Rwanda's GDP equals Nakuru County GDP

Rwanda's GDP equals Nakuru County GDP

Even Forbes lists his net worth at $500m, meaning the other figures you listed above are absolutely right. Uhuru Kenyatta is rich, but he can't reach the levels of the late Daniel Moi and Nicholas Biwott, Naushad Merali, Manu Chandaria and the likes
Izo pesa wametoa wapi? Mmenyonywa hadi basi...mfumo wenu unaruhusu wanasiasa na viongozi kuiba mali za wanyonge ilhali bado mko na kundi kubwa la wakenya masikini!!

Hapa nazungumzia wakenya masikini wanaoishi kwa kuunga unga tu maisha ya kwenye mabati full oven

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu sema hio Mali yenye wameiba, Kenyatta ana makampuni na yanajulikana ,eg brookside,CBA,brookhouse group of schools, Odinga ana kampuni ambazo zimekuepo kabla hajakua hata waziri mkuu, Cha msingi ni kuwa Kuna billionaire wengi sio lazima wajitangaze kwenye Forbes.
Hehehe , kwahiyo Kenya n Mali ya WANASIASA sio, no chance kwa mkenya wa kawaida, case closed

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu sema hio Mali yenye wameiba, Kenyatta ana makampuni na yanajulikana ,eg brookside,CBA,brookhouse group of schools, Odinga ana kampuni ambazo zimekuepo kabla hajakua hata waziri mkuu, Cha msingi ni kuwa Kuna billionaire wengi sio lazima wajitangaze kwenye Forbes.

Sent using Jamii Forums mobile app
Iko
Hizo institutions zinazo fanya valuation za ukwasi wa watu au mtu mmoja mmoja..hua zinahesabu pesa iliyotokana na jasho la mtu

Wanasiasa hua hawahesabiwi pesa iliyotokana na siasa , nyingi au kiasi kikubwa hua n janja janja , wizi wizi ,
Mfano hapo Kenya karibu familia zote za former presidents and prime Ministers ni matajiri haswa , ni matajiri kweli kweli , sijui Sana kuhusu viongoz wenu hasa wabunge na speaker ila ile top pale juu inajulikana , kwanini iwe hivi ??

Na hili liloko huko kwenu , ndio linatokea hapa kwetu , kuna baadhi ya viongoz ilibidi wahojiwe pesa wanapata wapi , Yani miaka mitano tu ofisin tayari mtu ni tajiri balaa

Huko kwenu kwasasa hamtowezaona , and the reason is , watu walioko kwenye mamlaka bado ni familia hizo hizo , siku aje mtu tofaut na hao , aaamue kufukua makaburi ndio mtajua mmepigwa changa macho mda mrefu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunanunua ndege kwa pesa zetu za ndani, Tanzania ni tajiri Sasa watanzania mtembee vifua juu.
Iko
Hizo institutions zinazo fanya valuation za ukwasi wa watu au mtu mmoja mmoja..hua zinahesabu pesa iliyotokana na jasho la mtu

Wanasiasa hua hawahesabiwi pesa iliyotokana na siasa , nyingi au kiasi kikubwa hua n janja janja , wizi wizi ,
Mfano hapo Kenya karibu familia zote za former presidents and prime Ministers ni matajiri haswa , ni matajiri kweli kweli , sijui Sana kuhusu viongoz wenu hasa wabunge na speaker ila ile top pale juu inajulikana , kwanini iwe hivi ??

Na hili liloko huko kwenu , ndio linatokea hapa kwetu , kuna baadhi ya viongoz ilibidi wahojiwe pesa wanapata wapi , Yani miaka mitano tu ofisin tayari mtu ni tajiri balaa

Huko kwenu kwasasa hamtowezaona , and the reason is , watu walioko kwenye mamlaka bado ni familia hizo hizo , siku aje mtu tofaut na hao , aaamue kufukua makaburi ndio mtajua mmepigwa changa macho mda mrefu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
FB_IMG_1582801098597.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utajiri unaotokana na siasa ni WIZI

Sent using Jamii Forums mobile app
So ukiwa mwanasiasa it means you should not have personal ambitions other than politics? I gave you a list of rich people in Kenya who are not into politics (richer than even the politicians themselves) ukatoa tu povu
 
Izo pesa wametoa wapi? Mmenyonywa hadi basi...mfumo wenu unaruhusu wanasiasa na viongozi kuiba mali za wanyonge ilhali bado mko na kundi kubwa la wakenya masikini!!

Hapa nazungumzia wakenya masikini wanaoishi kwa kuunga unga tu maisha ya kwenye mabati full oven

Sent using Jamii Forums mobile app
So just because someone is a politician he/she should not have personal ambitions? Forbes lists Chris kirubi as the second richest Kenyan, yeye ni mwanasiasa?
 
Tunanunua ndege kwa pesa zetu za ndani, Tanzania ni tajiri Sasa watanzania mtembee vifua juu.View attachment 1370471

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hii inahusikaje, by the way I don't support the current regime anyhow.. anything going against em wanastahili, ila hili ni Jambo la miaka ya nyuma 2007 sio leo..

Those pesa za ndani ni propaganda tu , deni taifa limepanda kwa Zaid ya trillion 20 ndani ya miaka hii minne tu , within five years..this can match deni la watangulizi wake waliokua wakikopa kwa miaka 55 nyuma... Nyerere 25+mwinyi 10+, Mkapa+10+kikwete 10= 30 trillion

Magufuli 4 years only =25 trillion..hatari na nusu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So ukiwa mwanasiasa it means you should not have personal ambitions other than politics? I gave you a list of rich people in Kenya who are not into politics (richer than even the politicians themselves) ukatoa tu povu
No, this is not what I meant, and it is not what Forbes and the likes mean, there are lot of politicians waliotajwa kwenye list ya matajiri huko Forbes...

Huku Africa, wengi wanaingia kwenye siasa hawana kitu, siku anatoka tayari ni millionaire, huyu mtu wa hivi anakosa sifa za kua kwenye list

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No, this is not what I meant, and it is not what Forbes and the likes mean, there are lot of politicians waliotajwa kwenye list ya matajiri huko Forbes...

Huku Africa, wengi wanaingia kwenye siasa hawana kitu, siku anatoka tayari ni millionaire, huyu mtu wa hivi anakosa sifa za kua kwenye list

Sent using Jamii Forums mobile app
Uhuru Kenyatta is listed on Forbes. What do you say about that?
 
Sasa hii inahusikaje, by the way I don't support the current regime anyhow.. anything going against em wanastahili, ila hili ni Jambo la miaka ya nyuma 2007 sio leo..

Those pesa za ndani ni propaganda tu , deni taifa limepanda kwa Zaid ya trillion 20 ndani ya miaka hii minne tu , within five years..this can match deni la watangulizi wake waliokua wakikopa kwa miaka 55 nyuma... Nyerere 25+mwinyi 10+, Mkapa+10+kikwete 10= 30 trillion

Magufuli 4 years only =25 trillion..hatari na nusu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu enda ule uzi wa Dar Vs Nairobi uongee hivi uone vile utatukanwa na watanzania wenzako na kubandikwa majina za kikenya kwa lazima
 
All of a sudden Danganyikans are Rwandese Bootlickers.. Aliyewaroga amekufa na Coronavirus
 
Back
Top Bottom