Rwanda yawa nchi ya pili kukumbwa na Corona Afrika mashariki

Rwanda yawa nchi ya pili kukumbwa na Corona Afrika mashariki

Hawa vichaa bila shaka ndio wale ambao walienda shuleni kuiba miwa. Alafu mtu akiwa offline wanaanza kuruka ruka utadhani kuna mkataba ambao nilitia saini ndio nilazimike kukesha hapa Jf 24/7. Nilitegemea wanipe jibu simpo kama hivi; Kenya now in position to test for COVID-19 Hiyo ni taarifa kuhusu Kenya ilipomaliza rasmi shughuli ya ku'set up' kits kwenye lab mbili za shirika la kiserikali la risechi, KEMRI(Kenya Medical Research Institute). Hii nayo ilikuwa ni update(Feb13) kutoka kwa W.H.O-AFRO 'regional office' ya W.H.O hapa Afrika. Hizi ndio nchi ambazo zilipata kits na lab za kupima COVID-19, baada ya nchi za kwanza za hapo awali, Senegal na S.Africa.
EQrDk25WAAEaUyd.png
DRC,Rwanda Garbon walijuaje case za CoronaVirus?
 
Hiyo list ya hizo nchi kumi zilizopata msaada wa kits mbona hamzileti????..
Au mlitaka kutuokota hapa..aisee mkenya ni kilaza sana ila usipowajua unaweza ukadhani ni watu flani makini kweli
Haikuwa misaada, ila hata orodha yenyewe haitapunguza pumba zenu. Mbona hamtoi taarifa zozote kutoka GoT, mpo gizani kabisa au ndio kunaendaje? Ndio hizi taarifa zenyewe na ramani kutoka kwa W.H.O. Update hii ilikuwa ya FEBRUARY 13.
 
Wewe ubongo wako uliojawa makamasi na uharo mbona imekuchukua masaa yote kuelewa chochote ninachkisema, nimesema na narudia tena, rudi kwa hao wanakutafsiria kwamba kipimo cha joto hakitoshi, sio cha kuja kutambia watu hapa maana Corona huchukua muda sana kabla kuongeza joto kwa mwili, hivyo anaweza akapita mtu mwenye Corona bila kugundulika, halafu eti wewe ndiye tegemezi wa taifa lako kama great thinker wakati ubongo umejaa shahawa na kila aina ya maggots.
Wewe ni mtu mzima usiejielewa alafu ni mpumbavu.
Sasa uwanja wa ndege kuna installments gani zingine za kupimia corona apart from kupima joto la watu kwanza.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mtu mzima usiejielewa alafu ni mpumbavu.
Sasa uwanja wa ndege kuna installments gani zingine za kupimia corona apart from kupima joto la watu kwanza.



Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe mjinga bado unahangaika hujanielewa mpaka sasa, tulizungumza kuhusu uwezo wa kupima Corona kwenye maabara kisha mlivyo wapumbavu mkaanza kutuletea mapicha ya kupima joto kwenye uwanja wa ndege eti ndio uwezo wenu huo. Upimaji wa joto kitu cha kawaida sana na hufanywa mara nyingi hata mipakani.
Corona ina vipimo vyake maalum, kupima joto ni kwa mtu ambaye itakua imepitiliza na kumuongeza joto. Kuna hata mataifa yameacha kupima joto na yakafunga viwanja vyake vya ndege, hakuna kuingia au kutoka.
IQ zenu hovyoo sana....
 
Ashakum si matusi ila wewe jamaa ni mpumbavu kupitiliza. Rudi shuleni tafadhali tunazungumzia testing na confirmation ya samples kwenye lab sio kupimwa joto ya mwili. Kenya tulikuwa tunatuma sample S.A. kabla ya kupata kits. Labda kwa sasa Rwanda wana uwezo pia. Ila hiyo ramani, ambayo wewe unasema ni fake news, ya nchi ambazo zina COVID-19 'testing capacity' ilikuwa ni update ya Feb. kutoka kwa W.H.O-AFRO(African Regional Office). Ulitumia nguvu nyingi, matusi na umbea wa kibraza du kuitisha taarifa hiyo alafu baada ya kuzipata sasa unasema kwamba hazifai.
Kwa iyo unataka kuniambia Rwanda walipeleka samples SA au Kenya.
Haya umeshinda fara ww.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mjinga bado unahangaika hujanielewa mpaka sasa, tulizungumza kuhusu uwezo wa kupima Corona kwenye maabara kisha mlivyo wapumbavu mkaanza kutuletea mapicha ya kupima joto kwenye uwanja wa ndege eti ndio uwezo wenu huo. Upimaji wa joto kitu cha kawaida sana na hufanywa mara nyingi hata mipakani.
Corona ina vipimo vyake maalum, kupima joto ni kwa mtu ambaye itakua imepitiliza na kumuongeza joto. Kuna hata mataifa yameacha kupima joto na yakafunga viwanja vyake vya ndege, hakuna kuingia au kutoka.
IQ zenu hovyoo sana....
Mtu ambaye bado hajaonyesha dalili zozote za Corona, hata laboratory test hii inayotumika sasa hivi pia sio rahisi kugundua kama ameambukizwa, kwasababu hicho kipimo hakipimi virusi (Viral load), bali kinapima kuwepo kwa kinga ya mwili dhidi ya virusi vya Corona(antibodies). Mtu aliyeambukizwa inachukua muda ili hizo antibodies ziweze kutenfenezwa mwilini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mjinga bado unahangaika hujanielewa mpaka sasa, tulizungumza kuhusu uwezo wa kupima Corona kwenye maabara kisha mlivyo wapumbavu mkaanza kutuletea mapicha ya kupima joto kwenye uwanja wa ndege eti ndio uwezo wenu huo. Upimaji wa joto kitu cha kawaida sana na hufanywa mara nyingi hata mipakani.
Corona ina vipimo vyake maalum, kupima joto ni kwa mtu ambaye itakua imepitiliza na kumuongeza joto. Kuna hata mataifa yameacha kupima joto na yakafunga viwanja vyake vya ndege, hakuna kuingia au kutoka.
IQ zenu hovyoo sana....
Nishakwambiaga we ni mtu mzima hovyo, una low iq. I was answering pingli inye who was questioning if the United Republic of Tanzania have any equipment used for detecting corona or we're just washing hands and acting. I repeat, washing hands and acting, he presumed we do not even check temperatures as an initial check up.
Ndio nikamjibu hivyo, ww unatoka huko unaingilia thread usiyoielewa afu unaunga mkono low iq thoughts, that we're acting abt corona and we're only washing hands to fight it. I swear, you're so low IQed, most of y'all Kenyans are so low IQed, you didnt even know what started the feud


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nishakwambiaga we ni mtu mzima hovyo, una low iq. I was answering pingli inye who was questioning if the United Republic of Tanzania have any equipment used for detecting corona or we're just washing hands and acting. I repeat, washing hands and acting, he presumed we do not even check temperatures as an initial check up.
Ndio nikamjibu hivyo, ww unatoka huko unaingilia thread usiyoielewa afu unaunga mkono low iq thoughts, that we're acting abt corona and we're only washing hands to fight it. I swear, you're so low IQed, most of y'all Kenyans are so low IQed, you didnt even know what started the feud


Sent using Jamii Forums mobile app

Pingliwe aliuliza swali la msingi sana maana lilitokana na taarifa za juzi kati kwamba mataifa machache tu ndio yenye uwezo wa kupima virusi vya Corona, ulivyo mjinga wewe na yule mpumbavu mwenzako mkaanza kutupia picha za kupima kiwango cha joto kwenye uwanja wa ndege, ambacho ni kitu kimekua kikifanywa kwenye mataifa yote duniani.

Hawa hapa mumekua chni mkiwapokea kwa kupima joto na imekua kawaida kote duniani, ila swali la msingi ni je kwenye maabara mumepata reagents za Corona, hadi juzi mataifa sita tu ndio yalikua na uwezo huo, na WHO wamefanya jithada za ziada kuongeza mataifa zaidi.

2-17.jpg
 
Una mtazamo finyu sana
Joto la mwili kupanda linaweza kusababishwa na magonjwa mengi sio corona tu. Hata kipindi cha ebola kama ulisafiri nje ya nnchi walitumia hiyo hiyo thermometr gun.
Unavyosema " huwezi kujua Corona bila joto la mwili" unamaanisha nini? Hiyo scan ni very preliminary. Walivyo mpima Trump, Rais wa Marekani kwanini hawakutumia hiyo thermometer gun kama lazima kujua joto la mwili?
Soma tweet vizuri acha kukurupuka hovyo, who's trump by the way?

Tweet inasema wamefunga aina mbili za vipimo, aina ya kwanza ni vile vinavyompima mtu bila yeye kujua na nyingine ndio hiyo thermometer gun, kipi huelewi?

Of course yes those are preliminary diagnosis but effective, ulitaka abiria wote wakitoka airports na mipakani wakimbizwe muhimbili kwa vipimo vikubwa?

Acha uzwazwa wewe ni famba halafu unajiona mjanja 😂😂😂😂
 
Pingliwe aliuliza swali la msingi sana maana lilitokana na taarifa za juzi kati kwamba mataifa machache tu ndio yenye uwezo wa kupima virusi vya Corona, ulivyo mjinga wewe na yule mpumbavu mwenzako mkaanza kutupia picha za kupima kiwango cha joto kwenye uwanja wa ndege, ambacho ni kitu kimekua kikifanywa kwenye mataifa yote duniani.

Hawa hapa mumekua chni mkiwapokea kwa kupima joto na imekua kawaida kote duniani, ila swali la msingi ni je kwenye maabara mumepata reagents za Corona, hadi juzi mataifa sita tu ndio yalikua na uwezo huo, na WHO wamefanya jithada za ziada kuongeza mataifa zaidi.

2-17.jpg
LOL imetoka vipimo as toys mpaka reagents 😂😂😂😂😂😂😂

Na bado
 
Akili za kizombi hizi bora hata za maiti, ni aibu na fedheha kubwa kama kuna mtu hutegemea ubongo wako wewe, kuna vipimo mara mbili
- Vya kupima joto, ambavyo hupima hata mtu wa Ebola, hivi havisemi kama una Corona au Ebola au Malaria, ila vinapima kama kiwango cha joto kipo juu,ulivyotuletea mapicha yake. Ikibainika kiwango cha joto kipo juu ndio inabidi utengwe na kupelekwa kwenye kipimo cha pili.

- Kipimo cha pili ndio kinatumia kitu tunaita "Corona test reagent", ikibainika kiwango chako cha joto kiko juu, unaletwa kwenye maabara maalumu na kutengwa humo "quarantine" unapimwa Corona kabisa. Kunao wanapmwa na kukutwa hawana Corona licha ya kuwa na joto mwilini maana inaweza ikasababishwa hata na Malaria.

Hadi juzi ni mataifa machache sana Afrika yalikua na uwezo wa kufanya kipimo hicho cha pili,
LOL wewe kweli mmiliki wa akili ya maiti

Mgonjwa wa Corona haitaji hayo mashudu yote uliyotema hapo ili kuprove kwamba ana Corona, mbona hii epidemic symptoms zake zipo wazi sana na kutokana ulivyo na kasi kubwa ya kushambulia kinga za mwili unabainika kiurahisi kuliko unavyotaka tuamini

Kubwa jinga wewe. 😂😂😂😂😂
 
Ashakum si matusi ila wewe jamaa ni mpumbavu kupitiliza. Rudi shuleni tafadhali tunazungumzia testing na confirmation ya samples kwenye lab sio kupimwa joto ya mwili. Kenya tulikuwa tunatuma sample S.A. kabla ya kupata kits. Labda kwa sasa Rwanda wana uwezo pia. Ila hiyo ramani, ambayo wewe unasema ni fake news, ya nchi ambazo zina COVID-19 'testing capacity' ilikuwa ni update ya Feb. kutoka kwa W.H.O-AFRO(African Regional Office). Ulitumia nguvu nyingi, matusi na umbea wa kibraza du kuitisha taarifa hiyo alafu baada ya kuzipata sasa unasema kwamba hazifai.

LOL 😂😂😂😂😂😂

Mpuuzi sana wewe
Testing new virus labs ndio Corona test kits?

Mambo mengine sio lazima uongelee kama akili yako ni finyu kupita upeo wa issue husika.
 
Haikuwa misaada, ila hata orodha yenyewe haitapunguza pumba zenu. Mbona hamtoi taarifa zozote kutoka GoT, mpo gizani kabisa au ndio kunaendaje? Ndio hizi taarifa zenyewe na ramani kutoka kwa W.H.O. Update hii ilikuwa ya FEBRUARY 13.

LOL taarifa ya Tanzania ipo straightforward, Tanzania haina Corona period


Una lingine?
 
Kama mliweza kuacha wale wachina nyege nzima ikaingia mtaani halafu mkaanza kuwasaka mtaani basi yatosha Kenya, Kenyans ni Nyumbu tupu.
Watanzania elimu yenu imewaathiri sana mpaka mnakaa kama mazombi fulani hivi, kujadili na nyie mada yoyote inabidi mtu awe mvumilivu sana, you're very thick with low IQ.
Wewe hapa unaleta vipimo vya joto ambavyo kila nchi inavyo, hivi havisaidii chochote maana mtu aliyesheheni Corona ambayo haijakolea hagunduliki na hivi vipimo kwenye viwanja vya ndege, ndio maana mataifa mengi yameingia kwenye "lockdown", hakuna kuingia au kutoka.
Mfano Marekani amefunga haruhusu raia wa bara Uropa au hata Uingereza kuingia kwake, maana vipimo vya uwanja wa ndege sio vya kutegemewa.
Kinachozungumzwa kuhusu humu ni uwezo wa kumpima mshukiwa na kubaini kama kweli anayo Corona. Kumbuka vipimo hivi vya uwanja wa ndege vinapima joto, na kuna aina nyingi ya maradhi yanayoweza kusababisha kiwango cha joto kupanda.
Wewe jiulize Marekani pamoja na jeuri yake ya teknolojia alizo nazo kaamua kufunga, nyie na njaa zenu hapo mnaona mumejilinda sana kwa kupima joto, mnasahau kuna mtu akiambukizwa Corona, inapita wiki kabla joto kumpanda au kuhisi chochote, atapita hivyo vipimo vyenu na kutinga uswahilini na kuendeleza maambukizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Oii
LOL wewe kweli mmiliki wa akili ya maiti

Mgonjwa wa Corona haitaji hayo mashudu yote uliyotema hapo ili kuprove kwamba ana Corona, mbona hii epidemic symptoms zake zipo wazi sana na kutokana ulivyo na kasi kubwa ya kushambulia kinga za mwili unabainika kiurahisi kuliko unavyotaka tuamini

Kubwa jinga wewe. 😂😂😂😂😂

Huyo anayekutafsiria naona hafanyi kazi ya maana, ubongo wako bado umejawa shahawa, Corona kabla kupandisha joto inaweza ikachukua hata wiki, hivyo kukenua meno kwenye uwanja wa ndege na hizo toys za kupima joto na kutegemea eti ndio umejilinda ni ujinga uliokubuhu.
Kuna mataifa yamefunga kabisa, hamna vya kupima joto wala nini, haruhusiwi mtu kuingia au kutoka, hususan mataifa ambayo hayajapata kesi yoyote, maana hawa hapa mnaowapokea wanapita wakitabasamu na hizo toys zenu hazitagundua kama ikitokea kaambukizwa jana au juzi....

2-17.jpg
 
Soma tweet vizuri acha kukurupuka hovyo, who's trump by the way?

Tweet inasema wamefunga aina mbili za vipimo, aina ya kwanza ni vile vinavyompima mtu bila yeye kujua na nyingine ndio hiyo thermometer gun, kipi huelewi?

Of course yes those are preliminary diagnosis but effective, ulitaka abiria wote wakitoka airports na mipakani wakimbizwe muhimbili kwa vipimo vikubwa?

Acha uzwazwa wewe ni famba halafu unajiona mjanja 😂😂😂😂
Effective?! You sound mentally retarded ukuzingatia taarifa zilizopo duniani saivi.
Kwanza Rudi nyuma ujue haswa nini mjadala naona umeanzinsha mwingine. Trump ni POTUS na ndo mtu aliepimwa ninaemfaham kwa jina. (Specificity)
 
Mimi nadhani sio muhimu sana kukimbilia kupima virusi vya Corona, muhimu ni kuzuia kuenea kwa virusi, pamoja na kwamba nchi za Ulaya na Marekani vinazo hizo maabara zenye uwezo wa kugundua Corona, lakini bado zimepiga marufuku watu kusafiri na kuingia katika nchi zao. Ni jambo la kushangaza kuona watu wazima wanajisifia kuwepo kwa maabara za kupima Corona wakati nchi hiyo imeshapatwa na Corona, wakati hiyo nchi ambayo unaishupalia, hadi sasa imefanikiwa kuzuia maambukizi kuingia nchini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Soma tena umuelewe huyo jamaa, umeshindwa kumwelewa u akurupuka kwa mihemko,
Low IQ.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nini hapo cha kudadavua? Sihitaji any IQ kuelewa alichokisema na nikajibu bila "kugusa" IQ yangu
 
Pingliwe aliuliza swali la msingi sana maana lilitokana na taarifa za juzi kati kwamba mataifa machache tu ndio yenye uwezo wa kupima virusi vya Corona, ulivyo mjinga wewe na yule mpumbavu mwenzako mkaanza kutupia picha za kupima kiwango cha joto kwenye uwanja wa ndege, ambacho ni kitu kimekua kikifanywa kwenye mataifa yote duniani.

Hawa hapa mumekua chni mkiwapokea kwa kupima joto na imekua kawaida kote duniani, ila swali la msingi ni je kwenye maabara mumepata reagents za Corona, hadi juzi mataifa sita tu ndio yalikua na uwezo huo, na WHO wamefanya jithada za ziada kuongeza mataifa zaidi.

2-17.jpg
Low iq bonobo, mm sijatuma picha yoyote.
Na alietuma picture na niliyojibu mimi yamesababishwa na post #7, by pingli inye. Huandikwaga juu ya each comment, yours is #89. So we came bcoz of that comment, nenda kasome hiyo post, ipo 1st page. Sasa usivyo na akili timamu unaanza niletea pctr za wachina wakija Tz, as if hakuna wachina walokuja kenya aftr corona outbreak. You're so pathetic dumb

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom