Rwanda yawa nchi ya pili kukumbwa na Corona Afrika mashariki

Rwanda yawa nchi ya pili kukumbwa na Corona Afrika mashariki

Ni vigumu sana kuzitoa Rwanda na Burundi ktk EAC hizo chi mbili ziko mbavuni mwetu ni kama sehemu ya mike yetu ya kanda yetu ya magharibi..
Ethiopia inanipa taabu sana kuitaja kama ni nchi ya Afrika Mashariki, kiukweli kabisa, Rwanda sio Afrika mashariki(Geographically).
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tofauti kubwa kati ya muungano wa nchi za Afrika mashariki(EAC) na Afrika Mashariki(A.M).
East_Africa_regions_map.png
 
Kuna tofauti kubwa kati ya muungano wa nchi za Afrika mashariki(EAC) na Afrika Mashariki(A.M).
East_Africa_regions_map.png
Ethiopia, Somalia and Djibouti have traditionally been considered to be located in the horn of Africa...
 
Ethiopia, Somalia and Djibouti have traditionally been considered to be located in the horn of Africa...
Kina Comoros na Madagascar are in East Africa in fact there are 18 countries in the Region.
 
Tanzania kuna kits na lab za kupima uwepo wa virusi vya COVID-19 kwenye sampuli zinazoshukiwa kuwa na virusi hivyo vya Corona? Au ni usanii tu wa kuosha mikono kwa maji yanayotiririka na kusalimiana kwa kunyanyua mguu mmoja?
Duh, unaichulia Tz kiuwepesi sana. Ati una question kama Tz ina kits and lab za kupimia corona au ni usanii wa kuosha mikono, the audacity you have, u must be high kwa kwa miraa. Are u serious au you're joking

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania kuna kits na lab za kupima uwepo wa virusi vya COVID-19 kwenye sampuli zinazoshukiwa kuwa na virusi hivyo vya Corona? Au ni usanii tu wa kuosha mikono kwa maji yanayotiririka na kusalimiana kwa kunyanyua mguu mmoja?
Very cheap argument.
 
Nchi kuweza tu kupandikiza au kubadilisha figo, ujuwe Kuna lab ya kuweza kugudua vitu kibao sana. Tanzania Kuna lab nzuri sana
Tanzania kuna kits na lab za kupima uwepo wa virusi vya COVID-19 kwenye sampuli zinazoshukiwa kuwa na virusi hivyo vya Corona? Au ni usanii tu wa kuosha mikono kwa maji yanayotiririka na kusalimiana kwa kunyanyua mguu mmoja?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi kuweza tu kupandikiza au kubadilisha figo, ujuwe Kuna lab ya kuweza kugudua vitu kibao sana. Tanzania Kuna lab nzuri sana
Very cheap argument.
Nimeuliza swali rahisi, ila hakuna aliyenipa jibu kamili, naona mmepandwa na mafeelings tu. Ingekuwa ni mimi nimeulizwa kuhusu Kenya ningejibu kwa facts. Corona ilipoanza kutaja tajwa hapa Africa kulikuwa na nchi mbili ambazo zilikuwa na uwezo wa kupima uwepo wa virusi hivyo kwenye sampuli, Senegal na S.Africa. Baadaye mapema mwezi Machi nchi zingine kumi za Afrika zikapata kits na lab, Kenya ikiwemo, Tz haikuwa. Baada ya hapo sijapata taarifa zingine kuhusu suala hilo.
Duh, unaichulia Tz kiuwepesi sana. Ati una question kama Tz ina kits and lab za kupimia corona au ni usanii wa kuosha mikono, the audacity you have, u must be high kwa kwa miraa. Are u serious au you're joking
 
Nimeuliza swali rahisi, ila hakuna aliyenipa jibu kamili, naona mmepandwa na mafeelings tu. Ingekuwa ni mimi nimeulizwa kuhusu Kenya ningejibu kwa facts. Corona ilipoanza kutaja tajwa hapa Africa kulikuwa na nchi mbili ambazo zilikuwa na uwezo wa kupima uwepo wa virusi hivyo kwenye sampuli, Senegal na S.Africa. Baadaye mapema mwezi Machi nchi zingine kumi za Afrika zikapata kits na lab, Kenya ikiwemo, Tz haikuwa. Baada ya hapo sijapata taarifa zingine kuhusu suala hilo.
Listi yenyewe ipo wap
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Back
Top Bottom