Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Pia utawezesha ndege kubeba abiria wengi1. Katika kuhakikisha wanakamata soko la usafirishaji wa Anga. RwandAir, Uganda Airlines na Air Tanzania kuungana ili kupambana na washindani wakuu kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki (Kenya Airways & Ethiopian).
2. Mashirika haya matatu wanaruka destinations nyingi zinafanana barani (JHB, JRO, LOS, NBO, DAR, EBB, KGL, CPT) na Asia (DXB, DOH, PEK, BOM). Kuungana kwao ni kuwaimarisha kibiashara na kupanua wigo wa destinations mpya.
NB: CEO/MD apatikane on merit/ competitive basis bila kujali utaifa wake sio UKADA.
Mzee anastaafu mwakaniSafari hii Museveni atatutia ndani ndege zetu kama Kenyatta
View attachment 3087342
View attachment 3087343
View attachment 3087344
Rais wa kudumuMzee anastaafu mwakani
UKAWA1. Katika kuhakikisha wanakamata soko la usafirishaji wa Anga. RwandAir, Uganda Airlines na Air Tanzania kuungana ili kupambana na washindani wakuu kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki (Kenya Airways & Ethiopian).
2. Mashirika haya matatu wanaruka destinations nyingi zinafanana barani (JHB, JRO, LSK, HRE, NLA, LOS, NBO, DAR, EBB, KGL, CPT) na Asia (DXB, DOH, PEK, BOM). Kuungana kwao ni kuwaimarisha kibiashara na kupanua wigo wa destinations mpya.
NB: CEO/MD apatikane on merit/ competitive basis bila kujali utaifa wake sio UKADA.
Kasema lini na wakati ndio kwanza anasema umri wake ulikosewa na kajipunguzia miaka mitano ili agombee tena?Mzee anastaafu mwakani
Naamini wanafanya kile wanaita code sharing kama wanavyofanya Kenya airways na KLM au Precision Air na Kenya Airways.1. Katika kuhakikisha wanakamata soko la usafirishaji wa Anga. RwandAir, Uganda Airlines na Air Tanzania kuungana ili kupambana na washindani wakuu kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki (Kenya Airways & Ethiopian).
2. Mashirika haya matatu wanaruka destinations nyingi zinafanana barani (JHB, JRO, LSK, HRE, NLA, LOS, NBO, DAR, EBB, KGL, CPT) na Asia (DXB, DOH, PEK, BOM). Kuungana kwao ni kuwaimarisha kibiashara na kupanua wigo wa destinations mpya.
NB: CEO/MD apatikane on merit/ competitive basis bila kujali utaifa wake sio UKADA.
Virema wa miguu wote wanaungana kukimbia mbio za marathoni je wa taweza? Air Tanzania imeshindwa ku-capitalise domestic flight zake soko ni kubwa ndege zipo viwanja vipo ila ni meneno tupu kama tume rogwa internatinal flight ndo ataweza?1. Katika kuhakikisha wanakamata soko la usafirishaji wa Anga. RwandAir, Uganda Airlines na Air Tanzania kuungana ili kupambana na washindani wakuu kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki (Kenya Airways & Ethiopian).
2. Mashirika haya matatu wanaruka destinations nyingi zinafanana barani (JHB, JRO, LSK, HRE, NLA, LOS, NBO, DAR, EBB, KGL, CPT) na Asia (DXB, DOH, PEK, BOM). Kuungana kwao ni kuwaimarisha kibiashara na kupanua wigo wa destinations mpya.
NB: CEO/MD apatikane on merit/ competitive basis bila kujali utaifa wake sio UKADA.
EAC kupambana na EAC! Muungano huu hautadumu kutokana na Tanzania kuwa na viwanja vingi jambo lililojitokeza wakati wa EAC(Kenya, Uganda na Tanzania) kwa nchi Kenya na Uganda kulalamika kwani ndege zilikuwa zikitumia muda mwingi Tanzania.1. Katika kuhakikisha wanakamata soko la usafirishaji wa Anga. RwandAir, Uganda Airlines na Air Tanzania kuungana ili kupambana na washindani wakuu kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki (Kenya Airways & Ethiopian).
2. Mashirika haya matatu wanaruka destinations nyingi zinafanana barani (JHB, JRO, LSK, HRE, NLA, LOS, NBO, DAR, EBB, KGL, CPT) na Asia (DXB, DOH, PEK, BOM). Kuungana kwao ni kuwaimarisha kibiashara na kupanua wigo wa destinations mpya.
NB: CEO/MD apatikane on merit/ competitive basis bila kujali utaifa wake sio UKADA.