Miaka hiyo that was a hell of moneyMmh mbona kama hiyo hera ni ndogo sana kupata kiwanja cha low density pamoja na kukijenga....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka hiyo that was a hell of moneyMmh mbona kama hiyo hera ni ndogo sana kupata kiwanja cha low density pamoja na kukijenga....
Hamna kitu cha namna hiyo ndugu,anayemiliki ardhi ndiye anayemiliki chochote kilichopo juu ya ardhi na chochote ambacho asili ya makazi yake ni ardhi hiyo. Mpaka wake ni anga ndo sio mali yake. That goes the Latin maxim: quic quid plantanto solo solo cedit. Meaning whoever owns the land,owns everything attached to that land the sky being his limit. Na mahakama imetamka wazi kuwa imewapa " property maendelezo yoyote yaliyofanyika juu ya property hiyo nyumba ikiwa sehemu ya maendelezo hayo.Nani kakwambia jamaa akiamua anaweza akavunja akachukua material zake za ujenzi usikariri akabaki kumuachia jamaa kiwanja chake
Kesi ikiwa mahakamani au hukumu ikashatoka,huruhusiwi kusogeza pua yako kwenye eneo husika,haijalishi ulijenga au umewekeza.Je mwenyewe aliyejenga akiamua kuivunja vp?
Sheria ina mruhusu
Ova
Haijawekwa humu nakala ya hukumu.ishu bro hiyo miliki no ya wati sita yeye anamdai mtu mmoja katoka
ipitie vyema hukumu ya mahakama!
Mbunge wa zamani wa Rungwe, Sauli Henry Amon amepoteza jengo la ghorofa nane lililoko Kariakoo jijini hapa, baada ya Mahakama ya Rufani kueleza kuwa nyumba hiyo ilijengwa kwenye kiwanja kilichouzwa kwa mnada isivyo halali.
Source : Gazeti la Mwananchi
Msomi hizi rufaa zako unazozungumzia unazitoa kwenye sheria au taratibu gani za Mahakama ya Rufaani???. Nakushauri kwa sababu wewe ni Mwanasheria nakumbuka nilikuacha Pale Mlimani miaka ile, ya 2000' s si vizuri ukazungumzia jambo au Mambo usiyo na hakika na nayo. Kwa mujibu wa Sheria ya Mamlaka ya Kirufani Juzuu namba 141 Mwaka 2019, Mahakama ya Rufaani ikisikiliza Rufaa , Hukuna nafasi tena ya kupinga rufaa kwa rufaa.Kama Benki imeuza nyumba kwa mnada kimakosa, baada ya mahakama kubatilisha mauzo. SH Amon yeye hana kosa.
Kwa vile uamuzi huu ni wa Mahakama ya Rufaa
waliokaa majaji watatu, Hamisi Bushiri Pazi & Others vs Saul Henry Amon & Others (Civil Appeal 166 of 2019) [2022] TZCA 186 (13 April 2022); | Tanzlii, bado anaweza kuomba rufaa nyingine, Mahakama wakakaa majaji watano, Half Bench
kupinga uamuzi wa mahakama ya Rufaa kumpora ghorofa lake alilojenga baada ya kununua kihalali nyumba iliyokuwepo kabla kwa mnada halali wa Benki.
Rufaa hiyo ya half bench ikishindikana, then, anakata Rufaa ya mwisho kabisa, kwa Mahakama kukaa Full Bench, Majaji 7, wakiongozwa na Jaji Mkuu, CJ mwenyewe in person, ambapo sasa uamuzi wa Full Bench ndio uamuzi wa mwisho, final and conclusive, Kwa mfumo wetu wa sheria, hivyo kilichobaki ni Kwa SH Amon anaifungulia benki kesi ya madai kudai fidia na anashinda straight away.
P
Bunju tena? Mbona Bunju kila kitu kiko sawa. Mbezi beach na Tegeta ndio unaweza kukuta kiwanja kina hati halali zaidi ya mojaMaeneo yanayoongoza kwa utapeli wa viwanja Dar es salaam ni kariokoo na Bunju
Unatakiwa ujiridhishe hasa sio utani
Akanunue Tena Kwa Hao Wamiliki SSa, awe kama Mwanamuziki Neyo aliemuoa Mkewake Wa Kwanza Tena Mara ya 2 [emoji23][emoji23][emoji23]Kiwanja chao kimerudi na riba juu
Sasa vita ya nje imeisha wanafamilia vs S.Amon sasa inaanza vita ya ndani wanafamilia ambayo ni mbaya na ngumu zaidRejea hapa
"Kufuatia uamuzi huo, mwaka 2004 wanafamilia watano wa mzee Pazi walifungua kesi Mahakama Kuu (Divisheni ya Ardhi) kupinga nyumba yao kuuzwa.
Waliiomba Mahakama itamke kuwa wao ndio wamiliki halali wa kiwanja hicho na nyumba iliyokuwemo.
Waliitaka itamke pia kuwa amri ya wao kukamatwa, nyumba yao kuuzwa, wao kuondolewa na kubomolewa haikuwa halali na ilitokana na udanganyifu mkubwa"
Kimsingi hapo shauri la wanafamilia lilikuwa hilo tu mahakama itamke hivyo,na mahakama imefanya hivyo hiyo inaweka uhalali wa kumiliki ghorofa hilo na S.Amon hawezi kutaka kubomoa atapingana na amri ya mahakama
Atumie option ya 1 [emoji23][emoji23]Sauli ana option mbili baada ya rufaa kufungwa.
1.Awaite wahusika wabargain awape pesa watakayo. Au pesa na nyumba hata tatu tatu ya kuishi na ya kupanga
2.Aondoe jengo lake awaachie uwanja wao.
Mkuu mwimbule , asante kunirekehisha, nilimaanisha reviewMsomi hizi rufaa zako unazozungumzia unazitoa kwenye sheria au taratibu gani za Mahakama ya Rufaani???. Nakushauri kwa sababu wewe ni Mwanasheria nakumbuka nilikuacha Pale Mlimani miaka ile, ya 2000' s si vizuri ukazungumzia jambo au Mambo usiyo na hakika na nayo. Kwa mujibu wa Sheria ya Mamlaka ya Kirufani Juzuu namba 141 Mwaka 2019, Mahakama ya Rufaani ikisikiliza Rufaa , Hukuna nafasi tena ya kupinga rufaa kwa rufaa.
Na Hapo Saul Bado ana msala na Wapangaji wake, wapo wenye mikataba mirefu ambao atawalipa kuvunja mkatabaKama sijakosea mkuu wewe umesoma sheria, na kama kweli umesoma sheria hii ni FEDHEHA kubwa kwa taaluma.
Katika sheria kuna maxim inasema
'Qui quid plantatur solo solo cedit' maana yake 'WHATEVER ATTACHED TO LAND BELONGS TO IT'
Yaani hapo mzee anaondoka na vifaa vya kuhamishika pekee yaani kiufupi ndio ile tunasema unaondoka na begi lako tu hakuna cha kutoa hata dirisha wala frame ya mlango.
Halafu unasema ataondoka na jengo, vipi kuhusu jengo alililikuta na akalibomoa?
UMEPOTOSHA/UMEPOTOSHWA
Daàh hapa ni kufa Kufaana, unaweza ukaacha litigation [emoji23][emoji23]Blaza unatamani ungekuwa wewe!!
Alisharudisha hela zakeMilioni 105 angeweza kupata kiwanja njia ya Tegeta na kujenga kwa nafasi, mji unapanuka. Pole zake.
Shida yake ujuaji mwingiMsomi hizi rufaa zako unazozungumzia unazitoa kwenye sheria au taratibu gani za Mahakama ya Rufaani???. Nakushauri kwa sababu wewe ni Mwanasheria nakumbuka nilikuacha Pale Mlimani miaka ile, ya 2000' s si vizuri ukazungumzia jambo au Mambo usiyo na hakika na nayo. Kwa mujibu wa Sheria ya Mamlaka ya Kirufani Juzuu namba 141 Mwaka 2019, Mahakama ya Rufaani ikisikiliza Rufaa , Hukuna nafasi tena ya kupinga rufaa kwa rufaa.
Unachoweza kufanya ni kuomba Mapitio (Review) kama unaamini kuna makosa kwenye hiyo hukumu. Na Majaji hao hao walioamua HUKUMU ndio watakaa kwenye JOPO la kusikiliza Mapitio. Hii unaipata kwenye kifungu cha 4(4) cha Sheria Sheria ya Mamlaka ya Kirufani Juzuu namba 141 mwaka 2019 ikisomwa pamoja na Taratibu za Mahakama ya Rufani ya Tanzania, kipengele cha 66.
Naomba niishie hapa kwa leo. Kama utakuwa nahoja zaidi tupo tayari kutoa mwongozo.
Teh tehMkuu punguza chumvi, alikuwa mganga njaa tu,miaka hiyo.Alikuwa anakuja home kwa mzee wangu hana hela, kampuni yenyewe kaisajili early 1999.Alipata hela kwenye uuzaji wa pombe kali na ngada na baadaye akaingia kutakatisha kwenye vipodozi.Inshort ni mjanjamjanja wa mjini,ukizubaa anapita na wewe.
OkayKesi ikiwa mahakamani au hukumu ikashatoka,huruhusiwi kusogeza pua yako kwenye eneo husika,haijalishi ulijenga au umewekeza.
Pascali sijui kama kashawahi ku practise taaluma yake mahakamaniMsomi hizi rufaa zako unazozungumzia unazitoa kwenye sheria au taratibu gani za Mahakama ya Rufaani???. Nakushauri kwa sababu wewe ni Mwanasheria nakumbuka nilikuacha Pale Mlimani miaka ile, ya 2000' s si vizuri ukazungumzia jambo au Mambo usiyo na hakika na nayo. Kwa mujibu wa Sheria ya Mamlaka ya Kirufani Juzuu namba 141 Mwaka 2019, Mahakama ya Rufaani ikisikiliza Rufaa , Hukuna nafasi tena ya kupinga rufaa kwa rufaa.
Unachoweza kufanya ni kuomba Mapitio (Review) kama unaamini kuna makosa kwenye hiyo hukumu. Na Majaji hao hao walioamua HUKUMU ndio watakaa kwenye JOPO la kusikiliza Mapitio. Hii unaipata kwenye kifungu cha 4(4) cha Sheria Sheria ya Mamlaka ya Kirufani Juzuu namba 141 mwaka 2019 ikisomwa pamoja na Taratibu za Mahakama ya Rufani ya Tanzania, kipengele cha 66.
Naomba niishie hapa kwa leo. Kama utakuwa nahoja zaidi tupo tayari kutoa mwongozo.
Mkuu nimependa namna ulivyotumia kiswahili safi kabisaMsomi hizi rufaa zako unazozungumzia unazitoa kwenye sheria au taratibu gani za Mahakama ya Rufaani???. Nakushauri kwa sababu wewe ni Mwanasheria nakumbuka nilikuacha Pale Mlimani miaka ile, ya 2000' s si vizuri ukazungumzia jambo au Mambo usiyo na hakika na nayo. Kwa mujibu wa Sheria ya Mamlaka ya Kirufani Juzuu namba 141 Mwaka 2019, Mahakama ya Rufaani ikisikiliza Rufaa , Hukuna nafasi tena ya kupinga rufaa kwa rufaa.
Unachoweza kufanya ni kuomba Mapitio (Review) kama unaamini kuna makosa kwenye hiyo hukumu. Na Majaji hao hao walioamua HUKUMU ndio watakaa kwenye JOPO la kusikiliza Mapitio. Hii unaipata kwenye kifungu cha 4(4) cha Sheria Sheria ya Mamlaka ya Kirufani Juzuu namba 141 mwaka 2019 ikisomwa pamoja na Taratibu za Mahakama ya Rufani ya Tanzania, kipengele cha 66.
Naomba niishie hapa kwa leo. Kama utakuwa nahoja zaidi tupo tayari kutoa mwongozo.