google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comoros yah.. Ila Madagascar sikujua.Nadhani Eastern Africa ni pana zaidi na ndio inajumuisha hadi nchi za Comoros na Madagascar.
Vipi Msumbiji?......and the Horn of Africa is located in East Africa. Same as the Great Lakes Region.
Fanya leta lists ya hizo nchi nyingine kumi zilofuata baada ya senegal na SANimeuliza swali rahisi, ila hakuna aliyenipa jibu kamili, naona mmepandwa na mafeelings tu. Ingekuwa ni mimi nimeulizwa kuhusu Kenya ningejibu kwa facts. Corona ilipoanza kutaja tajwa hapa Africa kulikuwa na nchi mbili ambazo zilikuwa na uwezo wa kupima uwepo wa virusi hivyo kwenye sampuli, Senegal na S.Africa. Baadaye mapema mwezi Machi nchi zingine kumi za Afrika zikapata kits na lab, Kenya ikiwemo, Tz haikuwa. Baada ya hapo sijapata taarifa zingine kuhusu suala hilo.
Msumbiji ni nchi Mbili time will tell lazima itakuja kupasuka tu ni kama kenya
aitoe wapi hiyo list?Fanya leta lists ya hizo nchi nyingine kumi zilofuata baada ya senegal na SA
Sent using Jamii Forums mobile app
aitoe wapi hiyo list?
Limeropokwa tu kwa mihemko ya arrogance ya kikenya, sababu huo ulemavu wanao kwenye damu, laiti wakenya wangekua na resources za maana wangetusumbua sana 😂😂😂
Atuambie hivi vinapima tezi dume au?
Kuna mwingine amesema kwamba wana lab nzuri sana kwasababu wana uwezo wa kupandikiza na sijui kubadilisha figo. Hadi nikakosa jibu na nikaamua kupuuza tu.Watanzania elimu yenu imewaathiri sana mpaka mnakaa kama mazombi fulani hivi, kujadili na nyie mada yoyote inabidi mtu awe mvumilivu sana, you're very thick with low IQ.
Wewe hapa unaleta vipimo vya joto ambavyo kila nchi inavyo, hivi havisaidii chochote maana mtu aliyesheheni Corona ambayo haijakolea hagunduliki na hivi vipimo kwenye viwanja vya ndege, ndio maana mataifa mengi yameingia kwenye "lockdown", hakuna kuingia au kutoka.
Mfano Marekani amefunga haruhusu raia wa bara Uropa au hata Uingereza kuingia kwake, maana vipimo vya uwanja wa ndege sio vya kutegemewa.
Kinachozungumzwa kuhusu humu ni uwezo wa kumpima mshukiwa na kubaini kama kweli anayo Corona. Kumbuka vipimo hivi vya uwanja wa ndege vinapima joto, na kuna aina nyingi ya maradhi yanayoweza kusababisha kiwango cha joto kupanda.
Kuna mwingine amesema kwamba wana lab nzuri sana kwasababu wana uwezo wa kupandikiza na sijui kubadilisha figo. Hadi nikakosa jibu na nikaamua kupuuza tu.
Low IQ kweli na umepewa Map/Ramani and all you have to do is look and stop asking rhetorical questions.
Vile Tz ni mbili ukiongeza Zanzibar?Msumbiji ni nchi Mbili time will tell lazima itakuja kupasuka tu ni kama kenya
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Sasa wewe unojikuta una iq kubwa kumbe ndio the lowest, tuambie airports zenu mmezifunga au Hamjazifunga, mmeinstall nini kugundua mgonjwa wa corona. Maana kupima joto ni kipimo kimojawapo cha kugundua corona.Watanzania elimu yenu imewaathiri sana mpaka mnakaa kama mazombi fulani hivi, kujadili na nyie mada yoyote inabidi mtu awe mvumilivu sana, you're very thick with low IQ.
Wewe hapa unaleta vipimo vya joto ambavyo kila nchi inavyo, hivi havisaidii chochote maana mtu aliyesheheni Corona ambayo haijakolea hagunduliki na hivi vipimo kwenye viwanja vya ndege, ndio maana mataifa mengi yameingia kwenye "lockdown", hakuna kuingia au kutoka.
Mfano Marekani amefunga haruhusu raia wa bara Uropa au hata Uingereza kuingia kwake, maana vipimo vya uwanja wa ndege sio vya kutegemewa.
Kinachozungumzwa kuhusu humu ni uwezo wa kumpima mshukiwa na kubaini kama kweli anayo Corona. Kumbuka vipimo hivi vya uwanja wa ndege vinapima joto, na kuna aina nyingi ya maradhi yanayoweza kusababisha kiwango cha joto kupanda.
Wewe jiulize Marekani pamoja na jeuri yake ya teknolojia alizo nazo kaamua kufunga, nyie na njaa zenu hapo mnaona mumejilinda sana kwa kupima joto, mnasahau kuna mtu akiambukizwa Corona, inapita wiki kabla joto kumpanda au kuhisi chochote, atapita hivyo vipimo vyenu na kutinga uswahilini na kuendeleza maambukizi.
Kugundua korona sio uzuri wa lab, bali ni uwepo wa kit ya kugundua korona (kuwa na jiko zuri la kisasa haimaanishi unaweza ukapika chai kama huna majani chai)Nchi kuweza tu kupandikiza au kubadilisha figo, ujuwe Kuna lab ya kuweza kugudua vitu kibao sana. Tanzania Kuna lab nzuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Swali halina tatizo. Kits za kupima korona hazitengenezwi nnchini na hatujapata taarifa kama zimefika ukizingatia upande wa serekali PR section inafanya kazi vizuri sana hii awamu ya 5.Duh, unaichulia Tz kiuwepesi sana. Ati una question kama Tz ina kits and lab za kupimia corona au ni usanii wa kuosha mikono, the audacity you have, u must be high kwa kwa miraa. Are u serious au you're joking
Sent using Jamii Forums mobile app
Listi yenyewe ipo wap
Sio kila kitu ni ligi, swali alouliza huyu jamaa ni la msingi sana. Tunatakiwa kujihoji kama tupo tayari kupambana na hivi virusi vikiingia nnchini na hatua mojawapo ni uwezo wa kupima. Sasa nyie mnataka List ili iwasaidie nini?Fanya leta lists ya hizo nchi nyingine kumi zilofuata baada ya senegal na SA
Sent using Jamii Forums mobile app
aitoe wapi hiyo list?
Limeropokwa tu kwa mihemko ya arrogance ya kikenya, sababu huo ulemavu wanao kwenye damu, laiti wakenya wangekua na resources za maana wangetusumbua sana 😂😂😂
Atuambie hivi vinapima tezi dume au?
Wewe mla miraa leta list ya hizo nchi, ulisema walianza senegal na SA, zikafuata zingine kumi, Kenya ikiwapo, Tz haikuwepo, bring that source, do not sway.Kuna mwingine amesema kwamba wana lab nzuri sana kwasababu wana uwezo wa kupandikiza na sijui kubadilisha figo. Hadi nikakosa jibu na nikaamua kupuuza tu.
Wewe utakuwa wa mwisho kuipuuza Tz.Wako very slow kwenye kuelewa au kufahamu chochote, walimu wao hupata tabu sana. Ujamaa uliwalemaza kwenye uwezo wa kushughulisha akili na kufikiri. Yaani mimi huwa nawapuuza sana, japo mara moja moja huwa nalazimika kujibu nikiona mtu kaandika ukoko kabisa kwenye suala muhimu kama hili la Corona, maana ataishia kupotosha maelfu ya wanaosoma kinachoandikwa humu.
Mipaka ya mkoloni burudani kweli.Jigsaw puzzle tosha.Kuna tofauti kubwa kati ya muungano wa nchi za Afrika mashariki(EAC) na Afrika Mashariki(A.M).![]()
Huyo ndezi nishamsomaga kitambo kidogo kwenye uzi wa miraa, akijipiga kifua ni mtumiaji mzuri, basi mm nikafikia hitimisho, huyo atakuwa hana meno, kama anayo akichapwa kibao kimoja yanang'oka. [emoji23]aitoe wapi hiyo list?
Limeropokwa tu kwa mihemko ya arrogance ya kikenya, sababu huo ulemavu wanao kwenye damu, laiti wakenya wangekua na resources za maana wangetusumbua sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Atuambie hivi vinapima tezi dume au?
List itusaidie nini? si isaidie kuconfirm kama hatujapewa hizo kits, whats the matter kuulizia hiyo list, au unataka tumwamini yeye tu afu tufunge mjadala, pasipo kusoma from a credible source. Kama mm iq yangu ni size ya kiatu, wewe huna kabisa IQKugundua korona sio uzuri wa lab, bali ni uwepo wa kit ya kugundua korona (kuwa na jiko zuri la kisasa haimaanishi unaweza ukapika chai kama huna majani chai)
Mbona Swali halina tatizo. Kits za kupima korona hazitengenezwi nnchini na hatujapata taarifa kama zimefika ukizingatia upande wa serekali PR section inafanya kazi vizuri sana hii awamu ya 5.
Sio kila kitu ni ligi, swali alouliza huyu jamaa ni la msingi sana. Tunatakiwa kujihoji kama tupo tayari kupambana na hivi virusi vikiingia nnchini na hatua mojawapo ni uwezo wa kupima. Sasa nyie mnataka List ili iwasaidie nini?
Wewe IQ yako ni size ya kiatu!
Tweet yenyewe imesema mashine zinapima joto la mwili wakati kinachoongelewa ni kupima virusi vya korona.
Sasa wewe unojikuta una iq kubwa kumbe ndio the lowest, tuambie airports zenu mmezifunga au Hamjazifunga, mmeinstall nini kugundua mgonjwa wa corona. Maana kupima joto ni kipimo kimojawapo cha kugundua corona.
Iq, tena wakenya ndio mna iq ndogo sana, mnavyopenda kubaka wanyama, watoto na mama zenu, lazima hiyo iq yenu haipo sawa somewhere, tribalism, lack of food, uchafu uchafu, you cant even cook. That shit is low iq.
Sent using Jamii Forums mobile app