu kuchukulia worst case scenario. Na kutuma vipimo vyako nje ya nchi inapunguza ufanisi wako wa kupambana na mlipuko wa magonjwa ya kuambukiza kama koronaMtu yeyote ambaye joto lake limepanda lazima achukuliwe very serious na atengwe, hapo ndio damu yake ichukuliwe ipelekwe kupima, hata kama ni nchi ya nje hadi majibu yatakaporudi. Sio muhimu kwa kila nchi kuwa na uwezo wa kupima ugonjwa ambao bado haujaenea sana katika hiyo nchi, ndio sababu WHO inashauri kuwepo kwa nchi angalau moja katika kila kanda ili kupima huo ugonjwa ambao bado haujaenea sana, hadi utakapoenea sana ndio kila nchi italazimika kujenga uwezo wake wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie si ndio mlioiona list... Kwa nini msiilete tukaona wote....sababu lazima itakuwa na maelezo yatakayotusaidia... kama kweli mmeiona halafu mkashindwa kushare na mnavyopenda kujipaisha,lazima kuna jambo hapo.Serikali yako ndio yenye jukumu ya kusema kama imefanikiwa kuandaa maabara kwa ajili ya Corona. Kutufuata Wakenya tukuhakikishia hilo utakua unajihangaisha.
Kaka ninachokuambia ni "recomendatio" ya WHO duniani kote, hasa katika nchi zenye rasilimali chache kama za Afrika. Sio busara kwa kila nchi kununua vifaa kwa ajili ya ugonjwa ambao haijafikia, na ukifika inawezekana usiwapate hata 0.01% ya watu wake, ukawa umeisha. Hivi kama tungelinunua mitambo ya kupima Ebola kwasababu tu DRC na Uganda ilikuwepo, sasa hivi hivyo vifaa na reagents tungevifanyia nini?Nakubaliana na wewe kwa asilimia flani sio lazima kuwa na test kit ila kwenye situation kama hii ni muhimu kuchukulia worst case scenario. Na kutuma vipimo vyako nje ya nchi inapunguza ufanisi wako wa kupambana na mlipuko wa magonjwa ya kuambukiza kama korona
Hawa vichaa bila shaka ndio wale ambao walienda shuleni kuiba miwa. Alafu mtu akiwa offline wanaanza kuruka ruka utadhani kuna mkataba ambao nilitia saini ndio nilazimike kukesha hapa Jf 24/7. Nilitegemea wanipe jibu simpo kama hivi; Kenya now in position to test for COVID-19 Hiyo ni taarifa kuhusu Kenya ilipomaliza rasmi shughuli ya ku'set up' kits kwenye lab mbili za shirika la kiserikali la risechi, KEMRI(Kenya Medical Research Institute). Hii nayo ilikuwa ni update(Feb13) kutoka kwa W.H.O-AFRO 'regional office' ya W.H.O hapa Afrika. Hizi ndio nchi ambazo zilipata kits na lab za kupima COVID-19, baada ya nchi za kwanza za hapo awali, Senegal na S.Africa.Umeuliza issue ya msingi, hao walio provoke swali lako wangejibu ulichouliza na sikuleta story nyingi!
Hiyo ni kwa upande wako... Hata hivyo mimi focus yangu kubwa kwenye hiyo list ni maelezo... Sihitaji hata kubishana na mtu kama unavyodai... Nafahamu hayo maelezo yataeleza nchi nyingine zimejipanga vipi na hapo ntajua nchi yangu pia imejipangaje...Mimi sihitaji eti listi tu namba 1 huyu,no 2 yule no 3 hapana.Mtazamo wangu.... hiyo list haisaidii chochote coz sio mashindano. serekali yapaswa kutoa elimu na taarifa kuhusu mkakati gani ilioweka pale ambapo korona itaingia nnchni.
Tungefanyia research.Kaka ninachokuambia ni "recomendatio" ya WHO duniani kote, hasa katika nchi zenye rasilimali chache kama za Afrika. Sio busara kwa kila nchi kununua vifaa kwa ajili ya ugonjwa ambao haijafikia, na ukifika inawezekana usiwapate hata 0.01% ya watu wake, ukawa umeisha. Hivi kama tungelinunua mitambo ya kupima Ebola kwasababu tu DRC na Uganda ilikuwepo, sasa hivi hivyo vifaa na reagents tungevifanyia nini?
Sasa hivi kama Kenya au South Afrika wanaouwezo wa kupima Corona, tuendelee Kupeleka "sample" za damu hadi tutakapokua na wagonjwa wa kutosha ambapo hata tukinunua mashine na dawa, vitatumika havitokaa bure hadi viharibike.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa iyo umekiri kwamba kupima joto ndio initial stage ya kipimo, sasa huwezi kujiona venye ubongo wako umejaa mavi. Ulivyokuwa unasema tuna IQ ndogo sababu tumeweka vipima joto airports, au ulitaka airports kuwe na vipimo vyote.Akili za kizombi hizi bora hata za maiti, ni aibu na fedheha kubwa kama kuna mtu hutegemea ubongo wako wewe, kuna vipimo mara mbili
- Vya kupima joto, ambavyo hupima hata mtu wa Ebola, hivi havisemi kama una Corona au Ebola au Malaria, ila vinapima kama kiwango cha joto kipo juu,ulivyotuletea mapicha yake. Ikibainika kiwango cha joto kipo juu ndio inabidi utengwe na kupelekwa kwenye kipimo cha pili.
- Kipimo cha pili ndio kinatumia kitu tunaita "Corona test reagent", ikibainika kiwango chako cha joto kiko juu, unaletwa kwenye maabara maalumu na kutengwa humo "quarantine" unapimwa Corona kabisa. Kunao wanapmwa na kukutwa hawana Corona licha ya kuwa na joto mwilini maana inaweza ikasababishwa hata na Malaria.
Hadi juzi ni mataifa machache sana Afrika yalikua na uwezo wa kufanya kipimo hicho cha pili,
Rwanda wamegunduaje kwamba wana mgonjwa wa corona kama hawana huo uwezo we mbulula, au walitumia kipimo cha joto, tutoleeni ujinga hapa with your fake news. Juzi moshi wamepimwa watu airport wakagundulika na joto abnormal wakaenda kupimwa mawenzi ikagundulika hawana huo ugonjwa, walitumia nini kugundua hawana huo ugonjwa. Wakenya wengine wajinga sana.Hawa vichaa bila shaka ndio wale ambao walienda shuleni kuiba miwa. Alafu mtu akiwa offline wanaanza kuruka ruka utadhani kuna mkataba ambao nilitia saini ndio nilazimike kukesha hapa Jf 24/7. Nilitegemea wanipe jibu simpo kama hivi; Kenya now in position to test for COVID-19 Hiyo ni taarifa kuhusu Kenya ilipomaliza rasmi shughuli ya ku'set up' kits kwenye lab mbili za shirika la kiserikali la risechi, KEMRI(Kenya Medical Research Institute). Hii nayo ilikuwa ni update(Feb13) kutoka kwa W.H.O-AFRO 'regional office' ya W.H.O hapa Afrika. Hizi ndio nchi ambazo zilipata kits na lab za kupima COVID-19, baada ya nchi za kwanza za hapo awali, Senegal na S.Africa.
We nae fara tu, pita hiviTuachane na mjadala wa IQ, coz hiyo ipo wazi.
Turudi kwenye mada, yani Unauliza mkenya list ili uone kama serekali yako ilipata mgao wa kit itakayoisaidia kuhakikisha afya yako?! C'mon!! Huoni tatizo hapo? Rejea sentensi ya kwanza.
Alafu kit inakua procured, sio kupewa.
Wai, wana akili fupi kama soli ya kiatu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Meno yameondoka na akili
Eti anasema hapo hawapimwi Corona
Sasa utajuaje mtu Ana Corona bila kujua joto lake LA mwili ambayo ndio symptom number moja then ukishajua ipo juu ndio unamuweka pembeni kwa diagnosis zaidi
Haya mazombi tabu sana
Ugonjwa wa Corona nguvu kubwa huwekwa katika kukinga sio kutibu, kinga hufanywa kwa "Screening not testing". Mtu yeyote mwenye dalili lazima atengwe bila kujali kwamba amepimwa au hapana.Tungefanyia research.
Sijui wewe ila kwangu mimi swala la afya na maisha ya mTanzania nachukulia serious sana. Hili ni eneo moja naamini huwezi ukazidisha utayari. Kutumia hata billioni moja kununua mashine ya kupima alafu ugonjwa ukaisha sioni kama ni issue coz sio guarantee hautarudi kama small pox. Tunapoteza hela nyingi kwa vitu visivyo vya msingi kwaiyo kwenye kulinda afya na maisha ya mTanzania mmoja is worth all the money we can throw at it.
Kwa iyo umekiri kwamba kupima joto ndio initial stage ya kipimo, sasa huwezi kujiona venye ubongo wako umejaa mavi. Ulivyokuwa unasema tuna IQ ndogo sababu tumeweka vipima joto airports, au ulitaka airports kuwe na vipimo vyote.
Zero brain kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuachane na mjadala wa IQ, coz hiyo ipo wazi.
Turudi kwenye mada, yani Unauliza mkenya list ili uone kama serekali yako ilipata mgao wa kit itakayoisaidia kuhakikisha afya yako?! C'mon!! Huoni tatizo hapo? Rejea sentensi ya kwanza.
Alafu kit inakua procured, sio kupewa.
Ukiishiwa hoja sio hatia kunyamaza. Rejea sentesi ya kwanza
Kama nilivyosema, kulinda maisha ya mTanzania mmoja is worth all the money we can throw at it. Ukiongelea "kuacha" umetoka nayo wapi?Ugonjwa wa Corona nguvu kubwa huwekwa katika kukinga sio kutibu, kinga hufanywa kwa "Screening not testing". Mtu yeyote mwenye dalili lazima atengwe bila kujali kwamba amepimwa au hapana.
Kaka wacha kupingana na wataalamu wa WHO, wao ndio wameshauri hivyo baada ya kufanya tafiti, sio kufanya vile wapendavyo. Hivi unajisikiaje kama nchi itatumia 1B, kununua vifaa ambavyo havitumiki au havitotumika kabisa na kuacha kununua chanjo zitakazoweza kuwakinga watoto milioni moja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ashakum si matusi ila wewe jamaa ni mpumbavu kupitiliza. Rudi shuleni tafadhali tunazungumzia testing na confirmation ya samples kwenye lab sio kupimwa joto ya mwili. Kenya tulikuwa tunatuma sample S.A. kabla ya kupata kits. Labda kwa sasa Rwanda wana uwezo pia. Ila hiyo ramani, ambayo wewe unasema ni fake news, ya nchi ambazo zina COVID-19 'testing capacity' ilikuwa ni update ya Feb. kutoka kwa W.H.O-AFRO(African Regional Office).Rwanda wamegunduaje kwamba wana mgonjwa wa corona kama hawana huo, au walitumia kipimo cha joto, tutoleeni ujinga hapa with your fake news. Juzi moshi wamepimwa watu airport wakagundulika na joto abnormal wakaenda ikagundulika hawana huo ugonjwa, walitumia nini kugundua hawana huo ugonjwa. Wakenya wengine wajinga sana.
Sio kweli unavyosema, testing hufanywa kwa mtu mwenye kuonyesha dalili pekee, kama hana dalili hafanyiwi testing, anachofanyiwa ni kuwekwa chini ya karantini kwa siku 14 kama ataonyesha dalili, na katika kipindi hicho cha karantini, haruhusiwi kuchanganyika na watu, hivyo sio sawa ukisema kwamba mtu ambaye hahapimwa anahatarisha watu wengine.Kama nilivyosema, kulinda maisha ya mTanzania mmoja is worth all the money we can throw at it. Ukiongelea "kuacha" umetoka nayo wapi?
hivi vitu ni mutually exclusive sio inclusive.
Sijakataa screening sio muhimu, ni muhimu sana ila hatua ya pili ya kupima pia ni muhimu Ukiiangalia kwa mapana yake. Usipompima unahatarisha wengine ambao huenda wakawa na joto ila hawana corona ukizingatia ni zoezi endelevu na quarantine pia ina cost zake pia